asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,015
Watanzania nisaidieni Tafadhali. Nyinyi huwaza kama huyu punguani?hehehe tumemsajili mchezaji wa gor mahia tumempa na range rover anasema alikua hana ndoto ya kuendesha range na alikua anadandia sacco kwenda uwanjani😀😀😀😀😀 na ile bus yenu chakavu ya tuzo

unless unamaanisha 4km, apana Danganya mKenya. WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian