Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣 Bro, kusema Nairobi nyumba ni self-contained ni kama kusema Kibera ni well-planned—ni uongo mtupu. UN-Habitat wenyewe wanasema zaidi ya 60% ya Wakenya wanaishi kwenye informal settlements kama Kibera, Mukuru, na Mathare—hizo si nyumba, ni human parking lots.
"Bro, kusema Nairobi nyumba ni self-contained ni kama kusema Kibera ni well-planned—ni uongo mtupu." 🤣🤣🤣🤣

Kijana wa Tandale, unataka Nairobi ifanane na Dar kwenye hili swala? Nairobi hakuna pit latrines kama huko kwenu Dar. I have never used a pit latrine in my entire life in Nairobi. Si majigambo, it's the truth. Huku watu wanatumia choo za ndani. Ask anyone who has ever been to Nairobi, they'll tell you so. Stop forcing issues here. Hata hiyo Mathare unataja hapa nyumba ziko na choo na bafu ndani. Personally, I have never set foot in Kibera but I think it's the only place you'll ever find a pit latrine (not sure about this though).

And did you mention a UN-Habitat report? How about this World Bank report? Does it ring a bell?
hab.jpg



Wakenya mnapenda kupretend kama nchi yenu ndio nzuri sana hapa East Africa kumbe la hasha. Ukweli ni tofauti kabisa, nchi yenu ni masikini tu kama zilivyo nchi nyingine za Africa, and there's nothing special in Kenya. Watu wenu wanaishi maisha magumu, watu wana njaa Kenya, watu wanaishi kwenye mabanda ya nguruwe. Nchi yenu ina kila aina ya dhiki, yani ni GDP ndio inawabeba ila nyinyi ni masikini kuliko hata Uganda. Ila basi tu mna kamdomo 😂😂😂
We are not pretending. We are just stating facts. Hard facts that you do not like. Everytime we share those facts here, you come out guns blazing, with some of you even going as far as using abusive words and discrediting everything. But must we force you to agree with everything? Absolutely not!

Of course Kenya ni masikini, just like most African countries. No where did we say we aren't poor. That is your own creation. But we are not as poor as our neighbours, your country included. We've shared data here on poverty from WB and IMF, all placing Tanzania ahead of Kenya in poverty rates. But guess what? Tanzanians discredit such reports saying they are half baked truth. But do we even care? 🥱🥱
Screenshot_20220501-110859~2.png


Of course there's nothing special about Kenya. We are just an African country facing a host of challenges, just like most African countries do. Why you think we should be special is your own problem, not mine, or any other kenyan's for that matter.
 
Naipori surrounding with slums,yan hiyo aikwepeki hata kidogo,biggest slum in the world ipo hapo naipori hata ww unajua,binafsi ningekua mkunya hizi za swaga za kuponda miji ya watu wala ningeziacha kabisa
You talking of slums in Nairobi while your city is one big sprawling slum from east to west and north to south! Isn't this the face of your entire city?
Screenshot_20250923-165042.jpg
Screenshot_20250923-165229.jpg
Screenshot_20250923-165308.jpg
Screenshot_20250923-165128.jpg
Screenshot_20250923-165321.jpg


The biggest slum in the world?🤣🤣🤣. Where did you get that info from bongolala? You've definitely hit panic mode
 
Hii sehemu ya Nairobi nyang'au akina Teargass wanajaribu kadri wawezavyo kuficha, ha ha ha😂

Cc: Mimi Wewe Yule
Wao kila siku wanapost uswazi wa Dar ilihali wanajua kabisa uswazi wa Dar ni bora mara 100 ya slums zao za Nairobi. Haya mazingira ya Kibera, Mathare, Uthiru nk huwezi kuyakuta hapa Tanzania lakini Kenya ndio yamejaa nchi nzima 😂😂😂
 
Wao kila siku wanapost uswazi wa Dar ilihali wanajua kabisa uswazi wa Dar ni bora mara 100 ya slums zao za Nairobi. Haya mazingira ya Kibera, Mathare, Uthiru nk huwezi kuyakuta hapa Tanzania lakini Kenya ndio yamejaa nchi nzima 😂😂😂
Haya mazingira ya Kibera, Mathare, Uthiru nk huwezi kuyakuta hapa Tanzania lakini Kenya ndio yamejaa nchi nzima 😂😂😂

Mazingira yenyewe sasa
EfsyUykWoAMz-BV.jpg
Blum_Tandale2_060116.jpg
images - 2025-09-26T123315.258.jpeg
images - 2025-09-26T123301.930.jpeg
Screenshot_20250918_202136_YouTube.jpg
Screenshot_20250918_184932_YouTube.jpg
Screenshot_20250919_012806_YouTube.jpg
 
"Bro, kusema Nairobi nyumba ni self-contained ni kama kusema Kibera ni well-planned—ni uongo mtupu." 🤣🤣🤣🤣

Kijana wa Tandale, unataka Nairobi ifanane na Dar kwenye hili swala? Nairobi hakuna pit latrines kama huko kwenu Dar. I have never used a pit latrine in my entire life in Nairobi. Si majigambo, it's the truth. Huku watu wanatumia choo za ndani. Ask anyone who has ever been to Nairobi, they'll tell you so. Stop forcing issues here. Hata hiyo Mathare unataja hapa nyumba ziko na choo na bafu ndani. Personally, I have never set foot in Kibera but I think it's the only place you'll ever find a pit latrine (not sure about this though).

And did you mention a UN-Habitat report? How about this World Bank report? Does it ring a bell?
View attachment 3479114



We are not pretending. We are just stating facts. Hard facts that you do not like. Everytime we share those facts here, you come out guns blazing, with some of you even going as far as using abusive words and discrediting everything. But must we force you to agree with everything? Absolutely not!

Of course Kenya ni masikini, just like most African countries. No where did we say we aren't poor. That is your own creation. But we are not as poor as our neighbours, your country included. We've shared data here on poverty from WB and IMF, all placing Tanzania ahead of Kenya in poverty rates. But guess what? Tanzanians discredit such reports saying they are half baked truth. But do we even care? 🥱🥱
View attachment 3479127

Of course there's nothing special about Kenya. We are just an African country facing a host of challenges, just like most African countries do. Why you think we should be special is your own problem, not mine, or any other kenyan's for that matter.
Just show them this.

1000071768.jpg
1000071766.jpg
 
Wao kila siku wanapost uswazi wa Dar ilihali wanajua kabisa uswazi wa Dar ni bora mara 100 ya slums zao za Nairobi. Haya mazingira ya Kibera, Mathare, Uthiru nk huwezi kuyakuta hapa Tanzania lakini Kenya ndio yamejaa nchi nzima 😂😂😂
Mbona huwa hawataji na kuonesha hizo slums zilizopo Dar!
Wanasahau kuwa biggest slum in Africa na duniani yapo Kenya. 😂😂😂
Anadhani kwenda Google earth na ku zoom out kutaweka slums Dar.
 
You talking of slums in Nairobi while your city is one big sprawling slum from east to west and north to south! Isn't this the face of your entire city?
View attachment 3479136View attachment 3479137View attachment 3479139View attachment 3479140View attachment 3479141

The biggest slum in the world?🤣🤣🤣. Where did you get that info from bongolala? You've definitely hit panic mode
Hapa East Africa hakuna sehemu inazidi Kenya kwa slums wewe Mkundustan. Kenya mna slums level moja na India na Nigeria. Kenya haijalishi uende wapi, South, East, West au Central kote ni slums tu, ukienda North ni ukame na njaa😂😂😂

Angalia Nairobi ambayo mnaita world class city 🤣🤣🤣
Screenshot_2025-09-26-00-35-16-307_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-00-35-48-511_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-00-36-34-826_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-36-53-988_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-37-05-385_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-43-58-280_com.google.android.apps.maps.jpg


Achana na Nairobi twende Mombasa 😂😂😂
Screenshot_2025-09-26-12-26-15-205_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-26-06-717_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-25-30-180_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-25-15-965_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-24-35-181_com.google.android.apps.maps.jpg

Nchi nzima imejaa nyumba za matope na mabati na mko hapa mnatrash Tanzania. Kwenye hili suala la slums Kenya mko juu sana.
Kama unabisha nenda YouTube search slum in Tanzania (2024/2025) uone, halafu search slums in Kenya (2024/2025) ndio uone tofauti ya Jua na mwezi. Haki ya Mungu, hakuna slum chafu kama Kibera hapa East Africa 🤣🤣🤣

Hebu angalia hawa watu wanaoishi hapa, hivi wana future kweli hawa? Nchi za Africa zina watu masikini lakini Kenya mmezidi kwa kweli 😑😑

View: https://youtu.be/6rIV8TlrbLQ?si=nq3I4O_8m7bj2ppO
 
Mbona huwa hawataji na kuonesha hizo slums zilizopo Dar!
Wanasahau kuwa biggest slum in Africa na duniani yapo Kenya. 😂😂😂
Anadhani kwenda Google earth na ku zoom out kutaweka slums Dar.
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
Lakini Kenya nyumba zinajengwa na matope, nyingine ni full mabati kuanzia chini hadi juu. Yani watu wanaiona hell hapahapa duniani, halafu wanaona sawa. Eti Singapore ya Africa, Singapore my ass 😂😂😂
 
Wewe scammer unashindwaje kujua list of Slums in your big slumish city?

View attachment 3479163
Nimekuitisha statement umeshindwa kuleta umebaki kulazimisha niwe scammer ili kuficha aibu ya kutoleta statement! 😂😂😂
Poor jaluo kumbe siku hizi informal settlement imekuwa slums! 😂😂😂
Hayo majibu ya AI mbona yanakuumbua!
Kazi ni kuvaa kama wazee.
 
Nimekuitisha statement umeshindwa kuleta umebaki kulazimisha niwe scammer ili kuficha aibu ya kutoleta statement! 😂😂😂
Poor jaluo kumbe siku hizi informal settlement imekuwa slums! 😂😂😂
Hayo majibu ya AI mbona yanakuumbua!
Kazi ni kuvaa kama wazee.
Why are you so ashamed of your job? You should have some pride in Scamming people.

Anyway back to slums Mr. Scammer.

1000071770.jpg
 
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
Lakini Kenya nyumba zinajengwa na matope, nyingine ni full mabati kuanzia chini hadi juu. Yani watu wanaiona hell hapahapa duniani, halafu wanaona sawa. Eti Singapore ya Africa, Singapore my ass 😂😂😂
Tofauti ya hawa Wakunya na kondoo ni harufu. 😂😂😂

View: https://youtu.be/0B_vZCLDs-M?si=BDLanziot3KCMHgF
 
Back
Top Bottom