Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
Bandari ya Kenya Inaweza ikawa inapokea mzigo mkubwa ila asilimia kubwa ni mzigo unaoishia Kenya kuliko ule wa tanzania unaoishia ndani.
Mfano tu chakula kinachoagizwa kwa Kenya kupitia Mombasa port -mahindi, mchele 900,000 tonnes mtama, soja haya mazao kwa Tanzania karibia yote hatuagiza hivyo kupunguza wingi wa makontena, nusu ya mchele unaoingia Kenya unapitia bandarin
Ukija mafuta Kenya umeme inatokana na mafuta ni almost 17 % wakat tz tumeshazima mitambo karibia yote hivyo hata mahitaji ya diesel yamepungua sana
Ukija kwenye gesi , wakati Tanzania haifanyi importation ya LNG kwa sasa, Kenya wao wanaingiza mzigo wa LNG kwa wingi sana ,actually 99.9 ya natural gas Kenya ni ya importation .
Kwa muktadha huo pamoja na bandari ya mombasa kuwa na mzigo mkubwa ila karibia 70% au zaid inaishia Kenya huku Tanzania Inaweza kuwa 50% ya mzigo unabaki nchini ,
Kumbuka kabla ya hapo hata mafuta .
Unaweza kuwa na meli hata 100 ila 70% ya meli hizo zinaishia ndani nchi na mwenzio ana meli 70 ila nusu ya meli hizo ni kwa ajili ya kupitishwa tu kwenda kwa wenzenu.
Ndo maana ukiangalia level ya export Kenya Iko chini tofauti na Ile ya tz.
Angalia level ya manunuzi ya trucks kwa sasa kwa ajili ya transit kwa makampuni ya Tanzania linganisha na zile kampuni za Kenya. Ni nadra sana kukuta Kenya mtu kanunua fleet ya letsay 100 truck kwa mkupuo ila tz ishakuwa normal
Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
 
Kuna mibongolala ilkua inasema eti opening ceremony ni ya maana kuliko closing ceremony ๐Ÿ˜…
1000065842.jpg
 
World championships ongoing in Thailand. That was a great match for Kenya against the 3rd ranked team in the world ( Poland). Kenya is truly a sporting nation. Hata Football we are coming back . If it wasnโ€™t the referee goal robbery against Madagascar, We would be playing in the Finals .
Nchi ingine takataka inajua tu Simba yanga!!
Imagine kiushi nchi boring Ivo!!!
Moira yenyewe hawajui
World cup hawajawahi fika
World champions wa football like Argentina Germany France etc wametamba kwa rugby , volleyball etc
 
Ila wawekezaji wanakuja na mambo yao.

Na nyie mnaenda na ya kwenu, mnakutana mnazungumza.

Magu alipanic tu.

Alitakiwa kuwaita awakabe wazungumze.

Maana mikataba mingi aliyo-negotiate ilienda vizuri.

Leo kila mgodi unaokuja TZ, serikali inapata automatic hisa za 16%-20% bure.

Tunanunua dhahabu na tumeshaanza kuwafosi, wafanye refinery ya angalau 20% ya dhahabu nchini.
alipanic wapi bana zungumzeni ukweli hakuna mtu atasaini mkataba kama huu labda kichaa tu

View: https://www.instagram.com/p/DNTwcMeNljr/?igsh=NDd4c3RnMG8yaXkx
 
Sijasema ulikuwa mkataba mzuri.

Ninachosema wao waliandika walichotaka.

Na serikali ilitakiwa kusema inataka nini.

Wakutane mezani.
wale walishakuja na masharti yao na hakukua na marekebisho kwasabbau walishawasilisha wanayoyataka ndio maana jamaa akaamua kuutupilia mbali

kuna vitu vingine kama kiongozi hutakiwi kupepesa macho mbona mkataba haujarudi na awamu hii watu wanatembea na sahihi zao mkononi
 
wale walishakuja na masharti yao na hakukua na marekebisho kwasabbau walishawasilisha wanayoyataka ndio maana jamaa akaamua kuutupilia mbali

kuna vitu vingine kama kiongozi hutakiwi kupepesa macho mbona mkataba haujarudi na awamu hii watu wanatembea na sahihi zao mkononi
Kwani mikataba huwa inajadiliwa vipi?
 
Kwani mikataba huwa inajadiliwa vipi?
kwanza ufisadi ulianzia kwenye kulipa watu fidia billion 115 zimeliwa na fidia utakuta hata billion 5 hazifiki kwa kipindi hicho yani huo mradi kwa lugha fupi ilikua ni moja ya disaster kubwa kuwahi kutokea kwenye nchi hii

kama aliweza kudhibiti madini kwa asilimia kubwa asingeshindwa huo mradi inaonekana ulikua na vikwazo vingi sana
 
Back
Top Bottom