Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Nyang’au Teargass anakataa katakata kwamba wao wamebobea kwa makazi duni😂😎Wakenya ni maskini, kila mtu anajua hilo
Cc: Mimi Wewe Yule
Nyang’au Teargass anakataa katakata kwamba wao wamebobea kwa makazi duni😂😎Wakenya ni maskini, kila mtu anajua hilo
hii ndio official source ??? 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻Nimekuwa nikileta evidence hapa kila siku na sitachoka kuleta bado.
Haya sasa tuonyeshe Kilimanjaro airport handling more than 1.6M pax which Kisumu does.
View attachment 3457266
ninapochoma sindano kaa kwa kutuliya, tuliza tako vzr nikandamize mwiba 😂😂💉Icho , this why we don’t take you seriously… You are quick to display some sources calling themselves global stats and world stats just coz they favor you in a skewed statistic yet you throw tantrums over real data from world reputable institutions when they favor Kenya. You are a hypocrite of high proportions.
rudi kwenye uhalisia hapa 😂😂👇🏻👇🏻 alaf ni 2025 current data hata google earth haitambui slum kokote tanzania ila inaitambua kenya ww huogopi? so google earth pia inadanganya unless uwe hujui maana ya slum
😂😂😂😂😂😂 yani wanatia huruma kila baya wanalala nalo eti hawa ndio matajiri51% ya kunyaland wanaishi kwenye slums!crazy!
Matajiri wa uchafu,wana hadi ngamia koko😂😂😂😂😂😂 yani wanatia huruma kila baya wanalala nalo eti hawa ndio matajiri
Ebu nionyeshe punda na ngamia ukiwa CBD ya Nairobi, Mombasa ama Kisumu.
mzigo mwingi ni chakula na mafuta tuuUmeme wa Kenya kwa zaidi ya Asilimia 30 unazalishwa kwa mafuta mazito ya majenereta, counties zao zote za northern hawana national grid ni mwendo wa majenereta tu, hivyo inafanya waagize mafuta mengi zaidi ya majenereta ila wasivyo na akili wanafikiri kisa mzigo ni mkubwa Mombasa inamake sense economically kitu ambacho sio kweli, Tanzania sisi umeme wa majenereta tulishaachana nao
TRA tower inakuja hapo soonTeargass Hizi picha zinakuwafanya uwe kichaa. Kenya na South Sudan zinafanana kiuchumi
View attachment 3457584
Inakaa morogoro for real.mji umelaaiwa hata miti katikati ya barabara imegoma kuota 😂😂😂😂
no filter, no makeup, no eyeshadow
View attachment 3457895View attachment 3457896View attachment 3457897View attachment 3457898