Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

no job in kenya heheh nimecheka hio bango wameandika kua wao sio wezi sasa waende wapi tukule nini😀😀😀

 
mm nimekupa data index sasa😀😀😀😀
5MILLION more people are POORER than the POOR in Kenya.

2005 Kenya %age of the poor ilikua 42%
2010 ilikua 36%
2018 iko 29%

Nafikiri unaona trend hapa. WaKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao wanajikakamua kuboresha maisha yao. Watu ambao on average ni very clever than the average african/tanzanian
IMG_20180703_083102.jpg
 
SGR snaking it's way to NAIVASHA (from Nairobi of course) then KISUMU then UGANDA and eventually KIGALI
tapatalk_1525973133524.jpeg
 
so mumesoma ili muwe wezi, mafisadi, 😀😀😀😀😀😀 kama no jobs to kenyans usifkiri ukora na ujambazi utaisha yani 40% of kenya population hawana job alaf unakuja panua mdomo wako hapa😛😛😛😛
Hata mkora ama jambazi wa Kenya on average ni very clever kuliko the average jambazi wa TZ.

TZ kwa mfano, before usikie bank heist imefanyika kupitia underground tunnels itachukua maKarne na maKarne

Usicheze na waKenya. WaKenya ni watu hatari sana
 
5MILLION more people are POORER than the POOR in Kenya.

2005 Kenya %age of the poor ilikua 42%
2010 ilikua 36%
2018 iko 29%

Nafikiri unaona trend hapa. WaKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao wanajikakamua kuboresha maisha yao. Watu ambao on average ni very clever than the average african/tanzanianView attachment 802320
😀😀😀😀 heheh hupendi ukweli
below poverty line in kenya is 43%. in tanzania is 22% hahahhaa
73A68A9D-A5A7-43E6-B910-C66097904544.jpeg
FC166579-6D64-4234-A80F-8FDB51551E52.jpeg
 
Hata mkora ama jambazi wa Kenya on average ni very clever kuliko the average jambazi wa TZ.

TZ kwa mfano, before usikie bank heist imefanyika kupitia underground tunnels itachukua maKarne na maKarne

Usicheze na waKenya. WaKenya ni watu hatari sana
uhahahah nchi inanuka shida 😀😀😀

unemployment 40% hehee with 47million people

wakat tanzania ina 53.4m people ina unemployment rate ya 2.7% hahahhh

alaf munataka kushindana na tanzania
 
Hata mkora ama jambazi wa Kenya on average ni very clever kuliko the average jambazi wa TZ.

TZ kwa mfano, before usikie bank heist imefanyika kupitia underground tunnels itachukua maKarne na maKarne

Usicheze na waKenya. WaKenya ni watu hatari sana
hatari kwa umaskini na njaa mbona majambazi hawapambani na njaa sasa😀😀😀😀 njaa inaua watu kila siku
 
D36ED344-EED4-4FCE-B73D-770922469118.jpeg
E675FF34-F068-4379-A2BB-DE5C25EA796F.jpeg
Inaonekana wewe hupendi kutumia akili

Indimuli ni jitu gani? Hakuna anayelitambua.

Business Daily na BLOOMBERG huwezi compare data ama hata kuwazungumzia katika sentensi moja na indexnonsense View attachment 802346
akili unazo ila hutaki zikubali ukweli😀😀😀😀
narudia tena below poverty line in kenya is 43% and in tanzania is 22% remember tanzania population is 53.4m while kenya is 47m😛😛😛😛
 
uhahahah nchi inanuka shida 😀😀😀

unemployment 40% hehee with 47million people

wakat tanzania ina 53.4m people ina unemployment rate ya 2.7% hahahhh

alaf munataka kushindana na tanzania
Wakenya ni watu wa ajabu. Na hizi mashida bado tuko better kuwaliko. Standards of life Kenya huwezi linganisha na TZ

Wakenya ni watu ambao on average ni very clever kuliko the average person in Africa/Tanzania
 
Wakenya ni watu wa ajabu. Na hizi mashida bado tuko better kuwaliko. Standards of life Kenya huwezi linganisha na TZ

Wakenya ni watu ambao on average ni very clever kuliko the average person in Africa/Tanzania
mko better kwenye slums na njaa??😀😀😀
kila mwaka njaa inaua watu zaidi ya million 3 alaf unasema uko vzr??? munaishi kwenye slums amabazo hata nguruwe hawez kuishi alaf muko vzr😛😛
 
mko better kwenye slums na njaa??😀😀😀
kila mwaka njaa inaua watu zaidi ya million 3 alaf unasema uko vzr??? munaishi kwenye slums amabazo hata nguruwe hawez kuishi alaf muko vzr😛😛
Hao 3million wakikufa poverty levels pia inaendelea kushuka.

WaKenya ni watu wa ajabu
 
Hao 3million wakikufa poverty levels pia inaendelea kushuka.

WaKenya ni watu wa ajabu
inaendelea kushuka wakat munazaana kama kondoo 47m people wakat tanzania ina 53.4 na ina ardhi mara mbili ya kenya 😀😀😀😀😀 huoni tofaut hapo???
 
Back
Top Bottom