Ebu nionyeshe punda na ngamia ukiwa CBD ya Nairobi, Mombasa ama Kisumu.
Ebu nionyeshe punda na ngamia ukiwa CBD ya Nairobi, Mombasa ama Kisumu.
mzigo mwingi ni chakula na mafuta tuuUmeme wa Kenya kwa zaidi ya Asilimia 30 unazalishwa kwa mafuta mazito ya majenereta, counties zao zote za northern hawana national grid ni mwendo wa majenereta tu, hivyo inafanya waagize mafuta mengi zaidi ya majenereta ila wasivyo na akili wanafikiri kisa mzigo ni mkubwa Mombasa inamake sense economically kitu ambacho sio kweli, Tanzania sisi umeme wa majenereta tulishaachana nao
TRA tower inakuja hapo soonTeargass Hizi picha zinakuwafanya uwe kichaa. Kenya na South Sudan zinafanana kiuchumi
View attachment 3457584
Inakaa morogoro for real.mji umelaaiwa hata miti katikati ya barabara imegoma kuota 😂😂😂😂
no filter, no makeup, no eyeshadow
View attachment 3457895View attachment 3457896View attachment 3457897View attachment 3457898
Kenya muanzishe Uzi wenu na Burundi kabla haijawa mbaya 🤣🤣👇🏾
View: https://www.instagram.com/p/DN8lm4tDFtc/?img_index=5&igsh=Nm03eWRhamhhcHM4://www.instagram.com/p/DN8lm4tDFtc/?img_index=5&igsh=Nm03eWRhamhhcHM4.
Hapana.yani tungepata hichi kichwa nchi ingenyooka na tungekua mbali sana aisee🙌🏻
TANROADS wanajenga barabara nyembamba sana. Tena hawaheshimu kabisa walking lanes, hawazipi umuhimu kabisa.Issue sio foleni kubwa inatokea wapi, issue ni kuondoa foleni. Ile njia kumbuka inaongoza kuwa na misafara ya ajabu ajabu, kinachotakiwa ni kufanya maarifa kupunguza muda wa raia kukaa barabarani, inawezekana foleni kubwa ni kutokea posta kuja airport lkn foleni hiyo inatokana na uwepo wa foleni ndogo ya kutokea kkoo, hivyo basi ukitengeneza means ya kuepusha magari ya kutoka kkoo kukutana na ya kutoka posta (kwenye foleni kubwa) utakuwa ume curb tatizo si ndiyo?
Yule aliyefuta Bagamoyo port?yani tungepata hichi kichwa nchi ingenyooka na tungekua mbali sana aisee🙌🏻
ile bagamoyo port iliokua imejaa uozo na ufisadi wa kutisha🙌🏻🙌🏻🙌🏻Yule aliyefuta Bagamoyo port?