Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Nairobi looks beautiful right!?
Resemblance to cities in Europe.
Resemblance to cities in Europe.
Transport industry TZ ni level nyingine kabisa hapa EAHii Bongo sio size yao. DodomaView attachment 3425522Mwanza View attachment 3425533View attachment 3425534Dar View attachment 3425535View attachment 3425538Morogoro 👇🏾View attachment 3425539🔥🔥🔥 wao waagize zile scrap metals zao wapige nyundo wazitie road in the name of made in kunyalander 🤣🤣🤣
Ndege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.Kwanini mtalii wa Tanzania afikie kenya,mbona watalii wa kenya afikii Tanzania,serikali yetu imalize hii weakness,hawa kunyan ni kelele tu ila wao ndio wanufaika wakubwa wa TZ,hili zuio limewavua nguo kunyan,ndio maana unaona hawa mazwazwa wa humu hii mada wanaikwepa toka jana wa TZ tunapost humu lakini kunyan wamenyuti 😄,waanapost kisirani na arguement zingine 😄
ww kweli ni ng'ombe ulitaka acheze wap?
View: https://x.com/bracuszcadabra/status/1950640681506283903?s=46
You should know these neighbours by now. They are an empty tin and an empty tin always sounds louder.Seriously kweli nchi inayojitapa ipo mbele ya Tz miaka 20, GDP kubwa, Sarafu kubwa, Remittance kubwa, HDI kubwa per capita kubwa na taka taka zingine.
Wamefunga nchi kupiga ukunga kisa Tanzania kuwazuia kuja kuuza peremende, kunyoa, umachinga, lowest job.
Mbona wanajiaibisha sana, na ukiona sheria yenyewe imekuja baada ya malalamiko ya Wachina na mijitu yenyewe ilikua mbele kutusema chinese wanachukua kila kitu na kutukejeli, ajabu kuwakazia wachina ndio wao wanalia na makamasi
Kwa sababu kampuni Za Kikenya zinajitanganza ku-offer packages Za Tanzania na hii inasababisha kukosa some revenues. It’s high time that has to stop!Kwanini mtalii wa Tanzania afikie kenya,mbona watalii wa kenya afikii Tanzania,serikali yetu imalize hii weakness,hawa kunyan ni kelele tu ila wao ndio wanufaika wakubwa wa TZ,hili zuio limewavua nguo kunyan,ndio maana unaona hawa mazwazwa wa humu hii mada wanaikwepa toka jana wa TZ tunapost humu lakini kunyan wamenyuti 😄,waanapost kisirani na arguement zingine 😄
Hamna haja ya ndege kwenda ulaya,mzee nchi zenye utalii na kuusimamia vizuri ndege zitakuja tu,angalia zenj france kisharudisha ndege zake,kunyan wananufaika na hili sababu ya uzembe wetu na kuna watu for sure wamesabotage kwa maksudi baadhi ya mashirika ya ndege yasije TZNdege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.
Si ndio maana juzi nilipinga MOU ya KQ na Air Tanzania! CEO wa AIR Tanzania inabidi a-cancel ile maneno!Ndege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.
View: https://vm.tiktok.com/ZNdHWjqfB/b wadau nielewesheni kidogo,hii sheria imewekwa kwa wakenya tu au yeyote asie raia wa Tanzania?
Hakuna mkulima wa kikenya huku labda hawkers na bodabodaI remember mkiambiwa hapa na mwaiofhawaii that mahindi karibu yote inaingia Kenya from tz ni ya wakulima wa kikenya mkapinga!!!
Ona vile mnajipiga vibokoo wenyewe
Si walisema hawatumii mchina!!? Tena ni used, wakati Tz na Uganda wameingia vyuma vipya kabisa, si wangetumia gari wanazodai wanatengeneza wenyewe!!?? Hawa wanusa gundi ni useless kabisa.Sure 😂😂😂 with Yutong ya 2018 dah, yaani used scrappers? Imagine unaogopa kuweka mikebe ya nyundo unaenda kuchukua kitu cha 2018 unachonanga
View attachment 3425477