ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kwani kwala hakuna watanzania huko? mpaka waingie cost ya kusafirisha watu kutoka dar na pwani? mm sometimes hua sielewi for sure 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Hatutaji machinga wa kigeni.Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Nimegundua ni sehemu gani imewatrigger hawa mbwa. Ni kwenye ban ya media na tour guide.Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa
Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,
Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
As a big brother in this region we have a moral responsibility to look after the minor ones. Kule kukilipuka hata sisi watatupa taabu na kutuvurugia ustaarabu wetu saa nyingine lets focus mbele zaidi.Waruhusiwe kivp,halafu watanzania wataruhusiwa kuwa kuwaguide watalii mombasa na kwingineko,hii sheria ibaki hivi hivi,kikubwa na wao waweke sheria kama hiyo,juzi kati nimewakuta kunyan mitandaoni humu wanapigia hesabu ajira za kwenye uranium kule songea
Hao watu wana shida nyingi mkuu tuwaonee huruma rivalry aside. Ukibarikiwa na wewe uwe unasaidia kidogo. Afterall they have been engaged in business within TZ for ages what have we lacked by their presence uchumi si unaendelea kukua na ajira zinatengenezwa kila siku? At times we have to assume a big brother responsibilities huwezi kukwepa hilo ndio maana unaona mataifa makubwa yanatupa loans and grants kila siku ni kwasababu ya ukubwa huo ambao unakuja na responsibilities zake.wewe ni mpuuzi wa wapi?
Bro, umewahi kupitia hata JKT? Do not negotiate with your enemy. Atajifanya mpole ili atafute wakati sahihi akuumizeKusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Tunataka watalii wakifikia Kenya, kama anataka kuingia Tanzania aongozwe na tour guide wa Tanzania. Lazima wakenya wafuate utaratibu. Hakuna huruma kwa watu wanaojiondoa ufahamu wao.TZ tukaze hivyo hivyo hadi kunyan waandamane sababu ya sheria ya TZ 😄😄,soon wanaingia mtaani hao
ulitka acheze wapi gor mahia team haina hata banda la choo😂😂😂😂One of my favorite soccer players, Mohammed Bajaber has joined Simba Sports…. Why Mo , Why???😡😡😡
Kaka una huruma sana na hawa nyang'au. Itakua huwajui vizuri.Hao watu wana shida nyingi mkuu tuwaonee huruma rivalry aside. Ukibarikiwa na wewe uwe unasaidia kidogo. Afterall they have been engaged in business within TZ for ages what have we lacked by their presence uchumi si unaendelea kukua na ajira zinatengenezwa kila siku? At times we have to assume a big brother responsibilities huwezi kukwepa hilo ndio maana unaona mataifa makubwa yanatupa loans and grants kila siku ni kwasababu ya ukubwa huo ambao unakuja na responsibilities zake.
Brother Tanzania ilishafanya sana katika ukombozi wa afrika. Tukaambulia maumivu. Soma foreign policy yetu mpya.As a big brother in this region we have a moral responsibility to look after the minor ones. Kule kukilipuka hata sisi watatupa taabu na kutuvurugia ustaarabu wetu saa nyingine lets focus mbele zaidi.
mbona hatuwah kuwaona wakirudishwa kwanza wanaingiaje kenya bila passport?
Kuna kitu wakenya ni wagumu sana kuelewa. Sisi hatuna shida na nyie, mpo wengi sana huku mnatafuta maisha, tuna wajua, tunawaona na tunawasapoti. Maana watanzania wengi tunaelewa kuwa maisha ni poppet, na maisha ni kutafuta. Tatizo ni pale mnapoanza kuwa arrogant. Especially the online bunch!! Mnawaharibia wenzenu kwa ground huku!! Watu wako huku kwa ground wanakomaa na ishu zao sasa mnaanza kuwaweka kwa spotlight.I personally know of a major player in the industry who leases land using a Tanzanian partner ( I am a friend with his kids who reside in the US) I don’t want to create a controversy but there are many Kenyans especially from Mount Kenya region who do the same. And that’s a fact you can take to the bank. Now Kenyans are in Uganda and DRC doing the same. It’s about affordability of arable land. Kenya land is limited and the most expensive in the region therefore to be a large scale farmer you have sometimes to explore beyond the borders. Plus no country in the region comes close to Kenya in terms of entrepreneurship. Now you know