Eac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa