Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa 20B madafu money ni pesa?
Tunazungumzia USD 9 million. Nioneshe klabu yoyote hapo Kundustan hata changanya klabu tano zote zi match ufadhili kama huu. Na hapo ni mdhamini mmoja tuu na bado other sponsors
1. Betway USD 9m
2. Kit Maker USD 15m
3. TV rights USD 5m
4. Others Sponsors (MO Cola etc)
5. NBC Premiership
 
Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
1753855867246.jpg
 
Kenya buses za second hand hayakubaliki, ama unadhani Sisi ni maskini kama nyinyi. Alafu hiyo box ya kichina is cheaper than even the buses that are manufactured locally by Master Fabricator and AVA.

View attachment 3424260
Uwe unamtumia akili sass kama ban imekuja juzi tu 2023 , na Hilo ngarangara lenu ni la mwaka 2006 🤣🤣🤣🤣.


Unazid kudhihirisha kuwa ni used tu🤣🤣🤣🤣.
 
Eti we retaliate, wanaretaliate vipi kwa mfano? Hawa wasenge wanajipa umhimu sana.

Ikiwa tu ni wa kwanza kulia wakiguswa.

Fantasy zinawaharibu akili.
Shida Viongozi wao ndio wanajua ukweli wa Kenya. Wanawadanganyia maghorofa ya wageni, GDP ya mchongo na thamani ya sarafu.

Wakenya wanajiona US kumbe ni BATA tu kama Burundi.

Ukanda huu sisi ndio tuna POWER ya Ku-deport, kuwafira, kupiga BAN uhuni wao na hakuna kitu WATAFANYA.

Screenshot_20250730_094757_X.jpg
 
Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
HIzi kazi za Qatar mimi sina imani nazo
 
Broo sijui tunabishania nini wakati treni ya mizigo bado haijaaanza kazi,kinachoendelea sasa ni majaribio tuu, kumbuka bandari inatema mizigo 24/7 sasa ukisema zitakua zinatembea usiku pekee yake ni kama utakua umezilimit
Sidhan kama tunabishana nachomaanisha kwa sasa kosa lidhafanyika kwa dar Hilo halifichiki , ila pamoja na yote bado tu squeeze na kupanga ratiba zetu vizuri tunaweza tembeza tren nyingi kwa wakati mmoja.
Kwa sasa kosa limebaki ni la trc maana bado wanaenda local.
Ntakupa mfano mmoja pale Dodoma kuna entrance mbili.
Moja ni Ile inayotumika sasa na kuna nyingine ambayo unapitia chini kilichotakiwa ni kuingiza kipande Cha reli tu ndani, lakini hola , sasa leo hii useme tutengeneze njia mbili huoni kama tutakuwa tunajiingiza gharama kwa sababu hata hivyo vichache bado hatujafanikiwa kuvitumia to the maximum.
Lait ingekuwa kwa sasa Kila baada ya muda kuna treni imetoka then kunakuwa na jam sawa tungefikiria huko ila bado .
Nia sio kubisha kwangu Mimi naona trc ndo wazembe badala ya kujitwika gharama ya kuongeza njia mbili wangeitumia hizi zilizopo too the fullest.
 
Back
Top Bottom