Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brigadier General - TanzaniaBrigadier - Kenya
1758800461332.png
1758800413194.png
 
1. Inaonesha MNF square haijakamikika, manaake ni picha ya kitambo sanaa.
2. Huoni kama hayo ni mabanda ya mama ntilie, kipindi kile walikuwa wanahudumia wavuvi wadogo wadogo.

Kwa akili zako ulidhani hayo ni mabanda ya watu kulala kama ambavyo nyie mnalala huko slum city 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3478309
Hayo mabanda kitambo mno yalishaondolewa
 
Unaelewa jinsi miji ya Tanzania inavyojengwa? Miji yetu sisi huwa huduma zinawekwa mbalimbali, unakuta hospitali inajengwa point X, then uwanja wa mpira unajengwa km 2 kutoka hospitalini, halmashauri ya mkoa inajengwa 3 km kutoka uwanjani, bus station inajengwa 5km kutoka town centre. Na ujenzi wa namna hii ndio unafanya congestion iwe ndogo na kupunguza demand ya flyovers.
Angalia project nyingi za Tanzania upande wa countryside utaelewa style ambayo tunatumia kujenga miji
In a nutshell, you are trying to talk about city/town planning here. Every town or city must have some level of planning. The reason why you think Kenyan towns are not planned in such a manner as you paint above is what baffles me. Show me any major town in Kenya that has hospitals, stadiums, regional offices, and bus stations all located in a single place. As far as planning is concerned, your towns are some of the worst planned ones, with Dar leading the pack. I think it's only Dodoma that's a bit organized but that's only because it was made your capital city recently.

My point is, don't hide behind the keyboard defending the indefensible. The truth is, your towns are expanding and need parallel infrastructure. There's no way you can convince people that towns like Mwanza or even Arusha have not reached the level where they need overpasses and interchanges when they are the second biggest and third biggest towns in Tanzania respectively. That's laughable.
 
Hiyo labda mkawaringie failed state wenzenu.
Mmeishiwa miradi ya kupost na hamna miradi hadi mnapost takataka ambazo zipo hadi Central Africa! 😂😂😂
Ebu tuonyeshe yenye mko nayo Tanzania Kwanza before tuende huko Central Africa.
 
"Hatubanani kama kuku kwenye mabanda." Na anayeongea anaishi mojawepo ya hizi sehemu where space and privacy is a luxury and this is what defines their so-called city 🤣🤣🤣
View attachment 3478641View attachment 3478642View attachment 3478646View attachment 3478648



I know affordable housing projects are a thorn in your a**es. Of course tunabomoa slums ndio tuxijenge as you can see below

Mokowe, Lamu affordable housing project. Slums all over the places View attachment 3478654

Vihiga
View attachment 3478656

Lurambi, Kakamega county
View attachment 3478668

Nanyuki, Laikipia county
View attachment 3478672

Elburgon, Nakuru county
View attachment 3478675

Nyahururu
View attachment 3478683

Alego Usonga, Siaya county
View attachment 3478688

Garissa
View attachment 3478696
King's Orchid, Thika View attachment 3478706


"Tanzania miji yetu inapumua"

Miji ambayo inapumua

Mbeya is chocking to the brim (remember it is a city!) 🤣🤣🤣
View attachment 3478708View attachment 3478709View attachment 3478710
🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.

Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.

Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?

Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂
 
🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.

Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.

Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?

Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂
Umeongea kama kondoo kumi.
 
Wewe desperation itakuua bure. You are talking as if you seat in the board of Azam management. Kumbe watchman tu hana mbele wala nyuma.

Talking of exit, this was long overdue and it was only a matter of when, not if. With probably less than 50,000 subscribers in Kenya, there was no way their business in Kenya was making any sense, considering the amount of money they pumped in. Despite sponsoring the Kenyan league in the hope of sprucing up their recorder sales, watu walizikataa kabisa. It's business gone wrong. As simple as that! Azam haina market huku and they've learnt the hard way
Whatever u can say nyang'au,ila hata mimi usiku na mchana nafurahi mnachomfanyia azam huko ukunyan ili ashindwe
 
Back
Top Bottom