Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data
Bandari ya Kenya Inaweza ikawa inapokea mzigo mkubwa ila asilimia kubwa ni mzigo unaoishia Kenya kuliko ule wa tanzania unaoishia ndani.
Mfano tu chakula kinachoagizwa kwa Kenya kupitia Mombasa port -mahindi, mchele 900,000 tonnes mtama, soja haya mazao kwa Tanzania karibia yote hatuagiza hivyo kupunguza wingi wa makontena, nusu ya mchele unaoingia Kenya unapitia bandarin
Ukija mafuta Kenya umeme inatokana na mafuta ni almost 17 % wakat tz tumeshazima mitambo karibia yote hivyo hata mahitaji ya diesel yamepungua sana
Ukija kwenye gesi , wakati Tanzania haifanyi importation ya LNG kwa sasa, Kenya wao wanaingiza mzigo wa LNG kwa wingi sana ,actually 99.9 ya natural gas Kenya ni ya importation .
Kwa muktadha huo pamoja na bandari ya mombasa kuwa na mzigo mkubwa ila karibia 70% au zaid inaishia Kenya huku Tanzania Inaweza kuwa 50% ya mzigo unabaki nchini ,
Kumbuka kabla ya hapo hata mafuta .
Unaweza kuwa na meli hata 100 ila 70% ya meli hizo zinaishia ndani nchi na mwenzio ana meli 70 ila nusu ya meli hizo ni kwa ajili ya kupitishwa tu kwenda kwa wenzenu.
Ndo maana ukiangalia level ya export Kenya Iko chini tofauti na Ile ya tz.
Angalia level ya manunuzi ya trucks kwa sasa kwa ajili ya transit kwa makampuni ya Tanzania linganisha na zile kampuni za Kenya. Ni nadra sana kukuta Kenya mtu kanunua fleet ya letsay 100 truck kwa mkupuo ila tz ishakuwa normal
Dar port bado inatoa mzigo mwingi,usidanganyike na vidata fake vya kupikwa,kwa macho tu angalia kampuni za logistic zilivyo nyingi na zote zinapiga kazi,uwingi wa gari za IT,uwingi wa trucks za kigeni kutokea zambia,malawi,burundi,rwanda na congo,TZ uwa atuwezi kupika data