Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwasabu hakuna nchi wakenya wamejaa kama Tz, yn Tz ndiyo kila kitu kwao, ofcz ni USA yao.
Povu wanalolitoa kunyan si la kitoto,yan kama TZ nchi yao vile 😂,kwao kuna skendo kumbe pesa yote inayopatikana kwenye expressway inaingia kwenye familia ya kenyata na si kama ya mchina,but kunyan wao wapo na hili la TZ tu 😂
 
lupaso stadia.
IMG_0118.jpeg
IMG_0075.jpeg
 
Yaani ata hujui tofauti ya villages na households
Enyewe hapa mnaongea na mafala.
All villagers in Kenya are connected 100% as by 2019.
Households we are approaching 90% 2025
Yani hata kuconnect stima kwa village inamaanisha nini? Kikingi ikipita kwa hio village kwaivo panakua 100% connected to electricity? Tanzanians are a special case
 
Back
Top Bottom