Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
Actually kwenye highways zetu trucks ni nyingi kuliko private cars by far, unapishana na trucks 50 private cars 10 kwa Africa nafikiri Tanzania ipo top 3 kwa wingi wa trucks
 
Akili pekee ndio huwa huna. Who told you share of the lake determines the size of the business? Tanzania has longer shoreline than Kenya but Mombasa port alone does more business than all Tanzanian ports combined.
nioneshe hiyo business mlioipita Tanzania kwenye lake Victoria
fcf1e9d95e89683f192631c0ca5489fc.jpeg
IMG_4309.jpeg
maxresdefault (1).jpg
nilas-asara-fileja-ba-300-500-tanzanija-6-kg-iqf-0--6356617-1000x1000.jpg
Screenshot_20250830-072623.jpg
 
Hajaupiga chini.

Watu bado wanatafuta mwekezaji mzuri, miongoni walioonesha nia.

Huwezi kupiga chini mradi kama ule.
Wewe kiande nini kwani wawekezaji wa huo mradi huo mradi hawakuepo na kama wewe ni msikilizaji wa bajeti serikali ilishaamua kuanza kuutekeleza yenyewe bila mwekezaji bajeti ya 2024/2025
 
Wewe kiande nini kwani wawekezaji wa huo mradi huo mradi hawakuepo na kama wewe ni msikilizaji wa bajeti serikali ilishaamua kuanza kuutekeleza yenyewe bila mwekezaji bajeti ya 2024/2025
Umeshaanza kuita watu Viande, huna hoja.

Ile siyo bandari, ni SPECIAL ECONOMIC ZONE, ambao itahusisha Bandari kubwa, maduka, viwanda 700, etc.

Ni mradi wa $10billion, zaidi ya Trilioni 25.

Serikali ina uwezo wa kuanza tu, ila kutekeleza mradi wa pesa kama hiyo kwa makusanyo ya ndani pekee ni ngumu.
 
Actually kwenye highways zetu trucks ni nyingi kuliko private cars by far, unapishana na trucks 50 private cars 10 kwa Africa nafikiri Tanzania ipo top 3 kwa wingi wa trucks
Mitanganyika kwa kujifariji hamjambo 😂
 
Umeshaanza kuita watu Viande, huna hoja.

Ile siyo bandari, ni SPECIAL ECONOMIC ZONE, ambao itahusisha Bandari kubwa, maduka, viwanda 700, etc.

Ni mradi wa $10billion, zaidi ya Trilioni 25.

Serikali ina uwezo wa kuanza tu, ila kutekeleza mradi wa pesa kama hiyo kwa makusanyo ya ndani pekee ni ngumu.
Wewe ndo unajua kuliko mwigulu aliyesoma bajeti ya 2024/2025?
 
Hivi wewe umeenda hata kindergarten kweli? Postgraduate anakosaje admission ya master's degree?
Anybody who have graduated from a bachelor degree is considered a postgraduate whether they got Distinction, First Class, Second Class ama PASS.

Those who come to Tanzania for Master Degree hao ni wenye walipata "PASS" huku Kenya.

In Kenya you can't do a Master degree with a "PASS" at the bachelor level.
 
Back
Top Bottom