Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Hatutaji machinga wa kigeni.

Ukiruhusu lundo la machinga, ni nani atalipa kodi??

Tunataka watu wenye mitaji mikubwa.
 
Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
Nimegundua ni sehemu gani imewatrigger hawa mbwa. Ni kwenye ban ya media na tour guide.


Pale hawaruhusiwi kuanzisha vi online media, wala vi podcast......ndo maana unaona backlash imekuwa kubwa online. Maana wameguswa kunano.
 
Waruhusiwe kivp,halafu watanzania wataruhusiwa kuwa kuwaguide watalii mombasa na kwingineko,hii sheria ibaki hivi hivi,kikubwa na wao waweke sheria kama hiyo,juzi kati nimewakuta kunyan mitandaoni humu wanapigia hesabu ajira za kwenye uranium kule songea
As a big brother in this region we have a moral responsibility to look after the minor ones. Kule kukilipuka hata sisi watatupa taabu na kutuvurugia ustaarabu wetu saa nyingine lets focus mbele zaidi.
 
wewe ni mpuuzi wa wapi?
Hao watu wana shida nyingi mkuu tuwaonee huruma rivalry aside. Ukibarikiwa na wewe uwe unasaidia kidogo. Afterall they have been engaged in business within TZ for ages what have we lacked by their presence uchumi si unaendelea kukua na ajira zinatengenezwa kila siku? At times we have to assume a big brother responsibilities huwezi kukwepa hilo ndio maana unaona mataifa makubwa yanatupa loans and grants kila siku ni kwasababu ya ukubwa huo ambao unakuja na responsibilities zake.
 
Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Bro, umewahi kupitia hata JKT? Do not negotiate with your enemy. Atajifanya mpole ili atafute wakati sahihi akuumize
 
East Africa commercial and logistics center
IMG_0069.jpeg
👇🏾
View: https://youtu.be/do93KkYo21U?si=ur7fiIOPvECzS1pA. The biggest in the region. Kunyarendans watapata kitu ka hii in the next coming decades.
 
Hao watu wana shida nyingi mkuu tuwaonee huruma rivalry aside. Ukibarikiwa na wewe uwe unasaidia kidogo. Afterall they have been engaged in business within TZ for ages what have we lacked by their presence uchumi si unaendelea kukua na ajira zinatengenezwa kila siku? At times we have to assume a big brother responsibilities huwezi kukwepa hilo ndio maana unaona mataifa makubwa yanatupa loans and grants kila siku ni kwasababu ya ukubwa huo ambao unakuja na responsibilities zake.
Kaka una huruma sana na hawa nyang'au. Itakua huwajui vizuri.

Hao wasenge hawana Shukrani kabisa, huoni before ya marufuku walikua wanajitapa humu kijeuri kupitia hivyo vibarua vya Tz.

Utasikia eti mashamba ni ya wakenya wakati wehu wananunua shambani, utasikia wao ndio wamelima mahindi yote.

Hamna Shukrani kabisa, acha wakazwe mbwa hao, kingine kama kweli wanajiweza waende TIC wajisajili


Haiwezekani Serikali ibebe mzigo wa watu 60m na tuongeze hohehahe wa nchi nyingine failed yenye kiburi.
 
As a big brother in this region we have a moral responsibility to look after the minor ones. Kule kukilipuka hata sisi watatupa taabu na kutuvurugia ustaarabu wetu saa nyingine lets focus mbele zaidi.
Brother Tanzania ilishafanya sana katika ukombozi wa afrika. Tukaambulia maumivu. Soma foreign policy yetu mpya.
Kwa sasa urafiki na mtu ikiwa tu Tanzania inapata faida ya kiuchumi basi. Hayo mambo ya big brother in the region hayamo kwenye foreign policy.

Tanzania siyo nchi ya ku create jobs for other countries. Serikali zao zitengeneze jobs kwa watu wao.
 
I personally know of a major player in the industry who leases land using a Tanzanian partner ( I am a friend with his kids who reside in the US) I don’t want to create a controversy but there are many Kenyans especially from Mount Kenya region who do the same. And that’s a fact you can take to the bank. Now Kenyans are in Uganda and DRC doing the same. It’s about affordability of arable land. Kenya land is limited and the most expensive in the region therefore to be a large scale farmer you have sometimes to explore beyond the borders. Plus no country in the region comes close to Kenya in terms of entrepreneurship. Now you know
Kuna kitu wakenya ni wagumu sana kuelewa. Sisi hatuna shida na nyie, mpo wengi sana huku mnatafuta maisha, tuna wajua, tunawaona na tunawasapoti. Maana watanzania wengi tunaelewa kuwa maisha ni poppet, na maisha ni kutafuta. Tatizo ni pale mnapoanza kuwa arrogant. Especially the online bunch!! Mnawaharibia wenzenu kwa ground huku!! Watu wako huku kwa ground wanakomaa na ishu zao sasa mnaanza kuwaweka kwa spotlight.

Hivi mshawahi kusikia migration wa Tanzania wanakamata wakenya?? Au waganda??

Huwa ni waburundi na wa Ethiopia tu!! Na unajua kwa nini waburundi wanakuwa checked mara kwa mara ninowa sabubu ya kuharibu kule kigoma kwa ujambazi, ila na wao wangekiwa hata hawasumbuliwi.


Pungizeni arrogance!! Manawaharibia watu genuine huku mtaani!!
 
Seriously kweli nchi inayojitapa ipo mbele ya Tz miaka 20, GDP kubwa, Sarafu kubwa, Remittance kubwa, HDI kubwa per capita kubwa na taka taka zingine.

Wamefunga nchi kupiga ukunga kisa Tanzania kuwazuia kuja kuuza peremende, kunyoa, umachinga, lowest job.

Mbona wanajiaibisha sana, na ukiona sheria yenyewe imekuja baada ya malalamiko ya Wachina na mijitu yenyewe ilikua mbele kutusema chinese wanachukua kila kitu na kutukejeli, ajabu kuwakazia wachina ndio wao wanalia na makamasi
 
Back
Top Bottom