Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,976
- 27,984
Tanzanian industrial exports are less than $500M.Weka data hapa so that we compare industrial product exports between Kenya and Tanzania tuone
Tanzanian industrial exports are less than $500M.Weka data hapa so that we compare industrial product exports between Kenya and Tanzania tuone
Zee la kukaza fuvuAren’t you aware that most Kenyans own pay TV than Tanzania?
Kati yako wewe mziba puncher and World Bank wenye wanasema 70% of Tanzanians live in slums tuamini nani?Sio kweli, miji ya Tanzania mingi haina slums, na slums zinapatikana kwenye urban areas tu
Huwezi kuniambia kwamba more than 70% of Tanzanians are living in urban areas. Huu ni uongo wa wazi kabisa. Achana na data fake
Njombe ni mkoa mdogo sana kwa hapa Tz lakini angalia hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Njombe. Na huu mji hata haupo top 15 miji iliyoendelea Tanzania lakini angalia hii hospitali.
View: https://www.instagram.com/p/DOQH2qqDxTR/?igsh=MTI0MDhlcGIyNWU0dQ==
This terminal was built by a Kenyan construction company.Maeneo ya karibu na Songwe Airport, huko Mbalizi mkoa wa Mbeya
840km from Dar
View attachment 3478548View attachment 3478549View attachment 3478550View attachment 3478551
Kenya Countryside vs Tanzania Countyside.Is this a road? Are you always dumb ama?
70% of Tanzanians live in slums. Dar itself is one big slum.Tutajie jina la slum mojawapo Tanzania
Do you have overpass, interchange and flyover anywhere in Tanzania outside Dar?Kenya Countryside vs Tanzania Countyside.
Nimekuonesha hiyo hospitali kwa sababu juu ya roads unaongea pumba tu. Hizo roads zipo kila kona hapa Tanzania
Leta linkKati yako wewe mziba puncher and World Bank wenye wanasema 70% of Tanzanians live in slums tuamini nani?
Kwani hile screenshot nimekuwa Niki share hapa kila siku huwa Huoni?Leta link
Ndipo walipofika huko kaka hata ka insignificant project wanafurahia tuu maana new projects huko ukiondoa nyumba ni adimuKwani kuwa nayo kuna umhimu gani comparing vile ambavyo tunavyo na kwenu ni ndoto.
Like seriously calavati?
Kwamba singapooor inaringia kalavati
Washamba wa flyover kenge nyie. Nilishakuambia flyover zinajengwa kama zinahitajika, sio unajenga kwa ajili ya fashion tuDo you have overpass, interchange and flyover anywhere in Tanzania outside Dar?
Wewe leta linkKwani hile screenshot nimekuwa Niki share hapa kila siku huwa Huoni?
This statement alone means that Tanzania is not developed outside Dar, ingekuwa hizo towns zingine are developed already mngeshapata demand ya kujenga those flyovers. Or in other words, watanzania hawamiliki magari.Washamba wa flyover kenge nyie. Nilishakuambia flyover zinajengwa kama zinahitajika, sio unajenga kwa ajili ya fashion tu
Embu compare hiyo picture na slums za kibera et al. Tuone tofauti ya slums na unplanned settlementsAs if you are going to be the last person here to deny Dar is slum pictures View attachment 3478444
Asichokijua ni kuwa we are building a new Arusha city around area hiyo ilipo stadiumEti uwanja wa Arusha unajengwa porini
“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.
Ninyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer. 🤣
Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda. 😅
Sisi tunapanua miji, nyinyi mnapanua slums. Big difference.”
View attachment 3478456
Hii ndio tunaita "hasty generalization"This statement alone means that Tanzania is not developed outside Dar, ingekuwa hizo towns zingine are developed already mngeshapata demand ya kujenga those flyovers. Or in other words, watanzania hawamiliki magari.
Hapo mkapa kulikuwa na eneo kubwa lililotengwa kama sports complex miaka ya 70s huko na hapo kulikuwa nje ya mji wakati huo so eneo ni kubwa na bado lipo eneo la kujenga hata two more stadiumsInsha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoView attachment 3478497
Hawawezi kuelewa hawa jinsi miji Tanzania inavyojengwa. Sisi tuko free tuna ardhi kubwa na sio expensive kama kwao, so tunaweza kuweka development anywhere, wamezoea kwao kila kitu kinakaa city centreAsichokijua ni kuwa we are building a new Arusha city around area hiyo ilipo stadium