Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtwara Port - Tanzania

1756540832265.png



1756540844289.png
 
Mwinyi ana tofauti gani na hilo.

Amekodisha visiwa vyote Zanzibar. Amempa Bakhresa maeneo amejenga majumba (Fumbo town) anauzia Wazungu tu.

Wazanzibar wako wapi??

Wanapumulia bara tu.
amekodisha ila watu wajenge mahoteli wazanzibari wapate ajira na mapato au ww hujawah kufika znz? znz visiwa vingi viko so idle so kwann asiviendeleze

so azam kama inveator hapasi kupewa eneo akafanya investment? mbona hulalamiki alivopewa eneo bagamoyo sugar leo imesaidia kuongeza uwepo wa sukari nchini na ajira kupatikana na kodi kukusanywa na sasa nafanya phase 2 kuongeza uzalishaji mpaka tons 300k a year
 
Wacheni kuwa mangombe kurukia tu hoja.. wenzako walkua wanabisha eti opening ceremony ya chan ilkua na maana kuliko closing ceremony
Ni sahihi wewe unachobisha nini!?
Jambo linapoanzia ndio lina maana zaidi kuliko linapoishia.
Utamuheshimu aliyevumbua simu au aliyeiendeleza simu kwa kuunda Smart phone!?
 
amekodisha ila watu wajenge mahoteli wazanzibari wapate ajira na mapato au ww hujawah kufika znz? znz visiwa vingi viko so idle so kwann asiviendeleze

so azam kama inveator hapasi kupewa eneo akafanya investment? mbona hulalamiki alivopewa eneo bagamoyo sugar leo imesaidia kuongeza uwepo wa sukari nchini na ajira kupatikana na kodi kukusanywa na sasa nafanya phase 2 kuongeza uzalishaji mpaka tons 300k a year
- Basi sera zetu za uwekezaji, ardhi, sheria ya raslimali, sheria za kuzuia wafanyabiashara wageni kwa biashara ndogo hazina maana.

  • Turuhusu yoyote aje amiliki ardhi, wapewe uraia pacha.
  • Tuwape mashamba makubwaaa, walime pamba, Mahindi, Maharage, Chai

- Sisi watujengee nyumba kama PIPELINE watupangishie tuishi hapo, halafu tunawafanyia hizo unazoita kazi kwenye mashamba yao ya MKONGE

Maana inaonesha bado hatuelewi.

Tutakuwa tunaenda kutalii huko kwenye majumba yao ya kifahari kupiga picha na kutamba mitandaoni kama Kenya.

Screenshot_20250830_110617_X.jpg
Screenshot_20250830_110551_X.jpg
Screenshot_20250830_110532_X.jpg
 
- Basi sera zetu za uwekezaji, ardhi, shwtia ya raslimali, sheria za kuzuia wafanyabiashara wageni iwa biashara ndogo hazina maana.

  • Turuhusu yoyoye aje amiliki ardhi, walewe uraia pacha.
  • Tuwape mashamba makubwaaa, walime Oamba, Mahindi, Maharage, Chai

- Sisi qatujengee nyumba kama PIPELINE watupangishie tuishi hapo, halafu tunawafanyia hizo unazoita kazi kwenye mashmba yao ya MKONGE

Maana inaonesha bado hatuelewi.

View attachment 3458451View attachment 3458452View attachment 3458453
hvi wewe sheria unazielewa kweli? manake tusiwe tunabishana for no reason
 
Solution ya Dar Eventually ni Elevated Railway kwa Mjini na nje ya mji ni railway pia for mass transit

Kwa Kamata lazima nyundo ihusike lakini tunnel ya njia sita mbona inawezekana kutoka bandarini kuingia Kkoo sema itabidi kuua Metre gauge upande ule wa Kkoo Station ya Metre gauge ijengwe Ghorofa mbele kidogo ya Kamata ilipokuwa karibia na shoprite

Magari yanatokea Bandari kuja Kkoo na vice versa yapite kwenye Tunnel

All in all nyundo lazima

Pia Flyover inawezekana ingawa itakuwa fupi Kutoka AIRPORT Kwenda Posta Sema flyover sio suluhisho pale pale panahitaji interchanges na sio flyover .

Solution ambayo nzuri Longterm ni kuwa na Elevated railway itayopeleka watu kutoka Kariakoo to Mbagala
Posta via Kkoo To Airport
Kkoo to Mbezi Luis (Hii itahusisha kujenga elevated station na kuua street moja au mbili za Kkoo na kuzifanya njia specfic za reli na kisha kunyanua reli kueleka Tegeta na Ubungo
Kabla ya kufanya yote hayo. Wawe serious kwanza na Mwendokasi.
Mimi bado naamini kabisa BRT system inaweza kusolve kabisa foleni hapo kamata.
Wakisimamia vzr na kuleta mabasi.
Pale gerezani au kivukoni kila dk 5 basi linaondoka kwenda gongo la mboto, mbagala, Kimara nk. Watu watapanda tu hayo mabasi.

Weekends, jmamosi na jpili. Dar hainaga foleni kabisa, kuna barabara nyingine unakuwaga mwenyew Barabarani. Basi city Centre wangejenga restaurants tofauti tofauti na clubs, watu wawe wanadrive magari yao binafsi weekend kwenye kula, kuparty city center huko, wengine beach nk
Siku nyingine kwenda kazin wapande mwendokasi.
Kibaha road ni Pana sana, watafute eneo wajenge parking ya magari, na mwendokasi zipick watu hapo kuwapeleka city center, same as Nyerere road na kilwa road,
 
Rwanda na Burundi naona wanachukulia mzigo Tanga Port maake magari yao ni mengi sana huku Tanga hata cement
Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
 
Back
Top Bottom