Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lamata Village Mtoko wa Cow Boy. Tanzania watu wanakula bata siku after siku. Hii ni jana ilinipita. Tunawanga wakenya mpaka wanyooke.

WAIGIZAJI WA JUA KALI

1754054210278.png


1754054239680.png


1754054266982.png
 
How the International Airport Passenger Terminal looks like.
JNIA , a masterpiece, a true architecture glimpse.
Kula chuma hicho,
Na bado msalato international airport in Dodoma , plus Zanzibar international airport, Plus Kilimanjaro international airport .
Currently this is the Largest and Modern airport passenger terminal in East and Central Africa.

Photos taken by me two days ago.
View attachment 3426699View attachment 3426700View attachment 3426701View attachment 3426703
What is this?
 
Hahaha wakati huo Tz tulikuwa tuna fabricate internally kama wakunya wanavyojisifu ♌, nakumbuka kulikuwa na nganya zinaitwa King Cross zinachanja mbuga Iringa Dodoma by then Barabara ilikuwa unpaved. Barabara zilipojengwa tu Tz nzima na haya madude yakafa natural death, hata vile viwanda vya fabrication vilikufa na baadhi vilihamia Kenya.
Hayo madude hayana Soko Tanzania.
Show me a Tanzanian fabricator who has made a bus like this. Muache uongo saa zingine.

516789607_764487889266728_2319339466490557916_n.jpg
 
Same way wengine wenu humu mnaosema Kenya kuna njaa ooh Kenya kuna slums wanaishi hivi.
View attachment 3427169
TZ ni third world country,tunaishi kwenye nyumba kama hiyo ila nyumba zina vyoo vya kueleweka na mazingira ni masafi,unaona hapo uchafu uliokuwepo ni majani ya huo mti,kingine atupretend kama kunyan,kunyan yupo kwenye nyumba ya mabati ambayo haina choo,ila bado anajiona tajiri
 
Back
Top Bottom