Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Just because the picture has been zoomed doesn't mean that hiyo mini stadium is not in the bush. Mmejengea tumbili na nyani uwanja.
How is that a bad thing? Infact inasaidia kutanua mji. In future watu watajenga hapo na mji unazidi kuwa mkubwa, sisi huku Tanzania miji yetu tunaprefer horizontal settlement kwa sababu tunayo ardhi ya kutosha. Sio kama huko Kenya kila kitu mnajenga sehemu moja. Miji yenu ipo congested hadi inatia kichefuchefu.
Watu hawana ardhi wanaamua kujenga mabanda mengi ya kama ya nguruwe sehemu moja, No wonder mnahangaika na affordable housing kila kona ya nchi
 
Nimeokota? Kwamba hapa sio Dar ama unamaanisha nini?View attachment 3478146
Kwamba hutaki picha ya namna eneo lilivyo sasa hivi.
Battle imewashinda kondoo nyie.
1758702389744.jpeg
 
How is that a bad thing? Infact inasaidia kutanua mji. In future watu watajenga hapo na mji unazidi kuwa mkubwa, sisi huku Tanzania miji yetu tunaprefer horizontal settlement kwa sababu tunayo ardhi ya kutosha. Sio kama huko Kenya kila kitu mnajenga sehemu moja. Miji yenu ipo congested hadi inatia kichefuchefu.
Watu hawana ardhi wanaamua kujenga mabanda mengi ya kama ya nguruwe sehemu moja, No wonder mnahangaika na affordable housing kila kona ya nchi
Are you aware that 70% of Tanzanians live in slums because of lack of proper housings?

1000052292.jpg
 
Kijana mwingine amekuja nyumbani Yuesiei ya East Africa. Nilikuwa najiuliza why not Singapore ya East Africa?
 
Hivi Teargass, NairobiWalker na Reborn Ktb msanii gani wa music kutoka Kenya unahisi akija Tanzania fans wengi watafurika kwenda kumsikiliza
Nataka tu nijue kama Kenya ina influence kubwa kwa Tanzania kwenye tasnia ya burudani kama tu Tanzania ilivyo na influence kubwa Kenya 🤭
Hakuna msani mkubwa kutoka Kenya ambaye atapanda kwenye sunroof akipita barabara za nchi zingine. Hio tunaita "Aura farming",
 
View attachment 3478091
😂😂😂

Slums hadi cbd ndani
1. Inaonesha MNF square haijakamikika, manaake ni picha ya kitambo sanaa.
2. Huoni kama hayo ni mabanda ya mama ntilie, kipindi kile walikuwa wanahudumia wavuvi wadogo wadogo.

Kwa akili zako ulidhani hayo ni mabanda ya watu kulala kama ambavyo nyie mnalala huko slum city 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250924_145607.jpg
 
Back
Top Bottom