Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Punguza kidomo domo, useless kabisa kama nchi.

Target ni wachina si mlikua mnatukejeli huku wachina wanauza kariakoo, mtaani etc

ila cha ajabu nyie kenge ndio mmelifanya suala la kitaifa kila chombo cha habari, hadi mnalalamikia government yenu, kisa kazi ya saluni duh.

Huko Ukunyani hamna vichwa vya kunyoa?
Wanasema Kenya pekee ndio wanalalamika. The truth is, wanafuatilia kinachoendelea Kenya pekee.
Waganda hawa

 
Brother Tanzania ilishafanya sana katika ukombozi wa afrika. Tukaambulia maumivu. Soma foreign policy yetu mpya.
Kwa sasa urafiki na mtu ikiwa tu Tanzania inapata faida ya kiuchumi basi. Hayo mambo ya big brother in the region hayamo kwenye foreign policy.

Tanzania siyo nchi ya ku create jobs for other countries. Serikali zao zitengeneze jobs kwa watu wao.
Nchi zao kuona tangazo la job opportunity basi itakua ni gulf huko,aisee watuache kidogo na wao waweke sheria kama tuliyoweka sisi
 
Hawa hawatujui, huwa hatufanyi kitu kwa kukurupuka hizo kelele baada ya wiki zitaisha na hawatafanya chochote,
Waliwahi piga kelele sana tulivyomtoa nduku waziri wao wa uchukuzi kuingia Tanga port na vitisho kibao, ila mpaka leo kimyaa
Kenya halisi wanaijua viongozi wao. Wakenya wa kawaida hawaijui Kenya.

Kenya ni paper tiger tu.

Wajaribu kufanya chochote.

Mwaka 2020 walikuwa na COVID wakajifungia, TZ ikaendelea na shughuli zake, wao wakaona tunawaambukiza COVID wakazuia WaTZ kwenda Kenya.

Hatukuongea sana, na sisi tukazuia KQ kitua Tanzania, easy. Wakaja kuongea.

Sasa wao badala ya kuchukua hatua, wako busy wanabonga sana.

Vilema vilem mara omba omba, kuwatimua hawawezi.

Sisi hapa tunakamata Warundi na Wahabeshi kila siku na wako huko magerezani.

Hao wakenya kila siku tuna-deport kwao.


Juzi tu, hapa kuna Mkenya alikuwa anabonga sana online, kumbe alipata kibarua cha kazi kwenye hotel huko Kigamboni, alikamatwa akawa deported kwao.

Easy.

Maneno mengi ya nini?
 
Hakuna protocol (MoU) ya EA member kwenda kufanya biashara nchi nyingine Kama upo mkataba naomba uuweke hapa.

Wakenya wameanza kukupotosha kwenye media kaka.
Mkuu mimi sipotoshwi na mtu yeyote huwa nasimamia kile ninacho amini. Kama protocol ya EA inaruhusu hivyo tutakuwa hatuna jinsi ndio namaanisha hivyo.
 
So, itabidi wengine wasubiri wkt team moja inapelekwa uwanjani? Msioneshe umaskini wenu kila sehemu jmn.
Hizo buses ziko mingi. Zingine zikiwa branding.

1000035949.jpg
 
Back
Top Bottom