Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oktomba tunatikiii... Tuko vizuriii
1000145117.jpg
 
🤣🤣Kwanza hebu relax. Hizo picha za Dar na Mbeya unazopost hazifanyi argument yako valid. Tanzania tuna ardhi kubwa kuliko Kenya mara mbili, so tukipanua miji tunapumua kweli — sio kama Nairobi ambayo imebanana hadi UN report zimeiandika kama moja ya miji yenye slums kubwa duniani.
They don't make my argument valid because you can't see the sense in it; you are blinded by patriotism. But must you agree with everything I say? Absolutely not! And will you please provide that UN report you are mentioning here?
Affordable housing yenu? 😂 Bro hiyo si vision, hiyo ni crisis management. Mnaanza na mabanda, mnabomoa, mnajenga tenement, halafu mnaita miracle. Sisi huku tunaanza na ardhi tupu, tunapanga mji, tunajenga stadium, barabara, shule na makazi mapya bila kulazimika kuwafukuza watu.
How will our affordable housing projects be a vision to you when you live in a six by six uswazi hovel with no breathing space and you are contended?

Tunabomoa mabanda? I shared with you several AHP projects across Kenya. Did you see anything close to mabanda in those areas? Of course you are blinded by patriotism and there's no way you would have seen! Show me anywhere watu wamefukuzwa to give way for housing projects anywhere in Kenya. Stop engaging your emotions. And did you say mnapanga miji? You mean these ones ama kuna zingine?

Dar
Screenshot_20250923-165042.jpg
Screenshot_20250923-165308.jpg


Mwanza
Screenshot_20250925-224124.jpg
Screenshot_20250925-224210.jpg


Mbeya city
Screenshot_20250925-223901.jpg
Screenshot_20250925-223931.jpg


Tabora
Screenshot_20250925-223741.jpg


Arusha
Screenshot_20250925-223433.jpg
Screenshot_20250925-223502.jpg


Zanzibar
Screenshot_20250925-223123.jpg
Screenshot_20250925-223155.jpg


It's evident that you've planned your towns and cities so well. Congratulations!👏👏👏
Halafu usilete Mbeya bana, 😂 Dar yenye congestion bado haijafikia level ya Pipeline na Mathare zenu ambako hamna hata privacy Watu wanapanga line kuingia choo cha plot, hiyo ndo ‘world class city’ mnajidai nayo?
Choo cha plot?🤣🤣🤣 Nairobi hakuna choo cha plot bongolala. Hizo tumeachia glorified fishing villages kama Dar. Upate pit latrine Nairobi? Wapi huko!! Hata hiyo pipeline unataja hapa, nyumba zote ni self-contained. Choo na bafu zote ndani

Houses in pipeline
images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
images - 2025-08-05T223105.521.jpeg
images - 2025-08-05T222744.506.jpeg


Miji yenu haina pumzi bro, ina asthma. Hata Nairobi imebanwa kiasi kwamba kila jengo jipya ni demolition project iliyokuwepo. Tena hiyo Nairobi yenu watu wanachunga ng'ombe hadi CBD. Hebu kwenda huko 😂😂😂
Relax man, pressure itapanda bure. Managing pressure is not for the poor like you. Kila jengo jipya ni demolition?
Show me demolitions that took place for these highrises under construction to sprout
FB_IMG_1753613806812.jpg
AuraCon.jpeg
images - 2025-09-17T162528.949.jpeg
1 (5).jpg
images - 2025-07-10T214621.151.jpeg
 
They don't make my argument valid because you can't see the sense in it; you are blinded by patriotism. But must you agree with everything I say? Absolutely not! And will you please provide that UN report you are mentioning here?

How will our affordable housing projects be a vision to you when you live in a six by six uswazi hovel with no breathing space and you are contended?

Tunabomoa mabanda? I shared with you several AHP projects across Kenya. Did you see anything close to mabanda in those areas? Of course you are blinded by patriotism and there's no way you would have seen! Show me anywhere watu wamefukuzwa to give way for housing projects anywhere in Kenya. Stop engaging your emotions. And did you say mnapanga miji? You mean these ones ama kuna zingine?

DarView attachment 3478949View attachment 3478950

MwanzaView attachment 3478957View attachment 3478958

Mbeya city
View attachment 3478959View attachment 3478960

Tabora
View attachment 3478961

Arusha
View attachment 3478962View attachment 3478963

Zanzibar
View attachment 3478964View attachment 3478965

It's evident that you've planned your towns and cities so well. Congratulations!👏👏👏

Choo cha plot?🤣🤣🤣 Nairobi hakuna choo cha plot bongolala. Hizo tumeachia glorified fishing villages kama Dar. Upate pit latrine Nairobi? Wapi huko!! Hata hiyo pipeline unataja hapa, nyumba zote ni self-contained. Choo na bafu zote ndani

Houses in pipeline View attachment 3478966View attachment 3478969View attachment 3478971


Relax man, pressure itapanda bure. Managing pressure is not for the poor like you. Kila jengo jipya ni demolition?
Show me demolitions that took place for these highrises under construction to sproutView attachment 3478975View attachment 3478976View attachment 3478977View attachment 3478978View attachment 3478979
Umeamua umalize Mendez kabisa?🤣🤣😂
 
They don't make my argument valid because you can't see the sense in it; you are blinded by patriotism. But must you agree with everything I say? Absolutely not! And will you please provide that UN report you are mentioning here?

How will our affordable housing projects be a vision to you when you live in a six by six uswazi hovel with no breathing space and you are contended?

Tunabomoa mabanda? I shared with you several AHP projects across Kenya. Did you see anything close to mabanda in those areas? Of course you are blinded by patriotism and there's no way you would have seen! Show me anywhere watu wamefukuzwa to give way for housing projects anywhere in Kenya. Stop engaging your emotions. And did you say mnapanga miji? You mean these ones ama kuna zingine?

DarView attachment 3478949View attachment 3478950

MwanzaView attachment 3478957View attachment 3478958

Mbeya city
View attachment 3478959View attachment 3478960

Tabora
View attachment 3478961

Arusha
View attachment 3478962View attachment 3478963

Zanzibar
View attachment 3478964View attachment 3478965

It's evident that you've planned your towns and cities so well. Congratulations!👏👏👏

Choo cha plot?🤣🤣🤣 Nairobi hakuna choo cha plot bongolala. Hizo tumeachia glorified fishing villages kama Dar. Upate pit latrine Nairobi? Wapi huko!! Hata hiyo pipeline unataja hapa, nyumba zote ni self-contained. Choo na bafu zote ndani

Houses in pipeline View attachment 3478966View attachment 3478969View attachment 3478971


Relax man, pressure itapanda bure. Managing pressure is not for the poor like you. Kila jengo jipya ni demolition?
Show me demolitions that took place for these highrises under construction to sproutView attachment 3478975View attachment 3478976View attachment 3478977View attachment 3478978View attachment 3478979
🤣 Bro, kusema Nairobi nyumba ni self-contained ni kama kusema Kibera ni well-planned—ni uongo mtupu. UN-Habitat wenyewe wanasema zaidi ya 60% ya Wakenya wanaishi kwenye informal settlements kama Kibera, Mukuru, na Mathare—hizo si nyumba, ni human parking lots.


Wakenya mnapenda kupretend kama nchi yenu ndio nzuri sana hapa East Africa kumbe la hasha. Ukweli ni tofauti kabisa, nchi yenu ni masikini tu kama zilivyo nchi nyingine za Africa, and there's nothing special in Kenya. Watu wenu wanaishi maisha magumu, watu wana njaa Kenya, watu wanaishi kwenye mabanda ya nguruwe. Nchi yenu ina kila aina ya dhiki, yani ni GDP ndio inawabeba ila nyinyi ni masikini kuliko hata Uganda. Ila basi tu mna kamdomo 😂😂😂
 
Fundi wa Baiskeli atakuambia ati hii building to rise another building had to be demolished 😂😂😂

Westlands.

Nairobi has some of the most environment friendly buildings in Africa.
View attachment 3478981
Unavyopost majengo ya wazungu, kumbuka Nairobi halisi wanayoishi Wakenya ilivyo 😂😂😂
Kamji kachafu kama nini. No wonder mnachunga ng'ombe hadi CBD 😂😂😂
Screenshot_2025-09-26-00-35-16-307_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-00-35-48-511_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-00-36-34-826_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-36-53-988_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-37-05-385_com.google.android.apps.maps.png
 
Back
Top Bottom