Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,954
- 33,220
Kwani hii ni kanisa?Mlimani city View attachment 3458038
I think what you described is a common habit of baboons .. unajijua mwenyewe…🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unajitia vidole unanusa halafu unacheka mwenyewe.
Mwandiko ni wa humu humu😂Ni kama Bertin anafuatilia huu Uzi au ako na ID humu ndani. 🤣🤣🤣🤣
Kenya ndo most poorest country imagine mpaka karne ya 21 watu wanakunya kwenye mifuko na kufa kwa njaaKwani hujui 70% of Tanzanians live in slums compared to 40% of Kenyans?
For poverty Tanzania is the most poor country in East Africa.
Muulize mbona mama nae kapiga chini?ile bagamoyo port iliokua imejaa uozo na ufisadi wa kutisha🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Sawa magu kafa mama aliufufua mbona akaupiga chini?Ila wawekezaji wanakuja na mambo yao.
Na nyie mnaenda na ya kwenu, mnakutana mnazungumza.
Magu alipanic tu.
Alitakiwa kuwaita awakabe wazungumze.
Maana mikataba mingi aliyo-negotiate ilienda vizuri.
Leo kila mgodi unaokuja TZ, serikali inapata automatic hisa za 16%-20% bure.
Tunanunua dhahabu na tumeshaanza kuwafosi, wafanye refinery ya angalau 20% ya dhahabu nchini.
Unahisi serikali haikusema inataka nini ?Sijasema ulikuwa mkataba mzuri.
Ninachosema wao waliandika walichotaka.
Na serikali ilitakiwa kusema inataka nini.
Wakutane mezani.
Actually kwenye highways zetu trucks ni nyingi kuliko private cars by far, unapishana na trucks 50 private cars 10 kwa Africa nafikiri Tanzania ipo top 3 kwa wingi wa trucksDar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
Kama una ubavu leta data za TRA waliopo mipakani, nioneshe tu trucks 10 zikitoka Mombasa port to Kilimanjaro and Arusha nikuoneshe trucks 2000 from Tanzania to KunyalandEndelea kulia wakati Lamu Port is the source of life to all Tanzanian ports currently.
Hivi wewe umeenda hata kindergarten kweli? Postgraduate anakosaje admission ya master's degree?Not everyone that calls themselves an engineer is really an engineer. Jamaa alishindwa kupata kupata admission in Kenyan universities akaamua akimbilie vumbistan where he will be accepted mara that that.
Ndio msana ya mazungumzo. Msipoelewana.Unahisi serikali haikusema inataka nini ?
Hajaupiga chini.Sawa magu kafa mama aliufufua mbona akaupiga chini?
nioneshe hiyo business mlioipita Tanzania kwenye lake VictoriaAkili pekee ndio huwa huna. Who told you share of the lake determines the size of the business? Tanzania has longer shoreline than Kenya but Mombasa port alone does more business than all Tanzanian ports combined.
yani tungempata mwinyi jamaa anapiga kazi kimya kimya no blah blah hakuna majivuno wala sifa 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://youtu.be/y9m5LNceJPo?si=uWKkbBZNjPptWENp
Wewe kiande nini kwani wawekezaji wa huo mradi huo mradi hawakuepo na kama wewe ni msikilizaji wa bajeti serikali ilishaamua kuanza kuutekeleza yenyewe bila mwekezaji bajeti ya 2024/2025Hajaupiga chini.
Watu bado wanatafuta mwekezaji mzuri, miongoni walioonesha nia.
Huwezi kupiga chini mradi kama ule.
Huwa sipendi watu wanapoendelea kumuongelea Hayati. Mtu alishatutoka but maisha lazima yaendelee. Muacheni apumzike kwa amani. Past is past.Sawa magu kafa mama aliufufua mbona akaupiga chini?