Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Washamba wa flyover kenge nyie. Nilishakuambia flyover zinajengwa kama zinahitajika, sio unajenga kwa ajili ya fashion tu
This statement alone means that Tanzania is not developed outside Dar, ingekuwa hizo towns zingine are developed already mngeshapata demand ya kujenga those flyovers. Or in other words, watanzania hawamiliki magari.
 
Eti uwanja wa Arusha unajengwa porini

“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.

Ninyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer. 🤣

Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda. 😅

Sisi tunapanua miji, nyinyi mnapanua slums. Big difference.”
View attachment 3478456
Asichokijua ni kuwa we are building a new Arusha city around area hiyo ilipo stadium
 
This statement alone means that Tanzania is not developed outside Dar, ingekuwa hizo towns zingine are developed already mngeshapata demand ya kujenga those flyovers. Or in other words, watanzania hawamiliki magari.
Hii ndio tunaita "hasty generalization"

Ni aina ya logical fallacy ambapo mtu anajitengenezea general conclusion kutokana na ushahidi mdogo au usio wa kutosha na mara nyingi hutumika tu ili kushinda mabishano.
Ndio unachokifanya hapa ndugu Teargass
Unafanya
Cherry picking, unachagua fact chache zinazokufaa na kupuuza zingine.
Overgeneralization- unageuza kitu kidogo kuwa general conclusion

Unaelewa jinsi miji ya Tanzania inavyojengwa? Miji yetu sisi huwa huduma zinawekwa mbalimbali, unakuta hospitali inajengwa point X, then uwanja wa mpira unajengwa km 2 kutoka hospitalini, halmashauri ya mkoa inajengwa 3 km kutoka uwanjani, bus station inajengwa 5km kutoka town centre. Na ujenzi wa namna hii ndio unafanya congestion iwe ndogo na kupunguza demand ya flyovers.
Angalia project nyingi za Tanzania upande wa countryside utaelewa style ambayo tunatumia kujenga miji
 
Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoView attachment 3478497
Hapo mkapa kulikuwa na eneo kubwa lililotengwa kama sports complex miaka ya 70s huko na hapo kulikuwa nje ya mji wakati huo so eneo ni kubwa na bado lipo eneo la kujenga hata two more stadiums
 
Aren’t you aware that most Kenyans own pay TV than Tanzania?
Numbers zenu tumeziona hapo DSTV, AZAM, ZUKU sasa kula chumo hicho toka TCRA
AI Overview

In Tanzania, the number of pay-TV subscriptions stood at approximately 3.6 million in September 2023 according to a report by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), with a specific total of 3,661,976 in 2023 for Star Times and other operators combined. The market includes major players like Star Times and Azam, alongside smaller operators such as DStv, Continental, ZUKU, BTL, and Agape.
Subscriber Numbers by Operator (as of 2023)
Star Times: Had 2,158,795 active subscribers in 2023, showing a 3.2% growth in subscribers that year.
Azam TV: Is a fast-growing operator with 26% growth in 2023, although specific numbers are not provided in this context.
DStv: Saw its subscriber base decline to 245,349 in Tanzania in 2023.
Other Operators
In addition to the leading players, other smaller pay-TV providers in Tanzania include Continental, ZUKU, BTL, and Agape.
Market Overview
Tanzania's pay-TV market has seen significant growth in recent years.
The market includes both satellite TV and digital terrestrial TV services.
The presence of both local and international companies contributes to a dynamic and competitive landscape.
 
Tanzanian industrial exports are less than $500M.
Manudactured goods Tanzania 2024 USD 1.92bn
 
Kenya manufactured goods exports ni paltry USD 900m tuu. Tz exports more than twice what kenya exports halafu utasikia huku nyangau akijisifu eti we are more industrialized country in EA kumbe hawajui they are still living in the past glory.
 
Kenya manufactured goods exports ni paltry USD 900m tuu. Tz exports more than twice what kenya exports halafu utasikia huku nyangau akijisifu eti we are more industrialized country in EA kumbe hawajui they are still living in the past glory.
The value of Kenyan manufacturing sector in 2024 was $20B. That's 10 times ya Tanzania.

1000070373.jpg
 
aliewadanganya ni mama ngina 😂😂
umaskini tanzania ni 26% kenya ni over 38% bado munatafuta mchawi
Umaskini in Tanzania is 26% when by $1, Umaskini in Kenya is 38% when done by $3.5.

When both countries are placed on a neutral ground of $5.5, Kenya stands at 51% while Tanzania is at 80%.

Siku mtatoka LDC umaskini wenu hautakuwa calculated by $1.

Anyway Kenya's poverty is calculated at this rate which places your at 80%

1000061322.jpg
 
Back
Top Bottom