Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmesahau mara hii. Tanzania is the leading source of remitansi to Kenya sasa wanaenda ku forfeit remitansi za kutosha ndio maana kilio ni kikubwa. Uchumi bila remitansi hauendi.
Ninawagonga huko huko kwenye mitandao yao

1753942079272.png
 

View: https://vm.tiktok.com/ZNdHnQYsn/

Nyang'au hii issue wameichukulia personal sana 😄,hapa ndio utaona kunyan wanavyotuhitaji,wanaandamana mitandaoni kupinga sheria ya nchi nyingine 😄😄

Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
 
Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
Waruhusiwe kivp,halafu watanzania wataruhusiwa kuwa kuwaguide watalii mombasa na kwingineko,hii sheria ibaki hivi hivi,kikubwa na wao waweke sheria kama hiyo,juzi kati nimewakuta kunyan mitandaoni humu wanapigia hesabu ajira za kwenye uranium kule songea
 
Kusema kweli hii issue wakenya ndio watakao athirika sana ikifuatiwa na wachina. Mnyonge myongeni haki yake mpeni. Gen Z wakiomba radhi kwa mama tutawaruhusu waendelee na kazi za kukusanya remitansi.
wewe ni mpuuzi wa wapi?
 
Back
Top Bottom