Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hehehe tumemsajili mchezaji wa gor mahia tumempa na range rover anasema alikua hana ndoto ya kuendesha range na alikua anadandia sacco kwenda uwanjani😀😀😀😀😀 na ile bus yenu chakavu ya tuzo
Watanzania nisaidieni Tafadhali. Nyinyi huwaza kama huyu punguani?
 
You are the one that knows nothing.

Nilishakuambia kina America, Japan, Germany, Italy ata SA wako na debt to GDP ratio more than 100% wengine 300%

What is 60%?
so developed countries like japan and germany ni sawa na developing country like kenya😀😀😀😀
 
so developed countries like japan and germany ni sawa na developing country like kenya😀😀😀😀
No but we are on that path to become developed. Ndio maana umesema 'developing country like Kenya'

Hata hizo developed countries at one time Zilikua 'developing countries '
 
Watanzania nisaidieni Tafadhali. Nyinyi huwaza kama huyu punguani?
alizoea kupanda kwenye chuma cha kavu
gor-mahias-newly-branded-bus-after-they-removed-tuzo_oatjiukdnq9j19s6hpakxsrfy.jpg




sasa hvi anapanda luxury bus ambayo ilikua ndoto kwenye maisha yake
BASI%2BLA%2BSIMBA.jpg
Simba-Basi.jpg
 
No but we are on that path to become developed. Ndio maana umesema 'developing country like Kenya'

Hata hizo developed countries at one time Zilikua 'developing countries '
hehehehhe unafananisha deni la japan na kenya aisee nimecheka sana😀😀😀😀😀 alafu badae munaomba msaada wa chakula kwa hao hao
 
40km from CBD bado unasema Dar? unless unamaanisha 4km, apana Danganya mKenya. WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
uhahahha nilijua macho yako hayawez amini ukweli😀😀😀😀😀
 
At the end of the day

Huwezi linganisha Kenya ama NBO JIJI KUU na TZ ama huo mji wenu

WaKenya hatutaki kushindana na Dar any way WHATSOEVER. dar na TZ wao wanataka kushindana na NBO by ALL MEANS

Levels ndugu!

Saizi kwanza prospects ziko very enticing up north (ETHIOPIA na SOUTH SUDAN) Hao ndio watu tunataka kuhusishwa nao. WaKenya watu wenye kuona mbele. Watu hatari. Watu ambao...
 
alizoea kupanda kwenye chuma cha kavu
gor-mahias-newly-branded-bus-after-they-removed-tuzo_oatjiukdnq9j19s6hpakxsrfy.jpg




sasa hvi anapanda luxury bus ambayo ilikua ndoto kwenye maisha yake
BASI%2BLA%2BSIMBA.jpg
Simba-Basi.jpg

Basi ambazo zinaundwa Kenya na Wakenya.. To the world. Usiringie mkenya vitu ambazo ameunda mwenyewe
 
At the end of the day

Huwezi linganisha Kenya ama NBO JIJI KUU na TZ ama huo mji wenu

WaKenya hatutaki kushindana na Dar any way WHATSOEVER. dar na TZ wao wanataka kushindana na NBO by ALL MEANS

Levels ndugu!

Saizi kwanza prospects ziko very enticing up north (ETHIOPIA na SOUTH SUDAN) Hao ndio watu tunataka kuhusishwa nao. WaKenya watu wenye kuona mbele. Watu hatari. Watu ambao...
ahahahah uzalendo umekushinda umeamua kuondoka kiaina kama wenzako walivoondoka😀😀😀
macho yameshindwa kuamini leo unachokiona
asante sana kwa kuja na karibu sana
 
ahahahah uzalendo umekushinda umeamua kuondoka kiaina kama wenzako walivoondoka😀😀😀
macho yameshindwa kuamini leo unachokiona
asante sana kwa kuja na karibu sana
Kuondoka nikienda wapi? Niko hapa na sibanduki ng'o!

Nilikuambia nitakuvumilia mpaka mwisho. Get ready. I'm just warming up

Hatari! Umeme! DANGER!!
 
Kwahyo ukiweza kuziunda ndo lazima uzitumie sio??? Rotten brain kama yako haijawahi tokea.
Baas! Hapa sasa ndio uzuri wa Kenya. Tutaziunda kisha tuziuze kwa nchi kama TZ kisha wale walioziunda waboreshe maisha yao na in turn kupunguza further the poverty levels. WaKenya watu hatari sana
 

Basi ambazo zinaundwa Kenya na Wakenya.. To the world. Usiringie mkenya vitu ambazo ameunda mwenyewe
zinaundwa body tu😀😀😀 chuma chakavu hahahha alaf munataka kujiringanisha na luxury bus za tz
 
zinaundwa body tu😀😀😀 chuma chakavu hahahha alaf munataka kujiringanisha na luxury bus za tz
Jamaa kathibitisha na kukubali zinaundwa Kenya. Hata kama ni assembling pekee yake, mbona msiAssemble kwenu?

Kenya nchi hatari. Kenya to the world
 
Baas! Hapa sasa ndio uzuri wa Kenya. Tutaziunda kisha tuziuze kwa nchi kama TZ kisha wale walioziunda waboreshe maisha yao na in turn kupunguza further the poverty levels. WaKenya watu hatari sana
ona tz football team luxury bus😀😀😀😀
itawachukua 50yrs kufika hapo
58BB6052-1461-428E-B658-6DFBC441128A.jpeg
12F02602-B55F-42D7-8E14-790B13819601.jpeg
77E339C6-6B6F-4881-9B1D-75EFA4F62BC2.jpeg
0B9933A8-7B7B-4ABC-8BA7-B584B5BB5998.jpeg
D9BD9EF9-F80F-4AD3-A623-1A45AFC96F79.jpeg
DCC28E21-5B12-4F8D-BDFF-862D0DE10FC5.jpeg
5FF0E22F-02BB-46E6-8CCE-7AB25AA3F44C.jpeg
AD99AEF3-4A44-4554-8928-E7FFA9B2D580.jpeg
9235CDE2-EB35-4D89-A7C0-CFFED6312E4E.jpeg
92BF784D-FB61-493B-B60B-5E82F87484EC.jpeg
 
Jamaa kathibitisha na kukubali zinaundwa Kenya. Hata kama ni assembling pekee yake, mbona msiAssemble kwenu?

Kenya nchi hatari. Kenya to the world
munachonga body hahah kila kitu kinatoka nje 😀😀ziko kampuni zinachonga body ya mabasi tanzania usifkiri hakuna alaf unaleta hii kitu😛😎😛
team haina hata banda la ofisi miaka 50
DB0343B7-B589-427C-85BA-1B6323C9F15E.jpeg
 
Baas! Hapa sasa ndio uzuri wa Kenya. Tutaziunda kisha tuziuze kwa nchi kama TZ kisha wale walioziunda waboreshe maisha yao na in turn kupunguza further the poverty levels. WaKenya watu hatari sana
😀😀😀😀😀
CAB96902-0480-4A80-BBD7-DB6F29041CCF.jpeg
 
Back
Top Bottom