Umeshaanza kuita watu Viande, huna hoja.Wewe kiande nini kwani wawekezaji wa huo mradi huo mradi hawakuepo na kama wewe ni msikilizaji wa bajeti serikali ilishaamua kuanza kuutekeleza yenyewe bila mwekezaji bajeti ya 2024/2025
Ile siyo bandari, ni SPECIAL ECONOMIC ZONE, ambao itahusisha Bandari kubwa, maduka, viwanda 700, etc.
Ni mradi wa $10billion, zaidi ya Trilioni 25.
Serikali ina uwezo wa kuanza tu, ila kutekeleza mradi wa pesa kama hiyo kwa makusanyo ya ndani pekee ni ngumu.