Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,203
- 33,411
Wakati nilikuwa nawaambia crops that come to Kenya from Tanzania are farmed by Kenyans mlikuwa mnapinga. Si umeona nilikuwa right all along?
Is that bus 7 meters according to you?Soma bullet point ya kwanza 👇
![]()
Kenya: New rules on the import of used vehicles
Kenya has published. Public notice on DKS 1515 Road Vehicles - Inspection of Road Vehicles - Code of Practice.igarr.com
It's biggger, no doubt.Is our economy in reality not bigger than Kenya au?
Watanzania in Kenya hawana uwezo wa kumiliki car yards. Nyinyi mnapatikana kule Barbarani mkiomba chakula na pesa.
Kuna famers wapo kutoka Kenya, ila ni very few na we know them.Wakati nilikuwa nawaambia crops that come to Kenya from Tanzania are farmed by Kenyans mlikuwa mnapinga. Si umeona nilikuwa right all along?
Wewe kweli ni mjinga, who told you lazima ikuwe na passport ndio uingie Kenya? Mambo ya East Africa free movement hujui? Oooh pole, nilikuwa nasahau wewe ni myemen na hujui what happens in East Africa.mbona hatuwah kuwaona wakirudishwa kwanza wanaingiaje kenya bila passport?
Hamna kosa, ila mna roho mbaya na unafiki.Kosa la TZ ni lipi hapo?
So, You are too weak to even deport lames?Watanzania in Kenya hawana uwezo wa kumiliki car yards. Nyinyi mnapatikana kule Barbarani mkiomba chakula na pesa.
Sasa unaona mmefanya kitu cha maana sana? Bongolala ni bongolala tu.Reciprocate kama mna BALLS.
Mnabonga sana.
Kenge hao, linchi la kifala. Piga piniEac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
Kama siyo kitu cha maana, kelele kutoka Kenya za nini?Sasa unaona mmefanya kitu cha maana sana? Bongolala ni bongolala tu.
Is there a direct flight to UK from your lazy nation. KQ does NY, London and other European cities none stop. Your loss making airline is still doing local routes kama Matatu.Kwanini mtalii wa Tanzania afikie kenya,mbona watalii wa kenya afikii Tanzania
Free movement haihusiani na kuvunja Sheria za nchi, ukiangalia kama hiyo namba 13 ambayo wanailalamikia sana , kuna wakenya kibao walikuwa wanaenda kununua mazao kwa ajili ya kuexport kwenda Kenya kinyume na utaratibu wa kupitia kwenye masoko ya bidhaa kama pale kibaigwa na sodeco songea.Mkuu mimi sipotoshwi na mtu yeyote huwa nasimamia kile ninacho amini. Kama protocol ya EA inaruhusu hivyo tutakuwa hatuna jinsi ndio namaanisha hivyo.
Mnataka kuenda ulaya na ndege gani? Ama zile air unworthy planes that were banned from entering Europe?Ndege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno.
Huyo mbona anaumia sana! 😂😂😂Kama siyo kitu cha maana, kelele kutoka Kenya za nini?
Wawafukuze tuone? Eti utazuia malori yasiingie Kenya sawa . Wataagiza mbao kutoka Dubai🤣🤣🤣🤣.Kama siyo kitu cha maana, kelele kutoka Kenya za nini?
Asee mimi lolote la kuwapiga pini hawa wakumbafu huwa naliunga mkono kwa asilimia 100 hata kama sikubaliani na serikali iliyopo madarakani. 😂😂😂Wawafukuze tuone? Eti utazuia malori yasiingie Kenya sawa . Wataagiza mbao kutoka Dubai🤣🤣🤣🤣.
Hatukubabaishwa na south Africa ije Kenya
Kenyan farmers owning lands in Tanzania wako wengi Sana. Most vegetables and fruits that come to Kenya from Tanzania are farmed by Kenyans in Tanzania.Kuna famers wapo kutoka Kenya, ila ni very few na we know them.
Dawa yao imeshapatikana