Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zunguka Tanzania nzima hakuna mtanzania anaeishi haya maisha, only clever dummies
images
ohhh my God jamani dahhh lakin uhuru kenyatta Mungu anakuona😱😱😱😱😱
 
Zunguka Tanzania nzima hakuna mtanzania anaeishi haya maisha, only clever dummies
images
Inaonekana wewe pia ni mjinga wa wajinga.

Sisi tumekubali watu kama Hawa wako nyinyi hamuezi kubali. Mko in DENIAL

Subira tuu. Baada ya denial hukuja ACCEPTANCE
IMG_20180703_083102.jpg
 
Leo imekua siku nzuri sana. Watanzania nimewaweza na kuwapiga kwenye game yao

Ninafuraha sana na naomba tuendelee vivi hivi

Mtakuja kukubali. Acceptance huja baada ya denial.

Laleni unono
 
Huko turkana kuna watu wanaishi kama wapo tayari jehanamu, Kenya kuna umasikini wa kutisha
Turkana mafuta yao inaweza nunua nchi yenu.

Maji yao inaweza wanywesha miaka 70 mfululizo. Put some respeck on Turkana
 
Turkana mafuta yao inaweza nunua nchi yenu.

Maji yao inaweza wanywesha miaka 70 mfululizo. Put some respeck on Turkana
wamezuia mafuta hamujawapa ajira😀😀😀 wala pesa wamebakia na umaskini uleule😛😛

mumebakia kupeleka crude oil nje munashindwa hata kueka refinery plant kwa faida yenu munawapa wazungu crude oil alaf badae munanua oil
 
nyumba anaishi binaadamu kenya hio subhanallah aiseee kuna watu na viatu😱😱😱😱😱
C61779A3-C514-472F-BA04-8658FCF46831.jpeg
 
Unemployment iko Kenya ndio. Kwasababu watu wamesoma sana.
Tunakuja huko TZ kuchukua hizo kazi zenu inaonekana at 2% kazi iko kwa wingi.

Wakishafungua mipaka za Africa waKenya Watakua everywhere na hamuezi shindana na sisi juu on average Kenyans are very clever and well educated kuliko average African/tanzanian
[HASHTAG]#The[/HASHTAG] most intelligent City in Africa kwani ni gani!? We make a difference in the World.. eg- M PESA, SPORTPESA etc... Tz invention=00…. Hakuna inchi ya wajanja Kama Kenya hii Africa & Btw we Still terrorise The Social Media Platforms... Uliza CNN na Hague kenya ndio Kusema nn... Tz ni Kuzembeana tu...
 
Hiyo mafuta yao inaweza NUNUA nchi yenu.

Apana cheza na Turkana. Turkana ni a very blessed land
mafuta 2000barrels per day inunue nchi ???
wakat uganda wanatoa 216,000barrels per day na hawazungumzi wamekaa kimya😀😀😀😀😀

wakati tanzania ina gas ambayo imegundulika tu ni 57trillion cubic feet achilia mbali ambayo haijagundulika😛😛😛😛
 
Back
Top Bottom