NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,012
- 19,188
Wanasema Kenya pekee ndio wanalalamika. The truth is, wanafuatilia kinachoendelea Kenya pekee.Punguza kidomo domo, useless kabisa kama nchi.
Target ni wachina si mlikua mnatukejeli huku wachina wanauza kariakoo, mtaani etc
ila cha ajabu nyie kenge ndio mmelifanya suala la kitaifa kila chombo cha habari, hadi mnalalamikia government yenu, kisa kazi ya saluni duh.
Huko Ukunyani hamna vichwa vya kunyoa?
Waganda hawa
TikTok - Make Your Day
vm.tiktok.com