Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

East Africa commercial and logistic center.
IMG_0114.jpeg
IMG_0112.jpeg
IMG_0111.png
 
Are you aware that only 37% Tanzanians are connected to electricity? Do you have electricity in your house?
Haya piga hesabu 37% connected ila demand ni 1900MW
Nyie 98% connected demand 2300MW.
Piga hesabu uone nani anatumia umeme mwingi per person. Kenya walipaswa watumie 5000MW ili kuwa sawa na consumption ya TZ per person which means TZ wanatumia umeme 2.2 times than Kenya per person na hii ndio inayo account for discrepancy in industrial production between these two countries.
 
Haya piga hesabu 37% connected ila demand ni 1900MW
Nyie 98% connected demand 2300MW.
Piga hesabu uone nani anatumia umeme mwingi per person. Kenya walipaswa watumie 5000MW ili kuwa sawa na consumption ya TZ per person which means TZ wanatumia umeme 2.2 times than Kenya per person na hii ndio inayo account for discrepancy in industrial production between these two countries.
Mwambie Dar pekee inatumia 600MW+
 
Kwasabu hakuna nchi wakenya wamejaa kama Tz, yn Tz ndiyo kila kitu kwao, ofcz ni USA yao.
Povu wanalolitoa kunyan si la kitoto,yan kama TZ nchi yao vile 😂,kwao kuna skendo kumbe pesa yote inayopatikana kwenye expressway inaingia kwenye familia ya kenyata na si kama ya mchina,but kunyan wao wapo na hili la TZ tu 😂
 
Yaani ata hujui tofauti ya villages na households
Enyewe hapa mnaongea na mafala.
All villagers in Kenya are connected 100% as by 2019.
Households we are approaching 90% 2025
Yani hata kuconnect stima kwa village inamaanisha nini? Kikingi ikipita kwa hio village kwaivo panakua 100% connected to electricity? Tanzanians are a special case
 
Back
Top Bottom