Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha how old is your mum?
Apana Zingatia vitu zisizokuhusu.
Huyu jambo ndogo lishafanya amepoteza akili hawezi fikiria. Sidhani utapata mKenya anayefikiria Hivi

WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
 
wanataka shindana na dar
88FE46E3-5833-453E-A755-6E8998C1ADD3.jpeg
 
Apana Zingatia vitu zisizokuhusu.
Huyu jambo ndogo lishafanya amepoteza akili hawezi fikiria. Sidhani utapata mKenya anayefikiria Hivi

WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
Alafu mkawa mnaishi hivi? Clever of dummies
images
 
hasira zimekubamba 😀😀😀😀 mukajua BRT ni kuchora tu barabarani kama kula kitumbua
WaKenya watu hatari sana. Tukifanya utafiti barabarani waTZ wanafikiria sisi akili zetu mbaya.

WaKenya watu ambao wanajua wanachofanya. Watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
 
Back
Top Bottom