"Hatubanani kama kuku kwenye mabanda." Na anayeongea anaishi mojawepo ya hizi sehemu where space and privacy is a luxury and this is what defines their so-called city 🤣🤣🤣“How is that even an insult? 😂 Kujenga stadium maporini ndo akili ya kupanga future. Ardhi tunayo ya kutosha, tunaweza kuupanua mji bila pressure. Huku kwetu hatubananani kama kuku kwenye mabanda.
I know affordable housing projects are a thorn in your a**es. Of course tunabomoa slums ndio tuxijenge as you can see belowNinyi mkiambiwa kujenga kitu kipya lazima mtafute sehemu yenye slums kwanza muanze kubomoa mabanda ya mabati. Ndiyo maana kila siku affordable housing imekuwa kama national prayer.
"Tanzania miji yetu inapumua"Tanzania miji yetu inapumua, inakua kwa upana. Sio kama huko kwenu kila mtu anarundikana Nairobi hadi inakua kama dustbin kubwa ya matope na mabanda.
Sasa imekuwa tena picha ya Dar?🤣🤣🤣🤣Embu compare hiyo picture na slums za kibera et al. Tuone tofauti ya slums na unplanned settlements
Vibanda ndani ya cbd.Food vendors outlets unafikiri watu wanaishi hapo kwa akili yako ya kindezi.
Usinililie Mimi,Tutajie jina la slum mojawapo Tanzania
We umesikia kabisa most kenyans borrow money to buy food ndio itakuwa kulipia pay TV
Takataka
Wacheza wa kike wa Kenya wanakimbia Njaa kuja kutimiza ndoto zao TanzaniaUsinililie Mimi,
Itakuwa hadi na lift for disabled peopleNimeona mwengine amepost kicave fulani anacompare na hii yenye itakuwa na vyoo na maduka ndani. 🤣 🤣 🤣
Hakuna Kitu inaumiza hao wachawi kuona Kenya having the only pedestrian underpass with lifts and elevators in Africa. It's the only underpass in Africa that will shops lined along it.Itakuwa hadi na lift for disabled people
Utoto.Hakuna Kitu inaumiza hao wachawi kuona Kenya having the only pedestrian underpass with lifts and elevators in Africa. It's the only underpass in Africa that will shops lined along it.
Amuulize NairobiWalker kuhusu mji tu wa moshi. Kuna video alikuwa anaishangaa mji wa moshi ulivyopanukaHii ndio tunaita "hasty generalization"
Ni aina ya logical fallacy ambapo mtu anajitengenezea general conclusion kutokana na ushahidi mdogo au usio wa kutosha na mara nyingi hutumika tu ili kushinda mabishano.
Ndio unachokifanya hapa ndugu Teargass
Unafanya
Cherry picking, unachagua fact chache zinazokufaa na kupuuza zingine.
Overgeneralization- unageuza kitu kidogo kuwa general conclusion
Unaelewa jinsi miji ya Tanzania inavyojengwa? Miji yetu sisi huwa huduma zinawekwa mbalimbali, unakuta hospitali inajengwa point X, then uwanja wa mpira unajengwa km 2 kutoka hospitalini, halmashauri ya mkoa inajengwa 3 km kutoka uwanjani, bus station inajengwa 5km kutoka town centre. Na ujenzi wa namna hii ndio unafanya congestion iwe ndogo na kupunguza demand ya flyovers.
Angalia project nyingi za Tanzania upande wa countryside utaelewa style ambayo tunatumia kujenga miji
New shopping complex in Bukoba Tanzania, 1400km from Dar es Salaam and 900km from Dodoma
| Tanzania | Kenya |
| Tanzania | Kenya |