chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,108
Actually kwenye highways zetu trucks ni nyingi kuliko private cars by far, unapishana na trucks 50 private cars 10 kwa Africa nafikiri Tanzania ipo top 3 kwa wingi wa trucksDar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data