Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu niambie kujenga kitu kama hiki pale kamata haiwezekani? Na kwann haiwezekani wkt nafasi ni kubwa.View attachment 3457631
Mkuu ni uongo kujenga hivi pale, pale gold star kuna SGR viaduct and it is less than 100 metters hadi ufike mataa ya kamata ukitokea mnazi na umbali huo huo ukitokea kariakoo msimbazi street (sasa sijui huo urefu wa hii flyover utaukadiria vipi ili visiingiliane), na kuhusu hiyo tunnel unazunguzia, unajua kutoka mataa ya kamata hadi kufika kwenye tunnel ya SGR ni kati ya mita 200 au less, na hapo katikati kuna kituo cha mwendokasi (mkabala na mkuki mall), utaichimba vipi hiyo tunnel na hii miundombinu mingine iendelee kuwepo.?
 
Mkuu ni uongo kujenga hivi pale, pale gold star kuna SGR viaduct and it is less than 100 metters hadi ufike mataa ya kamata ukitokea mnazi na umbali huo huo ukitokea kariakoo msimbazi street (sasa sijui huo urefu wa hii flyover utaukadiria vipi ili visiingiliane), na kuhusu hiyo tunnel unazunguzia, unajua kutoka mataa ya kamata hadi kufika kwenye tunnel ya SGR ni kati ya mita 200 au less, na hapo katikati kuna kituo cha mwendokasi (mkabala na mkuki mall), utaichimba vipi hiyo tunnel na hii miundombinu mingine iendelee kuwepo.?
So, what is the solution? Tuiache vile vile?
 
Grevys Zebra vs Plains Zebra. The smaller one with thick stripes is the plains zebra, it's very common and also found in Vumbistan. The bigger one with thinner stripes is the Grevys Zebra. Only found in Samburu National Park and small numbers in Ethiopia. vumbistanis have never seen this one.

Screenshot_20250829-172700.png
 
Issue sio foleni kubwa inatokea wapi, issue ni kuondoa foleni. Ile njia kumbuka inaongoza kuwa na misafara ya ajabu ajabu, kinachotakiwa ni kufanya maarifa kupunguza muda wa raia kukaa barabarani, inawezekana foleni kubwa ni kutokea posta kuja airport lkn foleni hiyo inatokana na uwepo wa foleni ndogo ya kutokea kkoo, hivyo basi ukitengeneza means ya kuepusha magari ya kutoka kkoo kukutana na ya kutoka posta (kwenye foleni kubwa) utakuwa ume curb tatizo si ndiyo?
Hapo kuna;
  • Kamata
  • Buguruni
  • Magomeni

Naona kama zote zinatoka
 
Mkuu ni uongo kujenga hivi pale, pale gold star kuna SGR viaduct and it is less than 100 metters hadi ufike mataa ya kamata ukitokea mnazi na umbali huo huo ukitokea kariakoo msimbazi street (sasa sijui huo urefu wa hii flyover utaukadiria vipi ili visiingiliane), na kuhusu hiyo tunnel unazunguzia, unajua kutoka mataa ya kamata hadi kufika kwenye tunnel ya SGR ni kati ya mita 200 au less, na hapo katikati kuna kituo cha mwendokasi (mkabala na mkuki mall), utaichimba vipi hiyo tunnel na hii miundombinu mingine iendelee kuwepo.?
Ukiangalia mchoro hauhusiani kabisa na viaduct ya pale gold star, viaduct ipo mbali kabisa, labda useme pale kamata, lkn pia sio lazima flyover kuanzia nyuma kabisa karibu na daraja la electric train pale kamata tunaweza kuanzia pale karibu na mataa ikazunguka na kwenda kushuka lilipo jengo la mkuki, hiyo mkuki mall iondoke tu haina faina kubwa kwa jamii kulinganisha na hiyo solution. Kuhusu tunnel inaweza ikala nafasi kubwa upande wa bandarini ikaja kutokezea kamata, tukishindwa tuwape wachina wabuni watuondolee hili tatizo mana sisi waafrika tushakubali hatuwezi kufikiria.
 
Because he couldn't get a chance at the Kenyan University. When you see a Kenyan going to study in Tanzania or Uganda just know those are failures.

Who would leave UON which is the best university in East Africa aende akasomee in some unknown school in Vumbistan?
Engineers wenu kumbe ni failures 😁😁 halafu huyo kaja kuchukua masters ni postgraduate ko bachelor's degrees zenu ni takataka
 
Because he couldn't get a chance at the Kenyan University. When you see a Kenyan going to study in Tanzania or Uganda just know those are failures.

Who would leave UON which is the best university in East Africa aende akasomee in some unknown school in Vumbistan?
Screenshot_20250829-183353.png

Maku usiwe unasahau kumeza methadone zako mngese,chuki zako zimekufanya uwe chizi maku ww,angalia CV ya kenya former general attorney,familia yenu wote hamna aliesoma kumfikia mngese ww,nikuletee list ya viongozi wa afrika waliosoma TZ?
 
Back
Top Bottom