The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
We hujitambui ndo mana hata huku palikushinda,Kwa kweli wakenya mpo mbali kabisa na hatuwezi kuwakuta kabisa,,
Majengo mazuri yote ya kwenye station za reli huku bongo ni kama Majengo ya soko ya kuuzia nyanya, hayana mvuto kabisa, yanajengwa kama ya kizamani,, kweli tunarudi nyuma kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app


