Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah asee I remember sakata letu la sukari walileta mdogo, but as Country Tanzania tumeendelea kua nchi inayodili na matatizo yanayotishia usalama kimkakati zaidi.

Tulikua na Upungufu wa Tani 100k - 200k kwa kua uzalishaji wa Ndani ulikua 300k mahitaji 400k

Sakata la Sukari enzi za Magufuli na utawala wa Samia hatua zilizochukuliwa.

1. Kupitia vibali vya uagizaji na kuipatia NFRA inunue ihidadhi na kugawa ya export.

2. Kumshawishi Bhakresa kujenga Bagamoyo Sugar kwa kumpatia ardhk kubwa bure na msaada ahitajio.

View: https://youtu.be/hdlhRwZwEw8?si=pIT2_BaWiT122OcL

View attachment 3458489

3. Ujenzi kiwanda Cha Mkulanzi Sugar

View: https://www.instagram.com/p/DNFlAviMtSn/?igsh=Z3MxeHNjb3Fhajhv

View: https://youtu.be/3nxs09FzvKU?si=duA6ux9dxr3T-cMI

Vimekamilika na Samia still kuna expansions za Viwanda existing

Kilombero to 270k Tones


View: https://youtu.be/d0WLj5Z2jCo?si=UjhFrg3FOjRlpgUr


Upanuzi Wa Kagera Sugar

Upanuzi wa Mtibwa Sugar etc

Kuna hii TARI ilitafiti mbegu mpya za miwa na kuzigawa.

Imagine one issue tulideal nayo strategically kimya kimya

Kutoka 320k Tones 2017
Mpaka 660k dah we about to hit Self Sufficiency zero Import

Kumbuka Sasa Demand haiangalii mahitaji tu bali inaangalia na RESERVE Demand baada ya ile sheria ya NFRA kuitaka iwe na RESERVE kama more than 100k Tones.

Kuna Wasenge wa North kazi kuimport kila kitu na kuturingia mzigo wa Tonnes, wakati sisi tupo tunawipe import with domestic production.

TANZANIA IS SOMETHING WANA in the surface tunaweza onekana siasa nyingi ila once issue ikitishia any security ya nchi wiping is only solution.

Product ya visionary leader hiyo, sasa ndugu yangu Venus Star anasema mambo ya Magu tuachane nayo, wakati wahuni ndo kwanza wameota mapembe, aisee! Tutabanana mpaka kieleweke.
 
Product ya visionary leader hiyo, sasa ndugu yangu Venus Star anasema mambo ya Magu tuachane nayo, wakati wahuni ndo wameota mapembe, aisee! Tutabanana mpaka kieleweke.
Inasikitisha sana wakati yeye ndio anafanya kila siku wakose raha.

Maana unakuta kuna eneo unajaribu kusingizia unakuta kisingizio chako hakina mshiko, kuna mwamba alidili hapo mpaka pakatulia miaka 6.
 
Mkundustan hajawahi kuwa na akili hata 2, Rwanda ipo mbali na Dar kwa kilometers zaidi ya 1500 inatumia ports zetu kwa Asilimia 90 eti mikoa ya kaskazini iliopo umbali wa kilometers 600 ndio zitumie Mombasa 😁😁😁
Hao unatakiwa kuwahurumia, sometimes tuwe tunakubali vidata vyao tu maana it gives them relief.

Imagine siku wagundue kila kitu ni uongo vichaka vyote vimefekwa maandamano yatakuwaje?

Politicians wana family acha wale bana tusiwaharibie ugali. 😂😂😂

Hukumbuki walisema wana Vituo vingi vya Afya kuliko Bongo, data zao.

Juzi SHA iliwaumbua kuna vituo non existent kabisa. Vingine ni maduka ya ya fremu
 
Tuonyeshe lamu port ikipokea punda. 🤣🤣🤣
Lamu Port is above your pay grade Mr. Chimpanzee.

1000052752.jpg
1000052753.jpg
1000052755.jpg
 
Inasikitisha sana wakati yeye ndio anafanya kila siku wakose raha.

Maana unakuta kuna eneo unajaribu kusingizia unakuta kisingizio chako hakina mshiko, kuna mwamba alidili hapo mpaka pakatulia miaka 6.
Kuna watu wanakuwa na akili kama za "baadhi" ya wanawake, ile tabia ya kudhani vitu vinatokea tuu kimiujiza. Usivione vya elea bana.

Kama hiyo ishu ya sukari, Bakhresa alipopewa shamba, alikataa kwa kumwambia Magu, sisi siyo wakulima, ni wafanya biashara. Ilibidi Magu achukue risk kubwa ya kumuwezasha, ili kumshawishi Bakhresa aingie kwenye biashara hiyo, kuiokoa nchi na wahuni waliokuwa wanaleta sukari mbovu.
 
Kuna watu wanakuwa na akili kama za "baadhi" ya wanawake, ile tabia ya kudhani vitu vinatokea tuu kimiujiza. Usivione vya elea bana.

Kama hiyo ishu ya sukari, Bakhresa alipopewa shamba, alikataa kwa kumwambia Magu, sisi siyo wakulima, ni wafanya biashara. Ilibidi Magu achukue risk kubwa ya kumuwezasha, ili kumshawishi Bakhresa aingie kwenye biashara hiyo, kuiokoa nchi na wahuni waliokuwa wanaleta sukari mbovu.
Hatari sana, Kingine it's funny

Unakuta wanaenda kusaini now madini, kutumia mapato ya madini kwenye kampeni na kujipa ujiko kwa kila benefits za madini. Ila ukiangalia vizuri zote zinawezekana Baada ya Maamuzi magumu 2017, kuweka hizo sheria zote tatu kipindi hicho zilikua verify risky na daring sana.

Huyo Lissu alikua mbele tutashitakiwa MIGA, wapuuzi kina Sarungi, Bi Karume na wengineo walijaa kukosoa imagine upo unapinga sheria hizo eti kisa mzungu hatawekeza (wakimaanisha wanataka mzungu aendelee kuja na asilimia 5%, amiliki milele, nchi hainufaiki) kisa tu humpendi Mzee.

Funny things sakata la DP WORLD guess what hao wapuuzi ndio walikua watetezi wa hizo 3 laws pale Samia alipotaka kuzirekebisha ili DP WORLD aingie.


Yaani unakuta mijitu kila siku kuimba TUMEUZWA TUMEUZWA TUNAUZWA etc

While kwa hizo Sheria Tatu haiwezekani kuuzwa kabisa anything ukiona Unconscionable terms unaweza review and renegotiate, plus ikiwa deemed haifai serikali inaexercise PERMANENT SOVEREIGN right.

Kikwete wimbo ulikua tumeibiwa tunaibiwa etc Mzee akavaa roho ngumu kwa manufaa yetu still tunalia tumeuzwa.

Niwe HONEST whatever SAMIA anafanya kuwapa DP WORLD, waarabu mwendokasi and anything.

As Long hizo sheria 3 zipo I don't think kuna tatizo maana huyo yoyote aliyepewa ni suala la muda kutimua.

Alafu si walikua wanalia eti tunashitakiwa MIGA.

Now hizo Sheria 3 zinafanya MIGA useless ni kama Sheria yetu ya Wafanyabiashara na EAC community
 
Hii dunia imejaa mijitu ya ovyo na minafiki sana ndio maana it's better ukazie inshu zako unazoona ni sahihi hata kama wengine hawaoni. Sababu unaweza kuta wao wanaendeshwa na hisia zaidi.

JNHPP kipindi tunaanza kelele ilikua everywhere wazungu, na wajinga wa nchi, Mazingira mazingira, mara UNESCO Site, mara mvua haitanyesha. Mara eti tuendelee na Gas wakati unajua kwa Gas wanasubiri LNG deal tuanze inunua kwao usenge sana.

Ila Mzee alikaza kwa sababu aliamini, Sina baya na Samia aliendeleza hakusimama I give her credit.

Now tuna Bwawa hao mburukenge ndio wanatuletea kelele these days kuwa GOOD JOB TANZANIA nye nye nye.

Hao wajinga wa ndani so shameless now wanachaji simu umeme wa uhakika kutukana 24hrs.

Well I gonna say ukikaa ufikirie vizuri SAMIA hana shida anapiga kazi maana si shaka kuna nchi ya Jirani (Kunyans) ni mfano tosha kuna Miradi ya Kibaki uhuru alishindwa ya Uhuru na Kibaki Ruto imemshinda na ni very strategic.

Ila Samia ameimaliza yote nimpe kongole, tatizo ni approach waliyochagua kumvalidate imekaa kinafiki noisy na uchawa so it backfires kila siku as long as shida ikitokea ikawa kero huku kuna mpuuzi kasema "MAMA HATUMDAI" automatically Mama anaonekana hayupo serious.

Wachange approach wawe smart punguza mabango na uchawa, acha kazi ziongee huenda hata akawa Raisi mwingine wa 3 best ever.


Mimi naona a long as Mama hagusi hizo Sheria 3 na dili zinaingia aendelee tu tutamwelewa Mbeleni.

Maana hata Magufuli kuna wapuuzi hawakumuelewa mpaka baadae ndio walimwelewa now tunaongea lugha moja
 
Hii dunia imejaa mijitu ya ovyo na minafiki sana ndio maana it's better ukazie inshu zako unazoona ni sahihi hata kama wengine hawaoni. Sababu unaweza kuta wao wanaendeshwa na hisia zaidi.

JNHPP kipindi tunaanza kelele ilikua everywhere wazungu, na wajinga wa nchi, Mazingira mazingira, mara UNESCO Site, mara mvua haitanyesha. Mara eti tuendelee na Gas wakati unajua kwa Gas wanasubiri LNG deal tuanze inunua kwao usenge sana.

Ila Mzee alikaza kwa sababu aliamini, Sina baya na Samia aliendeleza hakusimama I give her credit.

Now tuna Bwawa hao mburukenge ndio wanatuletea kelele these days kuwa GOOD JOB TANZANIA nye nye nye.

Hao wajinga wa ndani so shameless now wanachaji simu umeme wa uhakika kutukana 24hrs.

Well I gonna say ukikaa ufikirie vizuri SAMIA hana shida anapiga kazi maana si shaka kuna nchi ya Jirani (Kunyans) ni mfano tosha kuna Miradi ya Kibaki uhuru alishindwa ya Uhuru na Kibaki Ruto imemshinda na ni very strategic.

Ila Samia ameimaliza yote nimpe kongole, tatizo ni approach waliyochagua kumvalidate imekaa kinafiki noisy na uchawa so it backfires kila siku as long as shida ikitokea ikawa kero huku kuna mpuuzi kasema "MAMA HATUMDAI" automatically Mama anaonekana hayupo serious.

Wachange approach wawe smart punguza mabango na uchawa, acha kazi ziongee huenda hata akawa Raisi mwingine wa 3 best ever.


Mimi naona a long as Mama hagusi hizo Sheria 3 na dili zinaingia aendelee tu tutamwelewa Mbeleni.

Maana hata Magufuli kuna wapuuzi hawakumuelewa mpaka baadae ndio walimwelewa now tunaongea lugha moja
Kelele siyo UADUI.

Unatakiwa kujua kelele zinatokanana HOFU, maana tumeshapigwa sana na pia kelele zinatokana na kubahatisha maana hayo makubaliano hayako wazi
 
Back
Top Bottom