NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Hii ni zaidi ya Risiti la EFD😂Tujikumbushe kdg mnuka nnya a.k.a bwana mapesa, enzi hizo anakwambia 👇👇🤣🤣
View attachment 3425250
Hii ni zaidi ya Risiti la EFD😂Tujikumbushe kdg mnuka nnya a.k.a bwana mapesa, enzi hizo anakwambia 👇👇🤣🤣
View attachment 3425250
Soma bullet point ya kwanza 👇Ebu tuonyeshe any used bus imported in Kenya Kama wewe kweli ni mwanaume.
igarr.com
Because there is no money in Kenya 😁One of my favorite soccer players, Mohammed Bajaber has joined Simba Sports…. Why Mo , Why???😡😡😡
Hivi hawa wehu mnawaelewa 😅😅😅
View: https://x.com/RadioJamboKenya/status/1950632408442630507?t=AlnhXl_G_WKzlp9TciK4VA&s=19
Hivi hawa wehu mnawaelewa 😅😅😅
View: https://x.com/RadioJamboKenya/status/1950632408442630507?t=AlnhXl_G_WKzlp9TciK4VA&s=19
mbona hamuwafukuzi sasa ni watanzania?Na umegundua pia Tanzania tu ndo nchi imejaza omba omba kila mahali na wanaongoza kwa umaskini ukanda huu?
Mmesahau mara hii. Tanzania is the leading source of remitansi to Kenya sasa wanaenda ku forfeit remitansi za kutosha ndio maana kilio ni kikubwa. Uchumi bila remitansi hauendi.Wamechanganyikiwa wakiwaza Ge z kurudi upya
Ninawagonga huko huko kwenye mitandao yaoMmesahau mara hii. Tanzania is the leading source of remitansi to Kenya sasa wanaenda ku forfeit remitansi za kutosha ndio maana kilio ni kikubwa. Uchumi bila remitansi hauendi.
Deport them haraka sana.
View: https://vm.tiktok.com/ZNdHnQYsn/
Nyang'au hii issue wameichukulia personal sana 😄,hapa ndio utaona kunyan wanavyotuhitaji,wanaandamana mitandaoni kupinga sheria ya nchi nyingine 😄😄
Ilikua muda mzuri waonyeshe mambo yao sema yamefeli tena😂si walisema hawatumii bus za chinnese😂
TZ tukaze hivyo hivyo hadi kunyan waandamane sababu ya sheria ya TZ 😄😄,soon wanaingia mtaani haoNaomba nipewe hiyo barua wanayoizungumzia 🤣🤣🤣 ni barua gani?
wao kuja na rules kama hizi ku-protect their industries sawa ila Tanzania ikifanya ni kelele! Sasa ni kazi ngapi za watanzania wenye show rooms za used cars zimepotea hapo?Soma bullet point ya kwanza 👇
![]()
Kenya: New rules on the import of used vehicles
Kenya has published. Public notice on DKS 1515 Road Vehicles - Inspection of Road Vehicles - Code of Practice.igarr.com
Waruhusiwe kivp,halafu watanzania wataruhusiwa kuwa kuwaguide watalii mombasa na kwingineko,hii sheria ibaki hivi hivi,kikubwa na wao waweke sheria kama hiyo,juzi kati nimewakuta kunyan mitandaoni humu wanapigia hesabu ajira za kwenye uranium kule songeaKusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
wewe ni mpuuzi wa wapi?Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Sure 😂😂😂 with Yutong ya 2018 dah, yaani used scrappers? Imagine unaogopa kuweka mikebe ya nyundo unaenda kuchukua kitu cha 2018 unachonangaStylish, that is Kenya for you.
View attachment 3425400