Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacheni kuwa mangombe kurukia tu hoja.. wenzako walkua wanabisha eti opening ceremony ya chan ilkua na maana kuliko closing ceremony
Kumbe ulikuwa na hoja!
Yes opening ceremony ilikuwa ya maana kwa sababu Tanzania tumeshiriki.
Closing ceremony yenye hamshiriki ina maana gani. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unatutambia rais wa FIFA na CAF ambao washakuja Tanzania mara nyingi!
 
Thika road is just 6 lanes high way. It’s tiny and can’t be compared to kimara kibaha highway neither. Bertin huyu hapa kamaliza mzizi wa fitina. πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸΎ
View: https://youtu.be/TD8jrFoaFf0?si=lLVw8IOecM-BTAlp. Cc The best 007 njoo, kichaka hiki nacho tumekifyeka leo. 🀣🀣🀣🀣. Wewe mapumbu NairobiWalker tumefunga huu mjadala leo, what else .? Huwezi danganya watu humu, it was just a matter of time ili kujua huu ukweli.
 

Attachments

  • 1000052292.jpg
    1000052292.jpg
    201.9 KB · Views: 9
Engineers wenu kumbe ni failures 😁😁 halafu huyo kaja kuchukua masters ni postgraduate ko bachelor's degrees zenu ni takataka
Not everyone that calls themselves an engineer is really an engineer. Jamaa alishindwa kupata kupata admission in Kenyan universities akaamua akimbilie vumbistan where he will be accepted mara that that.
 
rudi kwenye uhalisia hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ» alaf ni 2025 current data hata google earth haitambui slum kokote tanzania ila inaitambua kenya ww huogopi? so google earth pia inadanganya unless uwe hujui maana ya slum
Pingana na world Bank

1000052292.jpg
 
Ila wawekezaji wanakuja na mambo yao.

Na nyie mnaenda na ya kwenu, mnakutana mnazungumza.

Magu alipanic tu.

Alitakiwa kuwaita awakabe wazungumze.

Maana mikataba mingi aliyo-negotiate ilienda vizuri.

Leo kila mgodi unaokuja TZ, serikali inapata automatic hisa za 16%-20% bure.

Tunanunua dhahabu na tumeshaanza kuwafosi, wafanye refinery ya angalau 20% ya dhahabu nchini.
Sawa magu kafa mama aliufufua mbona akaupiga chini?
 
Back
Top Bottom