Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

inaendelea kushuka wakat munazaana kama kondoo 47m people wakat tanzania ina 53.4 na ina ardhi mara mbili ya kenya 😀😀😀😀😀 huoni tofaut hapo???
Hatulalamiki. Maisha tunaendelea kuisukuma na tunaendelea kujiboresha.

WaKenya ni watu wa ajabu. Watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
 
Hatulalamiki. Maisha tunaendelea kuisukuma na tunaendelea kujiboresha.

WaKenya ni watu wa ajabu. Watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
hamulalamiki vp wakat munauwana kwenye kugombania ardhi na mifugo settler mzungu anaua ngombe wa masai alaf nchi imekaa kimya alaf unasema hamulalamiki huko lokichar wanazuia mafuta watu hawana ajira alaf unasema hamulalamiki
 
View attachment 802347 View attachment 802348
akili unazo ila hutaki zikubali ukweli😀😀😀😀
narudia tena below poverty line in kenya is 43% and in tanzania is 22% remember tanzania population is 53.4m while kenya is 47m😛😛😛😛
Quick maths. 14.9m ukigawanya na 50m kisha uMultiply by 100% itakuja roughly 29%

2005: 42%
2010: 36%
2018: 29%

Ooh wakenya! Hatari kama umeme
 
hamulalamiki vp wakat munauwana kwenye kugombania ardhi na mifugo settler mzungu anaua ngombe wa masai alaf nchi imekaa kimya alaf unasema hamulalamiki huko lokichar wanazuia mafuta watu hawana ajira alaf unasema hamulalamiki
Aah kumbe jamaa anaitambua Kenya vilivyo. Tanzania mimi nikiifikiria ni Dar tu inakuja akilini

Ooh Kenya our land and nation
 
Quick maths. 14.9m ukigawanya na 50m kisha uMultiply by 100% itakuja roughly 29%

2005: 42%
2010: 36%
2018: 29%

Ooh wakenya! Hatari kama umeme
nimecheka sana unashusha data kama vile unakula bajia tu😛😛😛😛😛
hzo ni takwimu za kwenye kichwa chako ukweli ni kwamba 43% of kenya population wako below poverty line hehehhehhe 2017 data
 
Aah kumbe jamaa anaitambua Kenya vilivyo. Tanzania mimi nikiifikiria ni Dar tu inakuja akilini

Ooh Kenya our land and nation
nimeizunguka hio nchi inanuka njaa umaskini sijapata kuona kokote katika dunia hii😀😀😀😀😀
 
Quick maths. 14.9m ukigawanya na 50m kisha uMultiply by 100% itakuja roughly 29%

2005: 42%
2010: 36%
2018: 29%

Ooh wakenya! Hatari kama umeme
mchina kawachakaza tena kwenye transformer😀😀😀😀😀😀 aisee kweli mwaka huu munadondokea pua

 
wow
652D3BBB-13CB-4C20-BB17-C6C2D6900D15.jpeg
 
nimeizunguka hio nchi inanuka njaa umaskini sijapata kuona kokote katika dunia hii😀😀😀😀😀
Kweli mmetembea na kuitalii Kenya. Kenya kwenu ni sawia na Singapore.

TZ tutakuja kufanya kazi tupate pesa tuboreshe maisha alafu tubarizi Zanzibar, kisha turudi Kenya. (lakini hapo kidogo maghufuli alitupiga chenga.. Aliona wakenya wakija TZ wataTake over businesses ndio maana akaweka restrictions.. Lakini haidhuru waKenya watu wenye akili na ujanja we always find a way to make things right)

Kenya ni nchi ya ajabu.
 
mchina kawachakaza tena kwenye transformer😀😀😀😀😀😀 aisee kweli mwaka huu munadondokea pua

Sasa hesabu basic ikiwashinda hivi bado mko na matumaini kuifikia Kenya?

All over the world, uliza mtu kuhusu EAST AFRICA na Kenya pekee itakuja akilini ikifuatwa na Rwanda kisha Uganda
 
Kweli mmetembea na kuitalii Kenya. Kenya kwenu ni sawia na Singapore.

TZ tutakuja kufanya kazi tupate pesa tuboreshe maisha alafu tubarizi Zanzibar, kisha turudi Kenya. (lakini hapo kidogo maghufuli alitupiga chenga.. Aliona wakenya wakija TZ wataTake over businesses ndio maana akaweka restrictions.. Lakini haidhuru waKenya watu wenye akili na ujanja we always find a way to make things right)

Kenya ni nchi ya ajabu.
sijaona chochote cha maana zaidi ya umaskini uliopitiliza, nchi haina amani watu makatili, ujambazi kila kona
 
Nani alikudanganya kuna siri JF?
QUOTE="tuusan, post: 27457634, member: 373150"]14trillions pesa ya nchi gani iyo?
Budget ya Tz ni 32trillions ...pesa ya reli kwan reli imeanza kujengwa Leo? Tangu ujenzi uanze haujawahi kusimama buda fuatilia budget ya wizara ya ujenzi[/QUOTE]
Wacha kujiaibisha kijana
Hujui hata kile unacho kizungumzia wewe mwenyewe
Reli inajengwa usiku na mchana
Bado unatuletea hadith

😀😀😀😀
 
sijaona chochote cha maana zaidi ya umaskini uliopitiliza, nchi haina amani watu makatili, ujambazi kila kona
Tanzania: (19.9/54)*100 = 38% POOR
Kenya: (14.7/50)*100 =29% POOR

umaskini ni wewe na Tanzania
 
Back
Top Bottom