babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,904
Na itashuka zaidi.Azam imeshuka kwa 60% despite kununua rights za KPL 😂😂😂
Zuku only dropped by 1%, meaning Kenyans trust Zuku.Nani kapata faida hapo??
Sema nguvu kuandamana ndio huwa hawana.
View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1970759228089319443?t=eKgABvBjJanYWezBqDctIQ&s=19
Ligi ya kenya mipira tu haitoshi, mipira michache lkn hyo hyo michache unakuta puma, Adidas, nike yote himo. Ilimradi vurugu tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kila kitu chenu kibaya lazima kiwe cha kitambo. Mbona tushazoea? You must find a way to make it look ancient, even if it isn't. The fact remains, that's Dar and those are shanties in your cbd. Mengine yote ni povu!1. Inaonesha MNF square haijakamikika, manaake ni picha ya kitambo sanaa.
2. Huoni kama hayo ni mabanda ya mama ntilie, kipindi kile walikuwa wanahudumia wavuvi wadogo wadogo.
Kwa akili zako ulidhani hayo ni mabanda ya watu kulala kama ambavyo nyie mnalala huko slum city 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3478309
Asante kwa kusema hapa sio za Darasante kwa kuokota picha za google😂😂
😂😂😂😂😂😂Siku Tanzania itajenga underpass kama hii hatutapumzika huku.
View attachment 3477982View attachment 3477983
If you look at those statistics, Azam's subscribers in Kenya (before the drop) do not exceed 50,000 people. Lakini kelele tunapigiwa hapa! You'd think there are a million subscribers in KenyaNa itashuka zaidi.
Tunawaringia coz hamna kama hiyo Tanganyika nzima😂😂😂😂😂😂
Eti hampumziki how many projects tumepiga ambazo hamuwezi zifikia hata Robo.
Tuanze na
JNHPP
Ndio uturingie haka kakalavati seriously
Kwani kuwa nayo kuna umhimu gani comparing vile ambavyo tunavyo na kwenu ni ndoto.Tunawaringia coz hamna kama hiyo Tanganyika nzima
Nenda Kariakoo kama unataka kutembea chini chiniTunawaringia coz hamna kama hiyo Tanganyika nzima
Are you talking of congestion? You forget this is how 70% of Dar looks like. If this is not congestion, I don't know what isHow is that a bad thing? Infact inasaidia kutanua mji. In future watu watajenga hapo na mji unazidi kuwa mkubwa, sisi huku Tanzania miji yetu tunaprefer horizontal settlement kwa sababu tunayo ardhi ya kutosha. Sio kama huko Kenya kila kitu mnajenga sehemu moja. Miji yenu ipo congested hadi inatia kichefuchefu.
Watu hawana ardhi wanaamua kujenga mabanda mengi ya kama ya nguruwe sehemu moja, No wonder mnahangaika na affordable housing kila kona ya nchi
Show us anything like this in the whole of TanganyikaNenda Kariakoo kama unataka kutembea chini chini
Hizo hadi Kigoma ipo. 😂😂😂Nenda Kariakoo kama unataka kutembea chini chini
Ligi imeanza ila wachezaji bado wanavaa jezi za msimu uliopita. 😂😂😂Ligi ya kenya mipira tu haitoshi, mipira michache lkn hyo hyo michache unakuta puma, Adidas, nike yote himo. Ilimradi vurugu tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mm binafsi nakesha mitandaoni nikuiponda ligi yenu na kuwaambia Azam waachane na ligi jua kali hiyo cz watapata hasara, so mnapoongea hivi mm huwa nafurahi sn mnanipunguzia kazi, and FYI Azam anaondoka huko soon, atabaki kuwauzia decoders lkn udhamini atapiga chini, ligi yenu haina mvuto. Juzi kuna mechi nilicheka sanaa, ligi inachezwa nje yn uwanja hauna majukwaa aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣If you look at those statistics, Azam's subscribers in Kenya (before the drop) do not exceed 50,000 people. Lakini kelele tunapigiwa hapa! You'd think there are a million subscribers in Kenya