Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna protocol (MoU) ya EA member kwenda kufanya biashara nchi nyingine Kama upo mkataba naomba uuweke hapa.

Wakenya wameanza kukupotosha kwenye media kaka.
Mkuu mimi sipotoshwi na mtu yeyote huwa nasimamia kile ninacho amini. Kama protocol ya EA inaruhusu hivyo tutakuwa hatuna jinsi ndio namaanisha hivyo.
 
So, itabidi wengine wasubiri wkt team moja inapelekwa uwanjani? Msioneshe umaskini wenu kila sehemu jmn.
Hizo buses ziko mingi. Zingine zikiwa branding.

1000035949.jpg
 
Is our economy in reality not bigger than Kenya au?
It's biggger, no doubt.

Dalili nyingi ziko hivyo.

Kuna vitu vingi tunafanya kwa pesa za ndani effortlessly, ila Kenya ina struggle.

Mfano, wa karibuni tunajenga Stadium 2 mpya kwa mpigo ila Kenya uwanja mmoja wa Talanta ila inahemea juu juu kwa madeni.
 
mbona hatuwah kuwaona wakirudishwa kwanza wanaingiaje kenya bila passport?
Wewe kweli ni mjinga, who told you lazima ikuwe na passport ndio uingie Kenya? Mambo ya East Africa free movement hujui? Oooh pole, nilikuwa nasahau wewe ni myemen na hujui what happens in East Africa.
 
Eac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
Kenge hao, linchi la kifala. Piga pini

Viongozi wasilegeze kitu.
 
Back
Top Bottom