Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio kweli, miji ya Tanzania mingi haina slums, na slums zinapatikana kwenye urban areas tu
Huwezi kuniambia kwamba more than 70% of Tanzanians are living in urban areas. Huu ni uongo wa wazi kabisa. Achana na data fake
Kati yako wewe mziba puncher and World Bank wenye wanasema 70% of Tanzanians live in slums tuamini nani?
 
Kenya Countryside vs Tanzania Countyside.
Nimekuonesha hiyo hospitali kwa sababu juu ya roads unaongea pumba tu. Hizo roads zipo kila kona hapa Tanzania
Do you have overpass, interchange and flyover anywhere in Tanzania outside Dar?
 
Kwani kuwa nayo kuna umhimu gani comparing vile ambavyo tunavyo na kwenu ni ndoto.

Like seriously calavati?

Kwamba singapooor inaringia kalavati
Ndipo walipofika huko kaka hata ka insignificant project wanafurahia tuu maana new projects huko ukiondoa nyumba ni adimu
 
Do you have overpass, interchange and flyover anywhere in Tanzania outside Dar?
Washamba wa flyover kenge nyie. Nilishakuambia flyover zinajengwa kama zinahitajika, sio unajenga kwa ajili ya fashion tu
Miji ya Tanzania sio congested kama Kenya, miji imepanuka na ina barabara nzuri, flyover ya nini tena wakati miji ina barabara za kutosha na hakuna msongamano?
Dar kuna flyovers kwa sababu ya congestion, sio kwa ajili ya fashion
 
Washamba wa flyover kenge nyie. Nilishakuambia flyover zinajengwa kama zinahitajika, sio unajenga kwa ajili ya fashion tu
This statement alone means that Tanzania is not developed outside Dar, ingekuwa hizo towns zingine are developed already mngeshapata demand ya kujenga those flyovers. Or in other words, watanzania hawamiliki magari.
 
Eti uwanja wa Arusha unajengwa porini

“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.

Ninyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer. 🤣

Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda. 😅

Sisi tunapanua miji, nyinyi mnapanua slums. Big difference.”
View attachment 3478456
Asichokijua ni kuwa we are building a new Arusha city around area hiyo ilipo stadium
 
This statement alone means that Tanzania is not developed outside Dar, ingekuwa hizo towns zingine are developed already mngeshapata demand ya kujenga those flyovers. Or in other words, watanzania hawamiliki magari.
Hii ndio tunaita "hasty generalization"

Ni aina ya logical fallacy ambapo mtu anajitengenezea general conclusion kutokana na ushahidi mdogo au usio wa kutosha na mara nyingi hutumika tu ili kushinda mabishano.
Ndio unachokifanya hapa ndugu Teargass
Unafanya
Cherry picking, unachagua fact chache zinazokufaa na kupuuza zingine.
Overgeneralization- unageuza kitu kidogo kuwa general conclusion

Unaelewa jinsi miji ya Tanzania inavyojengwa? Miji yetu sisi huwa huduma zinawekwa mbalimbali, unakuta hospitali inajengwa point X, then uwanja wa mpira unajengwa km 2 kutoka hospitalini, halmashauri ya mkoa inajengwa 3 km kutoka uwanjani, bus station inajengwa 5km kutoka town centre. Na ujenzi wa namna hii ndio unafanya congestion iwe ndogo na kupunguza demand ya flyovers.
Angalia project nyingi za Tanzania upande wa countryside utaelewa style ambayo tunatumia kujenga miji
 
Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoView attachment 3478497
Hapo mkapa kulikuwa na eneo kubwa lililotengwa kama sports complex miaka ya 70s huko na hapo kulikuwa nje ya mji wakati huo so eneo ni kubwa na bado lipo eneo la kujenga hata two more stadiums
 
Back
Top Bottom