President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,760
- 89,785
Na haina dirishaTZ ni third world country,tunaishi kwenye kama hiyo ila nyumba zina vyoo vya kueleweka na mazingira ni masafi,unaona hapo uchafu uliokuwepo ni majani ya huo mti,kingine atupretend kama kunyan,kunyan yupo kwenye nyumba ya mabati ambayo haina choo,ila bado anajiona tajiri
Uzito wake ni tani ngapi? Tumeyatengeneza sana miaka ya 1990s tukaona ujinga.Show me a Tanzanian fabricator who has made a bus like this. Muache uongo saa zingine.
![]()
Basi limepinda pinda bodi kabla hata ya kuingia barabarani. Mlango kama wa kuingilia kwenye choo za kiberaShow me a Tanzanian fabricator who has made a bus like this. Muache uongo saa zingine.
![]()
Show me a Tanzanian fabricator who has made a bus like this. Muache uongo saa zingine.
![]()
Halafu anawachamba vidole mama si mtu mzuri!Imagine Uchawa wote huu, na wengine bado uvimbe hujapona 😂Wamepigwa kingine tena . Mwaka mbovu sana kwa Wakundustan😂
Unaweza kuelezea kiufupi kwa nini hawafai kuolewa?Hawa watutsi ni wazuri tu nje ila hawafai kwenye kuolewa, kama huyu sidhani kama itadumu hata miaka miwili
Nimemuona mtu kama Teargass hapo, au ni macho yangu yamenidanganya😏Ila Kenya wananchi wana maisha magumu sana
View attachment 3427225
Hii pot ni man kweli kwa ufahamu wako?Show me a Tanzanian fabricator who has made a bus like this. Muache uongo saa zingine.
![]()
Hii nyumba ina choo ndani? 🤣 🤣TZ ni third world country,tunaishi kwenye nyumba kama hiyo ila nyumba zina vyoo vya kueleweka na mazingira ni masafi,unaona hapo uchafu uliokuwepo ni majani ya huo mti,kingine atupretend kama kunyan,kunyan yupo kwenye nyumba ya mabati ambayo haina choo,ila bado anajiona tajiri
Meaning we have more talent than you.List of Kenyan in Tanzanian football clubs
1.John Mark Makwatta, Striker , Coastal Union SC
2.Hassan AbdallaAttacker/WingerCoastal Union SC
3.John Kelwish WalubukaStrikerFountain Gate FC
4.Apollo OtienoMidfielderDodoma Jiji FC
5.Robinson KamuraDefenderDodoma Jiji FC
6.Elvis RupiaStrikerSingida Black Stars
7.Duke AbuyaMidfielderYoung Africans SC (Yanga)
8.Christopher OruchumDefenderPamba Jiji SC
9.Eric KapaitoStrikerNamungo
10. Mohamed bajaber simba sport club
Versus
Tanzania in Kenyan football clubs
As of the 2024–25 season, the only confirmed Tanzanian playing in the Kenyan Premier League (KPL) is:
Stephen Bulugu — a defender (left‑back/center‑back) who joined Nairobi City Stars from Muhoroni Youth in mid‑2024. He accumulated 27 appearances during his debut season
Halafu tuliwaambia sisi ndo tunawalisha mnakataaa ,
tufunge mpaka sasa
Wakenya mnatafuta kwa tochi vitu vya hali ya chini mbongo. Lakini huko kenya hata kipofu anaona uozo wa nchi yenu.Hii nyumba ina choo ndani? 🤣 🤣
Danganya wenye hawajawai fika Bongo. Nyumba mpya za tofali hapo bongo vyoo viko nje alafu utuambia nyumba ya tope ina choo ndani?🤣 🤣
View attachment 3427321
Weka picha tuoneDar Coach
Hiyo picha niliipiga mwenyewe hata sikutafuta. Yani kando ya barabara tu nikapiga tena main road. Ningeingia ndani ningeona miujiza.Wakenya mnatafuta kwa tochi vitu vya hali ya chini mbongo. Lakini huko kenya hata kipofu anaona uozo wa nchi yenu.
Chang'aa ishakuharibu,ubongo,wapi niliposema hizo nyumba zina vyoo vya ndani?Hii nyumba ina choo ndani? 🤣 🤣
Danganya wenye hawajawai fika Bongo. Nyumba mpya za tofali hapo bongo vyoo viko nje alafu utuambia nyumba ya tope ina choo ndani?🤣 🤣
View attachment 3427321
Kwa hivo nyumba ya tope ina choo kipi cha kueleweka? 🤣 🤣Chang'aa ushakuharibuubongo,wapi niliposema hizo zina vyoo vya ndani?