🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.
Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.
Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?
Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂