Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmesahau mara hii. Tanzania is the leading source of remitansi to Kenya sasa wanaenda ku forfeit remitansi za kutosha ndio maana kilio ni kikubwa. Uchumi bila remitansi hauendi.
Ninawagonga huko huko kwenye mitandao yao

1753942079272.png
 

View: https://vm.tiktok.com/ZNdHnQYsn/

Nyang'au hii issue wameichukulia personal sana 😄,hapa ndio utaona kunyan wanavyotuhitaji,wanaandamana mitandaoni kupinga sheria ya nchi nyingine 😄😄

Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
 
Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Waruhusiwe kivp,halafu watanzania wataruhusiwa kuwa kuwaguide watalii mombasa na kwingineko,hii sheria ibaki hivi hivi,kikubwa na wao waweke sheria kama hiyo,juzi kati nimewakuta kunyan mitandaoni humu wanapigia hesabu ajira za kwenye uranium kule songea
 
Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
wewe ni mpuuzi wa wapi?
 
Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Hatutaji machinga wa kigeni.

Ukiruhusu lundo la machinga, ni nani atalipa kodi??

Tunataka watu wenye mitaji mikubwa.
 
Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
Nimegundua ni sehemu gani imewatrigger hawa mbwa. Ni kwenye ban ya media na tour guide.


Pale hawaruhusiwi kuanzisha vi online media, wala vi podcast......ndo maana unaona backlash imekuwa kubwa online. Maana wameguswa kunano.
 
Waruhusiwe kivp,halafu watanzania wataruhusiwa kuwa kuwaguide watalii mombasa na kwingineko,hii sheria ibaki hivi hivi,kikubwa na wao waweke sheria kama hiyo,juzi kati nimewakuta kunyan mitandaoni humu wanapigia hesabu ajira za kwenye uranium kule songea
As a big brother in this region we have a moral responsibility to look after the minor ones. Kule kukilipuka hata sisi watatupa taabu na kutuvurugia ustaarabu wetu saa nyingine lets focus mbele zaidi.
 
wewe ni mpuuzi wa wapi?
Hao watu wana shida nyingi mkuu tuwaonee huruma rivalry aside. Ukibarikiwa na wewe uwe unasaidia kidogo. Afterall they have been engaged in business within TZ for ages what have we lacked by their presence uchumi si unaendelea kukua na ajira zinatengenezwa kila siku? At times we have to assume a big brother responsibilities huwezi kukwepa hilo ndio maana unaona mataifa makubwa yanatupa loans and grants kila siku ni kwasababu ya ukubwa huo ambao unakuja na responsibilities zake.
 
Back
Top Bottom