Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Show me a Tanzanian fabricator who has made a bus like this. Muache uongo saa zingine.

516789607_764487889266728_2319339466490557916_n.jpg
Uzito wake ni tani ngapi? Tumeyatengeneza sana miaka ya 1990s tukaona ujinga.
 
TZ ni third world country,tunaishi kwenye nyumba kama hiyo ila nyumba zina vyoo vya kueleweka na mazingira ni masafi,unaona hapo uchafu uliokuwepo ni majani ya huo mti,kingine atupretend kama kunyan,kunyan yupo kwenye nyumba ya mabati ambayo haina choo,ila bado anajiona tajiri
Hii nyumba ina choo ndani? 🤣 🤣
Danganya wenye hawajawai fika Bongo. Nyumba mpya za tofali hapo bongo vyoo viko nje alafu utuambia nyumba ya tope ina choo ndani?🤣 🤣
WhatsApp Image 2025-08-01 at 16.46.35_aa8689c4.jpg
 
List of Kenyan in Tanzanian football clubs



1.John Mark Makwatta, Striker , Coastal Union SC
2.Hassan AbdallaAttacker/WingerCoastal Union SC
3.John Kelwish WalubukaStrikerFountain Gate FC
4.Apollo OtienoMidfielderDodoma Jiji FC
5.Robinson KamuraDefenderDodoma Jiji FC
6.Elvis RupiaStrikerSingida Black Stars
7.Duke AbuyaMidfielderYoung Africans SC (Yanga)
8.Christopher OruchumDefenderPamba Jiji SC
9.Eric KapaitoStrikerNamungo
10. Mohamed bajaber simba sport club


Versus
Tanzania in Kenyan football clubs


As of the 2024–25 season, the only confirmed Tanzanian playing in the Kenyan Premier League (KPL) is:

Stephen Bulugu — a defender (left‑back/center‑back) who joined Nairobi City Stars from Muhoroni Youth in mid‑2024. He accumulated 27 appearances during his debut season


Halafu tuliwaambia sisi ndo tunawalisha mnakataaa ,
tufunge mpaka sasa
Meaning we have more talent than you.
 
Hii nyumba ina choo ndani? 🤣 🤣
Danganya wenye hawajawai fika Bongo. Nyumba mpya za tofali hapo bongo vyoo viko nje alafu utuambia nyumba ya tope ina choo ndani?🤣 🤣
View attachment 3427321
Wakenya mnatafuta kwa tochi vitu vya hali ya chini mbongo. Lakini huko kenya hata kipofu anaona uozo wa nchi yenu.
 
Wakenya mnatafuta kwa tochi vitu vya hali ya chini mbongo. Lakini huko kenya hata kipofu anaona uozo wa nchi yenu.
Hiyo picha niliipiga mwenyewe hata sikutafuta. Yani kando ya barabara tu nikapiga tena main road. Ningeingia ndani ningeona miujiza.
 
Back
Top Bottom