babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Mbona unajishuku kwani Kuna aliesema ni wewe ๐๐๐Huyo tena ni mimi? ๐ ๐ ๐ Kweli nyinyi vilaza. I have never used a desktop to access JF. I always use my phone
Mbona unajishuku kwani Kuna aliesema ni wewe ๐๐๐Huyo tena ni mimi? ๐ ๐ ๐ Kweli nyinyi vilaza. I have never used a desktop to access JF. I always use my phone


hyo hyoIla Wakenya wa JF bana, kuna kipindi flan last year walikua wanashangilia Tunnels za SGR yao ya to nowhere humu ndani, kuanzia zinaanza kuchorongwa mpaka zimekamilika tena na wachina wakafanya na party kabisa
Zililetwa picha za phase 2 hapa maandishi ya kichina kila pembe ya tunnel
Leo wanaleta Wabongo mnaanza kulia kulia....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndipo mtu anapokosa raha kwmb mda c mrefu watu watamzoomNaona ameifuta
Uzuri hiyo picha tunayo na tuna uwezo wa kupata nyingi zaidi kupitia hiyo picha moja.


Huyu falamanga gani anayesumbua watu humu?
Kaifuta lakini amesahau kuwa ile url bado inahifadhi picha ukiibonyeza bila kusahau ile reply ya tuusan ๐๐๐Hapa ndipo mtu anapokosa raha kwmb mda c mrefu watu watamzoom![]()
Kaifuta lakini amesahau kuwa ile url bado inahifadhi picha ukiibonyeza bila kusahau ile reply ya tuusan
Kuna mwingine Id yake inaanzia na b Juzi kapost details zake humu.




Niliona pia, alipost render za jengo fulaniau Kuna mwingine.

Huyo tena ni mimi?![]()
![]()
Kweli nyinyi vilaza. I have never used a desktop to access JF. I always use my phone
Kuna yule kapost Juzi Id yake nadhani inaanzia B ๐๐๐Kadhaa wana tabia hiyo, ukizama facebook unaona kila kitu, Bila chenga
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawawez kubali kushindwa hawa mark my words lakini ukweli wanaujua๐๐๐๐Basi soma hii kutoka BBC: Mamilionea wengi Tanzania kuliko Kenya na uache ushakunaku. Stupid Kunyan.
Hii tutaikuta nairand majirani wakiwa wamejimilikisha amini nakuambiaKwa kuwakumbusha watanzania
The only three level interchange in east and central africaView attachment 1373570View attachment 1373574View attachment 1373575View attachment 1373577View attachment 1373578View attachment 1373579
Hii inaytwa black and whiteFala wewe. Kwani ripoti iliandaliwa mwezi wa ngapi? Au shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga?


Inaanza Lin kuelekea bukobaNew baby MV Victoria
View attachment 1377663
Kwan kibera ni mombasa?Hiyo ni Kibera slum. Nilimuuliza mwenzako anionyeshe picha kama hii kutoka Nairobi View attachment 1377449
Unless you want to tell me that Kibera ndio inafanana na hapo ni sawa