Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm binafsi nakesha mitandaoni nikuiponda ligi yenu na kuwaambia Azam waachane na ligi jua kali hiyo cz watapata hasara, so mnapoongea hivi mm huwa nafurahi sn mnanipunguzia kazi, and FYI Azam anaondoka huko soon, atabaki kuwauzia decoders lkn udhamini atapiga chini, ligi yenu haina mvuto. Juzi kuna mechi nilicheka sanaa, ligi inachezwa nje yn uwanja hauna majukwaa aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe desperation itakuua bure. You are talking as if you seat in the board of Azam management. Kumbe watchman tu hana mbele wala nyuma.

Talking of exit, this was long overdue and it was only a matter of when, not if. With probably less than 50,000 subscribers in Kenya, there was no way their business in Kenya was making any sense, considering the amount of money they pumped in. Despite sponsoring the Kenyan league in the hope of sprucing up their recorder sales, watu walizikataa kabisa. It's business gone wrong. As simple as that! Azam haina market huku and they've learnt the hard way
 
Nikiwaambia hakuna kitu kipo kenya kikakosa kuwepo Tz wananichukia, haya ona sasa mradi wanaoringia upo kwao mjini sisi upo mpk kigoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Show me a stadium in Tanzania with hydraulic tension cable system

Show me any town or city in Tanganyika that has 100% underground power infrastructure (if you know what that means)
 
Picha tatu za mwisho sio Dar mjomba
As if you are going to be the last person here to deny Dar is slum pictures
Dofoto_20250924_191412368.jpg
 
Eti uwanja wa Arusha unajengwa porini

“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.

Ninyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer. 🤣

Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda. 😅

Sisi tunapanua miji, nyinyi mnapanua slums. Big difference.”
Screenshot_2025-09-24-20-00-37-201_com.instagram.android-edit.jpg
 
Eti uwanja wa Arusha unajengwa porini

“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.

Ninyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer. 🤣

Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda. 😅

Sisi tunapanua miji, nyinyi mnapanua slums. Big difference.”
View attachment 3478456
Hawajui kuwa hayo maeneo tayari yameshapanda thamani tena uwanja upo sehemu nzuri jirani na airport.
 
Eti uwanja wa Arusha unajengwa porini

“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.

Ninyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer. 🤣

Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda. 😅

Sisi tunapanua miji, nyinyi mnapanua slums. Big difference.”
View attachment 3478456
Sasa kujenga uwanja porini ni kupanua mji?😂😂 Mji gani iko hapo mahali uwanja inajengwa?
 
Kwani kuwa nayo kuna umhimu gani comparing vile ambavyo tunavyo na kwenu ni ndoto.

Like seriously calavati?

Kwamba singapooor inaringia kalavati
How would you understand it when you call it kalavati? Hiyo kalavati ndio hamna kwa sasa. Mubahatike mpate leo hiyo kalavati kelele mtapiga usiku na mchana humu ndani vile mnajenga infrastructure za kimkakati!

Viumbe vya ajabu sana
 
Sasa kujenga uwanja porini ni kupanua mji?😂😂 Mji gani iko hapo mahali uwanja inajengwa?
Hii ndo difference ya vision na kukimbizana na congestion. Sisi tukijenga uwanja maporini tunapanua mji, kesho na kesho kutwa barabara, shule, hospitals, na makazi yanajengwa hapo, mji unakua. Huko kwenu hamna option hiyo, mnaanza tu kuzungusha mabanda hadi yaitwe ‘estate’. 😂

Arusha yenyewe tayari ni tourist hub ya East Africa, sasa ongeza Samia Stadium hapo porini—ndiyo namna miji inakuwa planned na smart. Huko kwenu mkijaribu kujenga uwanja mpya lazima mtoe watu kwa slums kwanza. Hata hiyo affordable housing mnayoita miracle ni slum upgrade tu 🚮🚮
 
Back
Top Bottom