Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Solution ya Dar Eventually ni Elevated Railway kwa Mjini na nje ya mji ni railway pia for mass transit

Kwa Kamata lazima nyundo ihusike lakini tunnel ya njia sita mbona inawezekana kutoka bandarini kuingia Kkoo sema itabidi kuua Metre gauge upande ule wa Kkoo Station ya Metre gauge ijengwe Ghorofa mbele kidogo ya Kamata ilipokuwa karibia na shoprite

Magari yanatokea Bandari kuja Kkoo na vice versa yapite kwenye Tunnel

All in all nyundo lazima

Pia Flyover inawezekana ingawa itakuwa fupi Kutoka AIRPORT Kwenda Posta Sema flyover sio suluhisho pale pale panahitaji interchanges na sio flyover .

Solution ambayo nzuri Longterm ni kuwa na Elevated railway itayopeleka watu kutoka Kariakoo to Mbagala
Posta via Kkoo To Airport
Kkoo to Mbezi Luis (Hii itahusisha kujenga elevated station na kuua street moja au mbili za Kkoo na kuzifanya njia specfic za reli na kisha kunyanua reli kueleka Tegeta na Ubungo
 
Icho , this why we don’t take you seriously… You are quick to display some sources calling themselves global stats and world stats just coz they favor you in a skewed statistic yet you throw tantrums over real data from world reputable institutions when they favor Kenya. You are a hypocrite of high proportions.
ninapochoma sindano kaa kwa kutuliya, tuliza tako vzr nikandamize mwiba 😂😂💉
 
Pingana na World bank ngamia hii.

View attachment 3457519
rudi kwenye uhalisia hapa 😂😂👇🏻👇🏻 alaf ni 2025 current data hata google earth haitambui slum kokote tanzania ila inaitambua kenya ww huogopi? so google earth pia inadanganya unless uwe hujui maana ya slum
 
Ebu nionyeshe punda na ngamia ukiwa CBD ya Nairobi, Mombasa ama Kisumu.
1756484522559.png
 
Umeme wa Kenya kwa zaidi ya Asilimia 30 unazalishwa kwa mafuta mazito ya majenereta, counties zao zote za northern hawana national grid ni mwendo wa majenereta tu, hivyo inafanya waagize mafuta mengi zaidi ya majenereta ila wasivyo na akili wanafikiri kisa mzigo ni mkubwa Mombasa inamake sense economically kitu ambacho sio kweli, Tanzania sisi umeme wa majenereta tulishaachana nao
mzigo mwingi ni chakula na mafuta tuu
 

Tender Details​

Download Tender Documents
  • Country: Tanzania
  • Summary: Proposed Construction of Tanzania Revenue Authority (Tra) Iconic and Ultra Modern Office Building in Dar Es Salaam
  • TZT Ref No: 120496496
  • Deadline: 04 Jul 2025
  • Competition: ICB
  • Financier: Self Financed
  • Purchaser Ownership: Public
  • Tender Value: Refer Document
  • Notice Type: Tender
  • Document Ref. No.: TR134/2024/2025/W/03
  • Purchaser's Detail :
  • Purchaser : TANZANIA REVENUE AUTHORITY
    Tanzania
    [Disclaimer : For Exact Organization/Tendering Authority details, please refer the tender notice.]
  • Description :
  • Proposed Construction of Tanzania Revenue Authority (TRA) Iconic and Ultra Modern Office Building in Dar es Salaam
    Tender Category: Works
    Tender Sub Category: Medium and Large Works
  • Documents :
  • Tender Notice

View: https://www.tiktok.com/@explorewithbertin/video/7306061578800057605
 
Back
Top Bottom