Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,201
- 12,563
How is that a bad thing? Infact inasaidia kutanua mji. In future watu watajenga hapo na mji unazidi kuwa mkubwa, sisi huku Tanzania miji yetu tunaprefer horizontal settlement kwa sababu tunayo ardhi ya kutosha. Sio kama huko Kenya kila kitu mnajenga sehemu moja. Miji yenu ipo congested hadi inatia kichefuchefu.Just because the picture has been zoomed doesn't mean that hiyo mini stadium is not in the bush. Mmejengea tumbili na nyani uwanja.
Watu hawana ardhi wanaamua kujenga mabanda mengi ya kama ya nguruwe sehemu moja, No wonder mnahangaika na affordable housing kila kona ya nchi