Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Solution ya Dar Eventually ni Elevated Railway kwa Mjini na nje ya mji ni railway pia for mass transit

Kwa Kamata lazima nyundo ihusike lakini tunnel ya njia sita mbona inawezekana kutoka bandarini kuingia Kkoo sema itabidi kuua Metre gauge upande ule wa Kkoo Station ya Metre gauge ijengwe Ghorofa mbele kidogo ya Kamata ilipokuwa karibia na shoprite

Magari yanatokea Bandari kuja Kkoo na vice versa yapite kwenye Tunnel

All in all nyundo lazima

Pia Flyover inawezekana ingawa itakuwa fupi Kutoka AIRPORT Kwenda Posta Sema flyover sio suluhisho pale pale panahitaji interchanges na sio flyover .

Solution ambayo nzuri Longterm ni kuwa na Elevated railway itayopeleka watu kutoka Kariakoo to Mbagala
Posta via Kkoo To Airport
Kkoo to Mbezi Luis (Hii itahusisha kujenga elevated station na kuua street moja au mbili za Kkoo na kuzifanya njia specfic za reli na kisha kunyanua reli kueleka Tegeta na Ubungo
Kabla ya kufanya yote hayo. Wawe serious kwanza na Mwendokasi.
Mimi bado naamini kabisa BRT system inaweza kusolve kabisa foleni hapo kamata.
Wakisimamia vzr na kuleta mabasi.
Pale gerezani au kivukoni kila dk 5 basi linaondoka kwenda gongo la mboto, mbagala, Kimara nk. Watu watapanda tu hayo mabasi.

Weekends, jmamosi na jpili. Dar hainaga foleni kabisa, kuna barabara nyingine unakuwaga mwenyew Barabarani. Basi city Centre wangejenga restaurants tofauti tofauti na clubs, watu wawe wanadrive magari yao binafsi weekend kwenye kula, kuparty city center huko, wengine beach nk
Siku nyingine kwenda kazin wapande mwendokasi.
Kibaha road ni Pana sana, watafute eneo wajenge parking ya magari, na mwendokasi zipick watu hapo kuwapeleka city center, same as Nyerere road na kilwa road,
 
Mtwara Port Again - Tanzania oyee

1756542503521.png


1756542532427.png
 
Rwanda na Burundi naona wanachukulia mzigo Tanga Port maake magari yao ni mengi sana huku Tanga hata cement
Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
 
importation nyingine hio 😂😂😂😂
viwanda vyao vyote vimekufa

View: https://x.com/thestarkenya/status/1961140131471180128?s=46

Dah asee I remember sakata letu la sukari walileta mdogo, but as Country Tanzania tumeendelea kua nchi inayodili na matatizo yanayotishia usalama kimkakati zaidi.

Tulikua na Upungufu wa Tani 100k - 200k kwa kua uzalishaji wa Ndani ulikua 300k mahitaji 400k

Sakata la Sukari enzi za Magufuli na utawala wa Samia hatua zilizochukuliwa.

1. Kupitia vibali vya uagizaji na kuipatia NFRA inunue ihidadhi na kugawa ya export.

2. Kumshawishi Bhakresa kujenga Bagamoyo Sugar kwa kumpatia ardhk kubwa bure na msaada ahitajio.

View: https://youtu.be/hdlhRwZwEw8?si=pIT2_BaWiT122OcL

1756544105912.jpeg


3. Ujenzi kiwanda Cha Mkulanzi Sugar

View: https://www.instagram.com/p/DNFlAviMtSn/?igsh=Z3MxeHNjb3Fhajhv

View: https://youtu.be/3nxs09FzvKU?si=duA6ux9dxr3T-cMI

Vimekamilika na Samia still kuna expansions za Viwanda existing

Kilombero to 270k Tones


View: https://youtu.be/d0WLj5Z2jCo?si=UjhFrg3FOjRlpgUr


Upanuzi Wa Kagera Sugar

Upanuzi wa Mtibwa Sugar etc

Kuna hii TARI ilitafiti mbegu mpya za miwa na kuzigawa.

Imagine one issue tulideal nayo strategically kimya kimya

Kutoka 320k Tones 2017
Mpaka 660k dah we about to hit Self Sufficiency zero Import

Kumbuka Sasa Demand haiangalii mahitaji tu bali inaangalia na RESERVE Demand baada ya ile sheria ya NFRA kuitaka iwe na RESERVE kama more than 100k Tones.

Kuna Wasenge wa North kazi kuimport kila kitu na kuturingia mzigo wa Tonnes, wakati sisi tupo tunawipe import with domestic production.

TANZANIA IS SOMETHING WANA in the surface tunaweza onekana siasa nyingi ila once issue ikitishia any security ya nchi wiping is only solution.
 
Dah asee I remember sakata letu la sukari walileta mdogo, but as Country Tanzania tumeendelea kua nchi inayodili na matatizo yanayotishia usalama kimkakati zaidi.

Tulikua na Upungufu wa Tani 100k - 200k kwa kua uzalishaji wa Ndani ulikua 300k mahitaji 400k

Sakata la Sukari enzi za Magufuli na utawala wa Samia hatua zilizochukuliwa.

1. Kupitia vibali vya uagizaji na kuipatia NFRA inunue ihidadhi na kugawa ya export.

2. Kumshawishi Bhakresa kujenga Bagamoyo Sugar kwa kumpatia ardhk kubwa bure na msaada ahitajio.

View: https://youtu.be/hdlhRwZwEw8?si=pIT2_BaWiT122OcL

View attachment 3458489

3. Ujenzi kiwanda Cha Mkulanzi Sugar

View: https://www.instagram.com/p/DNFlAviMtSn/?igsh=Z3MxeHNjb3Fhajhv

View: https://youtu.be/3nxs09FzvKU?si=duA6ux9dxr3T-cMI

Vimekamilika na Samia still kuna expansions za Viwanda existing

Kilombero to 270k Tones


View: https://youtu.be/d0WLj5Z2jCo?si=UjhFrg3FOjRlpgUr


Upanuzi Wa Kagera Sugar

Upanuzi wa Mtibwa Sugar etc

Kuna hii TARI ilitafiti mbegu mpya za miwa na kuzigawa.

Imagine one issue tulideal nayo strategically kimya kimya

Kutoka 320k Tones 2017
Mpaka 660k dah we about to hit Self Sufficiency zero Import

Kumbuka Sasa Demand haiangalii mahitaji tu bali inaangalia na RESERVE Demand baada ya ile sheria ya NFRA kuitaka iwe na RESERVE kama more than 100k Tones.

Kuna Wasenge wa North kazi kuimport kila kitu na kuturingia mzigo wa Tonnes, wakati sisi tupo tunawipe import with domestic production.

TANZANIA IS SOMETHING WANA in the surface tunaweza onekana siasa nyingi ila once issue ikitishia any security ya nchi wiping is only solution.

TZ ina vision na ina watu wanafikiria na kufanya kazi.

Huwa inakosekana tu utashi wa kisiasa sometimes wa kusukuma matokeo yaonekane.

Unaona sasa hivi tunavyosukuma SPECIAL EVONOMIC ZONES, MKUMBI na kuoiga marufuku wageni wa biashara ndogo.

Maana yake miaja 10 ijayo, tuatakuwa na mitaji mikubwa na viwanda vingi sana.
 
Serikali yetu pamoja na mapungufu iliyo nayo huwa haina mzaha na maswala yanayo hatarisha inchi kuna kipindi Mafuta yalizingua wakachukua hatua swala likaisha, "MAFUTA YA KULA"na "SUKARI" hatua zikachukuliwa sio tu kuagiza nje ya nchi kwa mda mfupi na kutatua tatizo kwa mda mrefu ni kutoa vipaumbele kuwa na wazalishaji wa ndani sio kuagiza nje tu hatua zikachukuliwa na polepole matatizo na changamoto zinakata taratibu wao ni viwanda kufa kabisa Sukari inayo baki baada mahitaji tuwauzie hawa wavivu
Dah asee I remember sakata letu la sukari walileta mdogo, but as Country Tanzania tumeendelea kua nchi inayodili na matatizo yanayotishia usalama kimkakati zaidi.

Tulikua na Upungufu wa Tani 100k - 200k kwa kua uzalishaji wa Ndani ulikua 300k mahitaji 400k

Sakata la Sukari enzi za Magufuli na utawala wa Samia hatua zilizochukuliwa.

1. Kupitia vibali vya uagizaji na kuipatia NFRA inunue ihidadhi na kugawa ya export.

2. Kumshawishi Bhakresa kujenga Bagamoyo Sugar kwa kumpatia ardhk kubwa bure na msaada ahitajio.

View: https://youtu.be/hdlhRwZwEw8?si=pIT2_BaWiT122OcL

View attachment 3458489

3. Ujenzi kiwanda Cha Mkulanzi Sugar

View: https://www.instagram.com/p/DNFlAviMtSn/?igsh=Z3MxeHNjb3Fhajhv

View: https://youtu.be/3nxs09FzvKU?si=duA6ux9dxr3T-cMI

Vimekamilika na Samia still kuna expansions za Viwanda existing

Kilombero to 270k Tones


View: https://youtu.be/d0WLj5Z2jCo?si=UjhFrg3FOjRlpgUr


Upanuzi Wa Kagera Sugar

Upanuzi wa Mtibwa Sugar etc

Kuna hii TARI ilitafiti mbegu mpya za miwa na kuzigawa.

Imagine one issue tulideal nayo strategically kimya kimya

Kutoka 320k Tones 2017
Mpaka 660k dah we about to hit Self Sufficiency zero Import

Kumbuka Sasa Demand haiangalii mahitaji tu bali inaangalia na RESERVE Demand baada ya ile sheria ya NFRA kuitaka iwe na RESERVE kama more than 100k Tones.

Kuna Wasenge wa North kazi kuimport kila kitu na kuturingia mzigo wa Tonnes, wakati sisi tupo tunawipe import with domestic production.

TANZANIA IS SOMETHING WANA in the surface tunaweza onekana siasa nyingi ila once issue ikitishia any security ya nchi wiping is only solution.
 
Back
Top Bottom