Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_1583343316341.jpg
FB_IMG_1583343313206.jpg
FB_IMG_1583343331601.jpg
 
Screenshot ya kazi gani au ili ukaifute,
Hiyo ikae hapo hapo ili wengine wakuone ulivyo parara,
Si uliipost mwenyewe 😂😂😂
Hiyo link nimekupa hapo juu ndio link ya picha na picha yenyewe iko na hadi tarehe iliyopigwa.
You have the picture yet you can't do a simple screenshot? How now? 😂 😂
 
Ili ukaifute 😂😂😂
Hiyo ibaki hapo hapo,
Na hiyo picha inaonesha kabisa kuwa hiyo device iliyopost hiyo picha ndio iliyopiga hiyo picha.
Sasa nitafutaje screenshot uliyopiga wewe nawe kilaza? Nitaingia kwa simu yako niifute?
 
Kutoka Dar to Soga tumetumia treni ya TRL.. it means kuna maeneo bado reli haijajengwa View attachment 1275954View attachment 1275955View attachment 1275956

kutoka Soga hadi before daraja la Ruvu tukatumia treni ya Yapi.. it means reli ya SGR ipo tayar kwa matumizi
View attachment 1275957
View attachment 1275958View attachment 1275959View attachment 1275960

Soga Station... ila walivyojenga hiv stations vidogo wametumia akili sana, hawataka kutumia hela nying kujenga mastations makubwa wakati maeneo kama haya population ni ndogo sana
View attachment 1275964View attachment 1275965

Sehem ya Ruvu kuna madaraja mengi sana yanajengwa


Tutaendelea baadae.. network unasumbua sana huku

flashback.. then
now
IMG_1583402980.903411.jpg
 
Wakuu Punguzeni mchecheto Treni za Tanzania bdo TRC/Serikali hazijatangazwa ni nani alieshinda Tenda ya kusupply hizo EMU's, atatangazwa mshindi ni nani na ni kwa kiasi gani zitacost then mtaoneshwa renders ama replicas zake au picha za mfano wa makampuni ambayo yanatumia model kama hizo na pia itatolewa time frame yake ya kuzitengeneza na mpka kuzisafirisha na kufika hapa TZ(Utaratibu ndo uko hvyo) , so kuweni na subra msipost post tu mapicha mapicha ambayo yanapotosha uhalisia na pia nawashauri mulimit/mupunguze kdgo expectations na majigambo yenu coz zinaweza pia kuchaguliwa treni za umeme ila ambazo hazina mvuto tukaambulia kuchekwa humu ndani na majirani😂😂😂.

hizi ni link za website ambazo taarifa zote za treni duniani zipo so TZ ikichagua tu kampuni ya hizo treni basi hapa taarifa lazima mtaziona.
Rail business, industry and technology news from Railway Gazette International

Home - International Railway Journal
Mkuu tender zilishatangazwa zamani, nafikiri serikali imeamua mutants Siri, kama umesikia wanasema wataanza test may au June maana yake huo mzigo yawezekana ukawa kwenye meli sasa hivi au wanajiandaa kupakia.
Nafikiri mambo yaliyoendelea kwenye ndege yameifanya serikali kuwa makini na utoaji hovyo wa taarifa.
 
Back
Top Bottom