Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I don't see other countries National Tv na almost nchi nzima kujazana kupiga ukunga kama Nyie Kunyans.

Yaani hata ziara ya Rais wa Uganda haijulikani, habari nzima ya Nchi ni kuzuiwa umachinga.
Umetazama video ya hiyo post uliyoquote wewe Malaya?
 
Eac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
Waulize tangu Ruto aingie wame-violate mara ngapi common market protocols?
 
Wauliza tangu Ruto aingie wame-violate mara ngapi common market protocol?
chrome_screenshot_Jul 31, 2025 5_02_15 PM GMT+03_00.png

Hebu tuanzie hapa
 
mjinga wewe huna akili how can a tanzanian begger aingie kenya bila passport unless nyinyi hamuna nchi muna guest house ya kunyanduana tu 😂😂😂😂😂
Have you heard of illegal immigrants? Are you a legal or illegal immigrant in Tanzania?
 
Ungekuwa na akili ungejua clubs do sign higher sponsorship deals than leagues. Lakini ng'ombe ni ng'ombe tu.
In 2024, Gor Mahia’s primary shirt sponsorship revenue was KSh 80 million from SportPesa.

The total value of the three-year deal (2023–2025) is KSh 240 million.

Additional non‑cash benefits include kit supply, insurance, and continental competitions support.


Kwani kuna sponsor mwingine hapo
Hiyo ni pesa ambayo anatoa sponsor wa chini kabisa wa simba 620,000 usd versus 700,000 usd kutoka sandaland sports wear 🤣🤣🤣🤣.
Kwa hela hiyo mtalipa wachezaji kweli
 
Back
Top Bottom