ww kweli ni ng'ombe ulitaka acheze wap?One of my favorite soccer players, Mohammed Bajaber has joined Simba Sports…. Why Mo , Why???😡😡😡
Kwanini mtalii wa Tanzania afikie kenya,mbona watalii wa kenya afikii Tanzania,serikali yetu imalize hii weakness,hawa kunyan ni kelele tu ila wao ndio wanufaika wakubwa wa TZ,hili zuio limewavua nguo kunyan,ndio maana unaona hawa mazwazwa wa humu hii mada wanaikwepa toka jana wa TZ tunapost humu lakini kunyan wamenyuti 😄,waanapost kisirani na arguement zingine 😄Tunataka watalii wakifikia Kenya, kama anataka kuingia Tanzania aongozwe na tour guide wa Tanzania. Lazima wakenya wafuate utaratibu. Hakuna huruma kwa watu wanaojiondoa ufahamu wao.
Transport industry TZ ni level nyingine kabisa hapa EAHii Bongo sio size yao. DodomaView attachment 3425522Mwanza View attachment 3425533View attachment 3425534Dar View attachment 3425535View attachment 3425538Morogoro 👇🏾View attachment 3425539🔥🔥🔥 wao waagize zile scrap metals zao wapige nyundo wazitie road in the name of made in kunyalander 🤣🤣🤣
Ndege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.Kwanini mtalii wa Tanzania afikie kenya,mbona watalii wa kenya afikii Tanzania,serikali yetu imalize hii weakness,hawa kunyan ni kelele tu ila wao ndio wanufaika wakubwa wa TZ,hili zuio limewavua nguo kunyan,ndio maana unaona hawa mazwazwa wa humu hii mada wanaikwepa toka jana wa TZ tunapost humu lakini kunyan wamenyuti 😄,waanapost kisirani na arguement zingine 😄
ww kweli ni ng'ombe ulitaka acheze wap?
View: https://x.com/bracuszcadabra/status/1950640681506283903?s=46
You should know these neighbours by now. They are an empty tin and an empty tin always sounds louder.Seriously kweli nchi inayojitapa ipo mbele ya Tz miaka 20, GDP kubwa, Sarafu kubwa, Remittance kubwa, HDI kubwa per capita kubwa na taka taka zingine.
Wamefunga nchi kupiga ukunga kisa Tanzania kuwazuia kuja kuuza peremende, kunyoa, umachinga, lowest job.
Mbona wanajiaibisha sana, na ukiona sheria yenyewe imekuja baada ya malalamiko ya Wachina na mijitu yenyewe ilikua mbele kutusema chinese wanachukua kila kitu na kutukejeli, ajabu kuwakazia wachina ndio wao wanalia na makamasi
Kwa sababu kampuni Za Kikenya zinajitanganza ku-offer packages Za Tanzania na hii inasababisha kukosa some revenues. It’s high time that has to stop!Kwanini mtalii wa Tanzania afikie kenya,mbona watalii wa kenya afikii Tanzania,serikali yetu imalize hii weakness,hawa kunyan ni kelele tu ila wao ndio wanufaika wakubwa wa TZ,hili zuio limewavua nguo kunyan,ndio maana unaona hawa mazwazwa wa humu hii mada wanaikwepa toka jana wa TZ tunapost humu lakini kunyan wamenyuti 😄,waanapost kisirani na arguement zingine 😄