Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkiambiwa health sector yenu ipo mkiani mnakasirika, Tanzania vitu kama hivi ni grassroot level


View: https://x.com/mkushi_jiga/status/1671893302428200960?t=xH5xTWpc0gm_OTUI-TdtQg&s=19

The problem with you people is, you think life begins and ends in Tandale





View: https://x.com/ntvkenya/status/1021704709529366528?t=QTGe3tH4t524Q6Y8UGRNnQ&s=19
 
Kama una ubavu leta data za TRA waliopo mipakani, nioneshe tu trucks 10 zikitoka Mombasa port to Kilimanjaro and Arusha nikuoneshe trucks 2000 from Tanzania to Kunyaland
Hiyo ni KAZI yako to prove us wrong. I have already did my part by showing you report of entire Northern Tanzania using Mombasa Port. I have also shown you reports of Lamu Port doing transhipment to all Tanzanian ports.
 
Kenya ndo most poorest country imagine mpaka karne ya 21 watu wanakunya kwenye mifuko na kufa kwa njaa
Are you aware that according to World Bank Tanzania has 28M people who are extremely poor? Yani heri wale omba omba wenu wanakuanga huku Kenya, hao extremely poor ni the likes of those Tanzanians that are eating monkeys and dogs.

Sasa for moderate poverty, there are another 32M Tanzanians in that bracket. If you add those two brackets you find that there are 60M poor Tanzanians in a population of 65M, the remaining 5M people that are not poor are the politicians, Indians, Arabs, Chinese and Kenyans staying in Tanzania.
 
UTanga is receiving boats and not ships. Lamu has received the biggest ship ever handled in East Africa at 355 meters, something that your lazy country can only dream of.
Tanga port .. 👇🏾
IMG_1085.jpeg
IMG_1086.jpeg
tuonyeshe na wewe lamu port ikipokea punda na ngamia. 🤣🤣🤣🤣
 
Haogopi kuleta Waarabu mnaomwambia Samia anauza Tanganyika yenu 😁😁

Kina Polepole watawaletea maendeleo usijali.
hajatajwa polepole hapo tunamzungumzia mwinyi aliekua wizara ya ulinzi kwa miaka zaidi ya 10

jamaa ni pure kiongozi ambae hataki makelele mengi yeye ni kazi tu kimya kimya zanzibar hio inapaaa, huyu ndie alitakiwa awe rais wa tanzania
 
hajatajwa polepole hapo tunamzungumzia mwinyi aliekua wizara ya ulinzi kwa miaka zaidi ya 10

jamaa ni pure kiongozi ambae hataki makelele mengi yeye ni kazi tu kimya kimya zanzibar hio inapaaa, huyu ndie alitakiwa awe rais wa tanzania
Baada ya nyie Wazalendo kuwatimua Wazungu kwenye mradi wa Lindi LNG mama akawaleta na kusainiana hatua za swali.

Hadi saizi mloshamkwamisha kwamba anauza Mali za Tanganyika Kwa Waarabu 🤣 🤣

Nyie ni wa kuachwa hivi hivi mtaleyewa maendeleo na Polepole.

Mwinyi haogopi Waarabu Wala Wazanzibar hawawaogopi,amekofisha visiwa vyote ,huku Bara mama amejaribu kuwaleta investors Ngorongoro mkasema ameuza mbuga zenu Kwa Waarabu 😂😂😂
 
Are you aware that according to World Bank Tanzania has 28M people who are extremely poor? Yani heri wale omba omba wenu wanakuanga huku Kenya, hao extremely poor ni the likes of those Tanzanians that are eating monkeys and dogs.

Sasa for moderate poverty, there are another 32M Tanzanians in that bracket. If you add those two brackets you find that there are 60M poor Tanzanians in a population of 65M, the remaining 5M people that are not poor are the politicians, Indians, Arabs, Chinese and Kenyans staying in Tanzania.
Lakini kenya ndo sehemu ambako watu wanakufa kwa njaa kama kuku mwenye mdondo
 
Baada ya nyie Wazalendo kuwatimua Wazungu kwenye mradi wa Lindi LNG mama akawaleta na kusainiana hatua za swali.

Hadi saizi mloshamkwamisha kwamba anauza Mali za Tanganyika Kwa Waarabu 🤣 🤣

Nyie ni wa kuachwa hivi hivi mtaleyewa maendeleo na Polepole.

Mwinyi haogopi Waarabu Wala Wazanzibar hawawaogopi,amekofisha visiwa vyote ,huku Bara mama amejaribu kuwaleta investors Ngorongoro mkasema ameuza mbuga zenu Kwa Waarabu 😂😂😂
hatua za awali kila siku ana miaka mitano ofisini bado tu hajaleta wawekezaji wakaanza kazi kila siku ni hatua za awali😂

mwinyi anafanya kazi nzuri zanzibar ni mji wa kitalii haiwezekani island iko idle haina shughuli yoyote asivikodishe watu wakajenga 5star hotels wazanzibar wakapata kazi na kodi kukusanywa kwa maendeleo ya zanzibar

yani jamaa anafanya maendeleo yanaonekana sio kwetu huku nasikia magari yote ya kifakhari yanamilikiwa na huyo kijana munaemjua 😂😂😂😂😂

mpaka ile buggati chiron nasikia iko kwenye ukoo wa uongozi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

kijana katoka kwenye 0 to multi billionare in just 3 good years wakat kuna wazee kama kina bakhresa wamezitafuta over 50yrs alaf muko hapa munalilia maendeleo
 
hajatajwa polepole hapo tunamzungumzia mwinyi aliekua wizara ya ulinzi kwa miaka zaidi ya 10

jamaa ni pure kiongozi ambae hataki makelele mengi yeye ni kazi tu kimya kimya zanzibar hio inapaaa, huyu ndie alitakiwa awe rais wa tanzania
Wizara ya Ulinzi haina makelele.

Mkitaka muone mtu anatumia akili, mpeni TAMISEMI, Mambo ya ndani, Utumishi au Ujenzi na uchukuzi.
 
uongozi ni utayari na uaminifu kaka shida ya watu wanaopewa dhamana hio wanataka madili tena makubwa wahusike
Mwinyi ana tofauti gani na hilo.

Amekodisha visiwa vyote Zanzibar. Amempa Bakhresa maeneo amejenga majumba (Fumbo town) anauzia Wazungu tu.

Wazanzibar wako wapi??

Wanapumulia bara tu.
 
Back
Top Bottom