Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1758715955841.png
 
1. Inaonesha MNF square haijakamikika, manaake ni picha ya kitambo sanaa.
2. Huoni kama hayo ni mabanda ya mama ntilie, kipindi kile walikuwa wanahudumia wavuvi wadogo wadogo.

Kwa akili zako ulidhani hayo ni mabanda ya watu kulala kama ambavyo nyie mnalala huko slum city 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3478309
Kila kitu chenu kibaya lazima kiwe cha kitambo. Mbona tushazoea? You must find a way to make it look ancient, even if it isn't. The fact remains, that's Dar and those are shanties in your cbd. Mengine yote ni povu!
 
Na itashuka zaidi.
If you look at those statistics, Azam's subscribers in Kenya (before the drop) do not exceed 50,000 people. Lakini kelele tunapigiwa hapa! You'd think there are a million subscribers in Kenya
 
😂😂😂😂😂😂

Eti hampumziki how many projects tumepiga ambazo hamuwezi zifikia hata Robo.

Tuanze na

JNHPP

Ndio uturingie haka kakalavati seriously
Tunawaringia coz hamna kama hiyo Tanganyika nzima
 
How is that a bad thing? Infact inasaidia kutanua mji. In future watu watajenga hapo na mji unazidi kuwa mkubwa, sisi huku Tanzania miji yetu tunaprefer horizontal settlement kwa sababu tunayo ardhi ya kutosha. Sio kama huko Kenya kila kitu mnajenga sehemu moja. Miji yenu ipo congested hadi inatia kichefuchefu.
Watu hawana ardhi wanaamua kujenga mabanda mengi ya kama ya nguruwe sehemu moja, No wonder mnahangaika na affordable housing kila kona ya nchi
Are you talking of congestion? You forget this is how 70% of Dar looks like. If this is not congestion, I don't know what is
8029130921_e9a5ab0981_b.jpg
22046498_2155016471191209_111704014321925244_n.jpg
slums-840503.jpg
istockphoto-178507950-612x612.jpg
aerial-view-overpopulated-informal-settlement-260nw-2569430407.jpg
urban-slums-dar-es-salaam-600w-1042505350.jpg
 
If you look at those statistics, Azam's subscribers in Kenya (before the drop) do not exceed 50,000 people. Lakini kelele tunapigiwa hapa! You'd think there are a million subscribers in Kenya
Mm binafsi nakesha mitandaoni nikuiponda ligi yenu na kuwaambia Azam waachane na ligi jua kali hiyo cz watapata hasara, so mnapoongea hivi mm huwa nafurahi sn mnanipunguzia kazi, and FYI Azam anaondoka huko soon, atabaki kuwauzia decoders lkn udhamini atapiga chini, ligi yenu haina mvuto. Juzi kuna mechi nilicheka sanaa, ligi inachezwa nje yn uwanja hauna majukwaa aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom