President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,757
- 89,782
Mtwara Port - Tanzania
amekodisha ila watu wajenge mahoteli wazanzibari wapate ajira na mapato au ww hujawah kufika znz? znz visiwa vingi viko so idle so kwann asiviendelezeMwinyi ana tofauti gani na hilo.
Amekodisha visiwa vyote Zanzibar. Amempa Bakhresa maeneo amejenga majumba (Fumbo town) anauzia Wazungu tu.
Wazanzibar wako wapi??
Wanapumulia bara tu.
Ni sahihi wewe unachobisha nini!?Wacheni kuwa mangombe kurukia tu hoja.. wenzako walkua wanabisha eti opening ceremony ya chan ilkua na maana kuliko closing ceremony
- Basi sera zetu za uwekezaji, ardhi, sheria ya raslimali, sheria za kuzuia wafanyabiashara wageni kwa biashara ndogo hazina maana.amekodisha ila watu wajenge mahoteli wazanzibari wapate ajira na mapato au ww hujawah kufika znz? znz visiwa vingi viko so idle so kwann asiviendeleze
so azam kama inveator hapasi kupewa eneo akafanya investment? mbona hulalamiki alivopewa eneo bagamoyo sugar leo imesaidia kuongeza uwepo wa sukari nchini na ajira kupatikana na kodi kukusanywa na sasa nafanya phase 2 kuongeza uzalishaji mpaka tons 300k a year
hvi wewe sheria unazielewa kweli? manake tusiwe tunabishana for no reason- Basi sera zetu za uwekezaji, ardhi, shwtia ya raslimali, sheria za kuzuia wafanyabiashara wageni iwa biashara ndogo hazina maana.
- Turuhusu yoyoye aje amiliki ardhi, walewe uraia pacha.
- Tuwape mashamba makubwaaa, walime Oamba, Mahindi, Maharage, Chai
- Sisi qatujengee nyumba kama PIPELINE watupangishie tuishi hapo, halafu tunawafanyia hizo unazoita kazi kwenye mashmba yao ya MKONGE
Maana inaonesha bado hatuelewi.
View attachment 3458451View attachment 3458452View attachment 3458453
Kwa taarifa yako naelewea kuliko unavyodhani.hvi wewe sheria unazielewa kweli? manake tusiwe tunabishana for no reason
Kabla ya kufanya yote hayo. Wawe serious kwanza na Mwendokasi.Solution ya Dar Eventually ni Elevated Railway kwa Mjini na nje ya mji ni railway pia for mass transit
Kwa Kamata lazima nyundo ihusike lakini tunnel ya njia sita mbona inawezekana kutoka bandarini kuingia Kkoo sema itabidi kuua Metre gauge upande ule wa Kkoo Station ya Metre gauge ijengwe Ghorofa mbele kidogo ya Kamata ilipokuwa karibia na shoprite
Magari yanatokea Bandari kuja Kkoo na vice versa yapite kwenye Tunnel
All in all nyundo lazima
Pia Flyover inawezekana ingawa itakuwa fupi Kutoka AIRPORT Kwenda Posta Sema flyover sio suluhisho pale pale panahitaji interchanges na sio flyover .
Solution ambayo nzuri Longterm ni kuwa na Elevated railway itayopeleka watu kutoka Kariakoo to Mbagala
Posta via Kkoo To Airport
Kkoo to Mbezi Luis (Hii itahusisha kujenga elevated station na kuua street moja au mbili za Kkoo na kuzifanya njia specfic za reli na kisha kunyanua reli kueleka Tegeta na Ubungo
hvi wewe sheria unazielewa kweli? manake tusiwe tunabishana for no reason
Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
Kuna port moja white elephant ikipokea meli moja kwa mwezi ni kelele nchi nzima. 😂😂😂
mazingira tu yanaonesha hawa watu ni masikini kuliko burundi 😂😂😂
View: https://x.com/epaapai/status/1961333284085846351?s=46
Wakati tunafukuza hizo niggaz mlituona wajinga, ona sasa wanvyo wavua nguo 🤣🤣
Mko hapa mmejaa kutupigia kelele badala ya kwenda kusaidia dada zenu ambao utu wao washatupa chooni , wanafanya chochote kwa sababu ya pesa, sababu ya wazungu!!
View: https://youtu.be/lxAMptdZlYY?si=Xb_y45lW6iAjgT1X