Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo labda mkawaringie failed state wenzenu.
Mmeishiwa miradi ya kupost na hamna miradi hadi mnapost takataka ambazo zipo hadi Central Africa! 😂😂😂
Ebu tuonyeshe yenye mko nayo Tanzania Kwanza before tuende huko Central Africa.
 
IMG_7639.jpeg
 
"Hatubanani kama kuku kwenye mabanda." Na anayeongea anaishi mojawepo ya hizi sehemu where space and privacy is a luxury and this is what defines their so-called city 🤣🤣🤣
View attachment 3478641View attachment 3478642View attachment 3478646View attachment 3478648



I know affordable housing projects are a thorn in your a**es. Of course tunabomoa slums ndio tuxijenge as you can see below

Mokowe, Lamu affordable housing project. Slums all over the places View attachment 3478654

Vihiga
View attachment 3478656

Lurambi, Kakamega county
View attachment 3478668

Nanyuki, Laikipia county
View attachment 3478672

Elburgon, Nakuru county
View attachment 3478675

Nyahururu
View attachment 3478683

Alego Usonga, Siaya county
View attachment 3478688

Garissa
View attachment 3478696
King's Orchid, Thika View attachment 3478706


"Tanzania miji yetu inapumua"

Miji ambayo inapumua

Mbeya is chocking to the brim (remember it is a city!) 🤣🤣🤣
View attachment 3478708View attachment 3478709View attachment 3478710
🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.

Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.

Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?

Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂
 
🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.

Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.

Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?

Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂
Umeongea kama kondoo kumi.
 
Wewe desperation itakuua bure. You are talking as if you seat in the board of Azam management. Kumbe watchman tu hana mbele wala nyuma.

Talking of exit, this was long overdue and it was only a matter of when, not if. With probably less than 50,000 subscribers in Kenya, there was no way their business in Kenya was making any sense, considering the amount of money they pumped in. Despite sponsoring the Kenyan league in the hope of sprucing up their recorder sales, watu walizikataa kabisa. It's business gone wrong. As simple as that! Azam haina market huku and they've learnt the hard way
Whatever u can say nyang'au,ila hata mimi usiku na mchana nafurahi mnachomfanyia azam huko ukunyan ili ashindwe
 
🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.
They don't make my argument valid because you can't see the sense in it; you are blinded by patriotism. But must you agree with everything I say? Absolutely not! And will you please provide that UN report you are mentioning here?
Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.
How will our affordable housing projects be a vision to you when you live in a six by six uswazi hovel with no breathing space and you are contended?

Tunabomoa mabanda? I shared with you several AHP projects across Kenya. Did you see anything close to mabanda in those areas? Of course you are blinded by patriotism and there's no way you would have seen! Show me anywhere watu wamefukuzwa to give way for housing projects anywhere in Kenya. Stop engaging your emotions. And did you say mnapanga miji? You mean these ones ama kuna zingine?

Dar
Screenshot_20250923-165042.jpg
Screenshot_20250923-165308.jpg


Mwanza
Screenshot_20250925-224124.jpg
Screenshot_20250925-224210.jpg


Mbeya city
Screenshot_20250925-223901.jpg
Screenshot_20250925-223931.jpg


Tabora
Screenshot_20250925-223741.jpg


Arusha
Screenshot_20250925-223433.jpg
Screenshot_20250925-223502.jpg


Zanzibar
Screenshot_20250925-223123.jpg
Screenshot_20250925-223155.jpg


It's evident that you've planned your towns and cities so well. Congratulations!👏👏👏
Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?
Choo cha plot?🤣🤣🤣 Nairobi hakuna choo cha plot bongolala. Hizo tumeachia glorified fishing villages kama Dar. Upate pit latrine Nairobi? Wapi huko!! Hata hiyo pipeline unataja hapa, nyumba zote ni self-contained. Choo na bafu zote ndani

Houses in pipeline
images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
images - 2025-08-05T223105.521.jpeg
images - 2025-08-05T222744.506.jpeg


Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂
Relax man, pressure itapanda bure. Managing pressure is not for the poor like you. Kila jengo jipya ni demolition?
Show me demolitions that took place for these highrises under construction to sprout
FB_IMG_1753613806812.jpg
AuraCon.jpeg
images - 2025-09-17T162528.949.jpeg
1 (5).jpg
images - 2025-07-10T214621.151.jpeg
 
They don't make my argument valid because you can't see the sense in it; you are blinded by patriotism. But must you agree with everything I say? Absolutely not! And will you please provide that UN report you are mentioning here?

How will our affordable housing projects be a vision to you when you live in a six by six uswazi hovel with no breathing space and you are contended?

Tunabomoa mabanda? I shared with you several AHP projects across Kenya. Did you see anything close to mabanda in those areas? Of course you are blinded by patriotism and there's no way you would have seen! Show me anywhere watu wamefukuzwa to give way for housing projects anywhere in Kenya. Stop engaging your emotions. And did you say mnapanga miji? You mean these ones ama kuna zingine?

DarView attachment 3478949View attachment 3478950

MwanzaView attachment 3478957View attachment 3478958

Mbeya city
View attachment 3478959View attachment 3478960

Tabora
View attachment 3478961

Arusha
View attachment 3478962View attachment 3478963

Zanzibar
View attachment 3478964View attachment 3478965

It's evident that you've planned your towns and cities so well. Congratulations!👏👏👏

Choo cha plot?🤣🤣🤣 Nairobi hakuna choo cha plot bongolala. Hizo tumeachia glorified fishing villages kama Dar. Upate pit latrine Nairobi? Wapi huko!! Hata hiyo pipeline unataja hapa, nyumba zote ni self-contained. Choo na bafu zote ndani

Houses in pipeline View attachment 3478966View attachment 3478969View attachment 3478971


Relax man, pressure itapanda bure. Managing pressure is not for the poor like you. Kila jengo jipya ni demolition?
Show me demolitions that took place for these highrises under construction to sproutView attachment 3478975View attachment 3478976View attachment 3478977View attachment 3478978View attachment 3478979
Umeamua umalize Mendez kabisa?🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom