Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nafikiri saizi picha zote za NBO zilizomo humu ndani zimewapa just a taste of what it feels like to be NAIROBI (jiji kuu)

Nitawasihi waKenya hamna haja ya kuongeza zingine. Tuwaache Hawa warudie zao wao wenyewe wachoke na kijiji chao.

Tukiongeza picha zingine za NBO ama kurudia mapicha itakua ni kushusha hadhi ya NBO na itafanya jiji kuu kupoteza ladha kama kijiji chao.

Going forward ni kuDeconstruct ujinga wowote utakao letwa hapa, na kulisha Hawa watu FACTS tuu
 
Nafikiri saizi picha zote za NBO zilizomo humu ndani zimewapa just a taste of what it feels like to be NAIROBI (jiji kuu)

Nitawasihi waKenya hamna haja ya kuongeza zingine. Tuwaache Hawa warudie zao wao wenyewe wachoke na kijiji chao.

Tukiongeza picha zingine za NBO ama kurudia mapicha itakua ni kushusha hadhi ya NBO na itafanya jiji kuu kupoteza ladha kama kijiji chao.

Going forward ni kuDeconstruct ujinga wowote utakao letwa hapa, na kulisha Hawa watu FACTS tuu
 
68CFBD75-B81E-411D-9DC0-B23814387B96.jpeg
 
93% of your roads are UNPAVED and susceptible to heavy RAIN. kukinyesha hakupitiki inabidi mmelala vichakani

IMG_20180704_230529_808.jpg
 
Nafikiri saizi picha zote za NBO zilizomo humu ndani zimewapa just a taste of what it feels like to be NAIROBI (jiji kuu)

Nitawasihi waKenya hamna haja ya kuongeza zingine. Tuwaache Hawa warudie zao wao wenyewe wachoke na kijiji chao.

Tukiongeza picha zingine za NBO ama kurudia mapicha itakua ni kushusha hadhi ya NBO na itafanya jiji kuu kupoteza ladha kama kijiji chao.

Going forward ni kuDeconstruct ujinga wowote utakao letwa hapa, na kulisha Hawa watu FACTS tuu
Huu ndio mtindo saizi
 
At the end of the day

Huwezi linganisha Kenya ama NBO JIJI KUU na TZ ama huo mji wenu

WaKenya hatutaki kushindana na Dar any way WHATSOEVER. dar na TZ wao wanataka kushindana na NBO by ALL MEANS

Levels ndugu!

Saizi kwanza prospects ziko very enticing up north (ETHIOPIA na SOUTH SUDAN) Hao ndio watu tunataka kuhusishwa nao. WaKenya watu wenye kuona mbele. Watu hatari. Watu ambao...
FACTS tuu
 
Mjerumani anaskia vibaya sana. Angetaka sana kurudisha saa nyuma awachane na Urusi azingatie TZ.

Yaani nyinyi kuwafurahisha rahisi sana. Mjerumani anasikitika sana. Very backward thinking. Lots of easy minds to control

Ka! BUSES? MABASI na Ofisi?
FACTS tuu
 
The biggest road project in Tanzania since independence is Ubungo flyover.
Basi ni nini ya kuringia? And sadly, zote hizo ni imported. Tanzania ya vibanda.
Here in Kenya we build our own buses. And they have thousands of kilometers of good tarmac to pass through.
FACTS tuu
 
na hapo ukumbuke 10yrs of developments yani barabara zimejengwa hatari 175,162km of paved road na bado sijakuekea road zilizo underconstruction sasa hvi heheh😀😀😀😀😀😀
POVU tuu
 
Unemployment iko Kenya ndio. Kwasababu watu wamesoma sana.
Tunakuja huko TZ kuchukua hizo kazi zenu inaonekana at 2% kazi iko kwa wingi.

Wakishafungua mipaka za Africa waKenya Watakua everywhere na hamuezi shindana na sisi juu on average Kenyans are very clever and well educated kuliko average African/tanzanian
Mlisomea kufly bag-toilets kibera?
 
Mlisomea kufly bag-toilets kibera?
Hizo fly bag toilets za Kibera nzito sana kuliko akili yako. Apana cheza na waKenya. Vinyesi zao hatari sana waweza linganisha na akili ya huyu Redeemer
 
Hata mkora ama jambazi wa Kenya on average ni very clever kuliko the average jambazi wa TZ.

TZ kwa mfano, before usikie bank heist imefanyika kupitia underground tunnels itachukua maKarne na maKarne

Usicheze na waKenya. WaKenya ni watu hatari sana
Hahaha how old is your mum?
 
Back
Top Bottom