babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Nmecheka sn leo jamaa kapost mpk kajipost na yy mwenyewe na tumemuona





Gari lishawaka mzee hawa wakora cc co saizi yao, sema viongozi walituangusha sn ss hv jemedari yupo kazini hakuna kulala dadadeki
Aisee jamaa wanakimbia sn, Magu anataka by June wamkabizi reli yake ana kazi nayo
Hiki kipande cha Moro-Makutupora kitanda kwa kasi sana kwa inavyoonekana.Aisee jamaa wanakimbia sn, Magu anataka by June wamkabizi reli yake ana kazi nayo
Dar-Moro kukabidhiwa mm nabashiri Sept-OctoberAisee jamaa wanakimbia sn, Magu anataka by June wamkabizi reli yake ana kazi nayo
Mm nmesema hvyo according to Kadogosa tena amesema kufikia June rais anataka akabidhiwe package nzma from Dar to Makutupora, ss km itafika sept-october tusubiri tuone itakuwaje.
Anajijua mkuu af czan km atakuwa mwalimu wa Hisabati uyu, nazani itakuwa ni Civics au English, nawasilishaNani mwalimu wa Hisabati Shule ya Msingi wakuu
Sent from my iPhone using JamiiForums



Inaboa sanaNicxie unarudia rudia picha hadi unapoteza ladha ya Uzi, sometimes unaweza sema tu ukaeleweka,too much bro inaboa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bongolala, jifurahishe basiKilaza ni wewe unayekataa picha yako,
Nimekupa hadi link ya hiyo picha,
Kuhusu kupost screenshot hilo sahau kabisa.
Hii inaboa ndio nini jamani? Halafu nyinyi mnapoleta zile three blue towers na picha za Kibera do you take a minute to think inaboa?