Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,951
- 27,921
Kwa hizo reasons zote distance pekee ndio umeona. Kweli wewe ni primitive.Mbona sababu ziko hapo ni UKARIBU
Kwa hizo reasons zote distance pekee ndio umeona. Kweli wewe ni primitive.Mbona sababu ziko hapo ni UKARIBU
Mkuu ni uongo kujenga hivi pale, pale gold star kuna SGR viaduct and it is less than 100 metters hadi ufike mataa ya kamata ukitokea mnazi na umbali huo huo ukitokea kariakoo msimbazi street (sasa sijui huo urefu wa hii flyover utaukadiria vipi ili visiingiliane), na kuhusu hiyo tunnel unazunguzia, unajua kutoka mataa ya kamata hadi kufika kwenye tunnel ya SGR ni kati ya mita 200 au less, na hapo katikati kuna kituo cha mwendokasi (mkabala na mkuki mall), utaichimba vipi hiyo tunnel na hii miundombinu mingine iendelee kuwepo.?Hebu niambie kujenga kitu kama hiki pale kamata haiwezekani? Na kwann haiwezekani wkt nafasi ni kubwa.View attachment 3457631
So, what is the solution? Tuiache vile vile?Mkuu ni uongo kujenga hivi pale, pale gold star kuna SGR viaduct and it is less than 100 metters hadi ufike mataa ya kamata ukitokea mnazi na umbali huo huo ukitokea kariakoo msimbazi street (sasa sijui huo urefu wa hii flyover utaukadiria vipi ili visiingiliane), na kuhusu hiyo tunnel unazunguzia, unajua kutoka mataa ya kamata hadi kufika kwenye tunnel ya SGR ni kati ya mita 200 au less, na hapo katikati kuna kituo cha mwendokasi (mkabala na mkuki mall), utaichimba vipi hiyo tunnel na hii miundombinu mingine iendelee kuwepo.?
Jaluo.Kwa hizo reasons zote distance pekee ndio umeona. Kweli wewe ni primitive.
Hapo kuna;Issue sio foleni kubwa inatokea wapi, issue ni kuondoa foleni. Ile njia kumbuka inaongoza kuwa na misafara ya ajabu ajabu, kinachotakiwa ni kufanya maarifa kupunguza muda wa raia kukaa barabarani, inawezekana foleni kubwa ni kutokea posta kuja airport lkn foleni hiyo inatokana na uwepo wa foleni ndogo ya kutokea kkoo, hivyo basi ukitengeneza means ya kuepusha magari ya kutoka kkoo kukutana na ya kutoka posta (kwenye foleni kubwa) utakuwa ume curb tatizo si ndiyo?
Ukiangalia mchoro hauhusiani kabisa na viaduct ya pale gold star, viaduct ipo mbali kabisa, labda useme pale kamata, lkn pia sio lazima flyover kuanzia nyuma kabisa karibu na daraja la electric train pale kamata tunaweza kuanzia pale karibu na mataa ikazunguka na kwenda kushuka lilipo jengo la mkuki, hiyo mkuki mall iondoke tu haina faina kubwa kwa jamii kulinganisha na hiyo solution. Kuhusu tunnel inaweza ikala nafasi kubwa upande wa bandarini ikaja kutokezea kamata, tukishindwa tuwape wachina wabuni watuondolee hili tatizo mana sisi waafrika tushakubali hatuwezi kufikiria.Mkuu ni uongo kujenga hivi pale, pale gold star kuna SGR viaduct and it is less than 100 metters hadi ufike mataa ya kamata ukitokea mnazi na umbali huo huo ukitokea kariakoo msimbazi street (sasa sijui huo urefu wa hii flyover utaukadiria vipi ili visiingiliane), na kuhusu hiyo tunnel unazunguzia, unajua kutoka mataa ya kamata hadi kufika kwenye tunnel ya SGR ni kati ya mita 200 au less, na hapo katikati kuna kituo cha mwendokasi (mkabala na mkuki mall), utaichimba vipi hiyo tunnel na hii miundombinu mingine iendelee kuwepo.?
kwa mimi pale ningeondoa nyumba zote za karibu ya eneo lile, ili walau nipate space ya kuchimba tunnel yenye njia pana kutokea kariakoo kuelekea kurasini, ili magari yanayotokea CBD to airport yapite juu, miundo mbinu ya upande huo ibaki kama ilivyo.So, what is the solution? Tuiache vile vile?
Shida yao slums wanaita dream houses. 🤣 🤣 🤣
Unaliamini citizen,arusha na moshi kuna mizigo gani ya kufikisha tonnes zote zile!Mbona sababu ziko hapo ni UKARIBU
No slums in Tanzania, don't drag us into your sickening poverty.Shida yao slums wanaita dream houses. 🤣 🤣 🤣
More than 70% of nairobi pple are slum dwellers, usipunguze namba tafadhali.51% ya kunyaland wanaishi kwenye slums!crazy!
Unaongea hapa yet entire Northern Tanzania uses Mombasa Port 😂😂
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1938941768441176199?t=leOAJCD8pvXpTrt-F1SRHg&s=19
Engineers wenu kumbe ni failures 😁😁 halafu huyo kaja kuchukua masters ni postgraduate ko bachelor's degrees zenu ni takatakaBecause he couldn't get a chance at the Kenyan University. When you see a Kenyan going to study in Tanzania or Uganda just know those are failures.
Who would leave UON which is the best university in East Africa aende akasomee in some unknown school in Vumbistan?
Nyau wanaishi maisha duni mnoMore than 70% of nairobi pple are slum dwellers, usipunguze namba tafadhali.
Nyau wanafosi tufananeNo slums in Tanzania, don't drag us into your sickening poverty.View attachment 3457728
Because he couldn't get a chance at the Kenyan University. When you see a Kenyan going to study in Tanzania or Uganda just know those are failures.
Who would leave UON which is the best university in East Africa aende akasomee in some unknown school in Vumbistan?