Kuna watu wanakuwa na akili kama za "baadhi" ya wanawake, ile tabia ya kudhani vitu vinatokea tuu kimiujiza. Usivione vya elea bana.
Kama hiyo ishu ya sukari, Bakhresa alipopewa shamba, alikataa kwa kumwambia Magu, sisi siyo wakulima, ni wafanya biashara. Ilibidi Magu achukue risk kubwa ya kumuwezasha, ili kumshawishi Bakhresa aingie kwenye biashara hiyo, kuiokoa nchi na wahuni waliokuwa wanaleta sukari mbovu.
Hatari sana, Kingine it's funny
Unakuta wanaenda kusaini now madini, kutumia mapato ya madini kwenye kampeni na kujipa ujiko kwa kila benefits za madini. Ila ukiangalia vizuri zote zinawezekana Baada ya Maamuzi magumu 2017, kuweka hizo sheria zote tatu kipindi hicho zilikua verify risky na daring sana.
Huyo Lissu alikua mbele tutashitakiwa MIGA, wapuuzi kina Sarungi, Bi Karume na wengineo walijaa kukosoa imagine upo unapinga sheria hizo eti kisa mzungu hatawekeza (wakimaanisha wanataka mzungu aendelee kuja na asilimia 5%, amiliki milele, nchi hainufaiki) kisa tu humpendi Mzee.
Funny things sakata la DP WORLD guess what hao wapuuzi ndio walikua watetezi wa hizo 3 laws pale Samia alipotaka kuzirekebisha ili DP WORLD aingie.
Yaani unakuta mijitu kila siku kuimba TUMEUZWA TUMEUZWA TUNAUZWA etc
While kwa hizo Sheria Tatu haiwezekani kuuzwa kabisa anything ukiona Unconscionable terms unaweza review and renegotiate, plus ikiwa deemed haifai serikali inaexercise PERMANENT SOVEREIGN right.
Kikwete wimbo ulikua tumeibiwa tunaibiwa etc Mzee akavaa roho ngumu kwa manufaa yetu still tunalia tumeuzwa.
Niwe HONEST whatever SAMIA anafanya kuwapa DP WORLD, waarabu mwendokasi and anything.
As Long hizo sheria 3 zipo I don't think kuna tatizo maana huyo yoyote aliyepewa ni suala la muda kutimua.
Alafu si walikua wanalia eti tunashitakiwa MIGA.
Now hizo Sheria 3 zinafanya MIGA useless ni kama Sheria yetu ya Wafanyabiashara na EAC community