Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juu Kenya imekua ikilala? My friend Kenya hata kuwe na misukosuko ama shida za serikali jua lazima kuna taratibu. Vitu havisimami. Kenya kuna intellectuals ambao huwa wanaMap out roadpath to the future

WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average African/tanzanian
hehhehe kweli tanzania inatesa vichwa vyenu 😀😀 na bado huu ni mwanzo tu
 
Kiswahili lugha yenu lakini kukisoma ngumu kama mawe.

SLUMS TUNAZO NYINGI TENA SANA ila hazitudhuru jinsi zinavyodhuru waTZ

FOCUS! Unasema toll road.. Toll road gani kama 92% of the country's road network is UNPAVED and SUSCEPTIBLE TO HEAVY RAINFALL

Usiringie wakenya.. Hizi ni vitu za kawaida ambazo tumekubali na tunasonga mbele na maisha.

WaKenya watu wenye akili. Watu wa kuona mbele. Watu wa ajabu
ukipata dar hapo nitag😀😀😀😀
4DDE05E2-FFF0-40EE-BB74-EEBE1B350E45.jpeg
 
Huu ukweli wako unazidi kukudhalilisha.

Yaani road density yenu @ 9.1km/100sqm ni very low kuliko average ya SUB-SAHARAN Africa.

92% of your roads are UNPAVED and HEAVILY SUSCEPTIBLE TO RAIN
aliekwambia nani ulijua tumekaa tunawatazama tu heheheheheheh 175,000km of paved road asante sana magufuli bado zile ziko under construction😀😀😀
 
aliekwambia nani ulijua tumekaa tunawatazama tu heheheheheheh 175,000km of paved road asante sana magufuli bado zile ziko under construction😀😀😀
92% of your roads are UNPAVED and HEAVILY SUSCEPTIBLE to rain

(go.tz)
IMG_20180704_230529_808.jpg
 
Tanzania BRT
69F83336-96B8-40A4-B4FF-C598925D2BD0.jpeg
F42E71EA-B11B-4D0B-A7E4-5164C53EF773.jpeg






south africa
8C5E8B0C-7C2B-4F8F-A65B-527273205FF3.jpeg






nigeria
198399FF-D28A-48D0-B9B9-2EC1C99757D6.jpeg
25332862-9084-4CBA-AD3E-168AB6FFE62B.jpeg





kenya walijua ni kama kula bajia just simple like that😀😀
F5A5F0A7-1729-4234-BB09-5B4273164115.jpeg
B076C878-3E8F-47AC-A10C-B591912DE78C.jpeg
 
Back
Top Bottom