ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,412
- 88,506
Baada ya nyie Wazalendo kuwatimua Wazungu kwenye mradi wa Lindi LNG mama akawaleta na kusainiana hatua za swali.hajatajwa polepole hapo tunamzungumzia mwinyi aliekua wizara ya ulinzi kwa miaka zaidi ya 10
jamaa ni pure kiongozi ambae hataki makelele mengi yeye ni kazi tu kimya kimya zanzibar hio inapaaa, huyu ndie alitakiwa awe rais wa tanzania
Hadi saizi mloshamkwamisha kwamba anauza Mali za Tanganyika Kwa Waarabu 🤣 🤣
Nyie ni wa kuachwa hivi hivi mtaleyewa maendeleo na Polepole.
Mwinyi haogopi Waarabu Wala Wazanzibar hawawaogopi,amekofisha visiwa vyote ,huku Bara mama amejaribu kuwaleta investors Ngorongoro mkasema ameuza mbuga zenu Kwa Waarabu 😂😂😂