Hawa majamaa wana Gold medal ya sealioning. 🤣 🤣 🤣
View: https://twitter.com/TBoundBuses/status/1950269404970963411
Nani atapanda ile mikebe ya tetanus?
Hawa majamaa wana Gold medal ya sealioning. 🤣 🤣 🤣
View: https://twitter.com/TBoundBuses/status/1950269404970963411
Asante.Kiwanda cha kuchenjua Uranium radioactove kinakaaje kaka? Hebu nipe ufahamu kidogo!
Kwani hii habari wakenya waimewauma kiasi hiki? Nchi zingine za jirani sijaona wanalia kiasi hiki,yaani ukiingia sasa hivi kwenye social media za kenya 🇰🇪 hii habari ndio inatrend
View: https://x.com/ntvkenya/status/1950474474069119349?t=DfYP_IEqv76rORm-rtsvYA&s=19
Kwani hii habari wakenya waimewauma kiasi hiki? Nchi zingine za jirani sijaona wanalia kiasi hiki,yaani ukiingia sasa hivi kwenye social media za kenya 🇰🇪 hii habari ndio inatrend
View: https://x.com/ntvkenya/status/1950474474069119349?t=DfYP_IEqv76rORm-rtsvYA&s=19
Yani wao ndio wanaisambaza kote duniani. Yani Tanzania inawatumia sana wakenya kusambaza news za Tanzania. Wao wala hawaelewi wanaona wanikomoa Tanzania kumbe wanasambaza news zetu. Hata kwa sasa Dogo Rema ni gumzo kubwa sana huko kenya, Msanii wa Doto Magari 🤣 🤣 🤣 🤣Hiyo habari imekuwa kubwa huko kunyaland kuliko hapa Bongo. Yani hapa wabongo hata hawana mjadala na ni wachache sana wanaojua kuhusu hiyo Sheria mpya.
Ila kunyaland ni front page kwa magazeti yote na social media zote ndio wanachojadili. Yani target alikuwa mchina ila nyang'au ndio anatoa milio kama mwehu.... Hii kweli kichekesho Cha Karne....Tambo zote na kelele za kujitapa kumbe hakuna kitu...
Sijui kama wataweza ku afford Bei ya unga hawa baada ya kupata kibano kwenye kilimo na mazao.
Vehicle owners ndio kina nani wakundustan?
View: https://x.com/GetembeTV/status/1950528586932248892?t=uPanCiS7QzWQzfpTlO2Aug&s=19
Vehicle owners ndio kina nani wakundustan?
View: https://x.com/GetembeTV/status/1950528586932248892?t=uPanCiS7QzWQzfpTlO2Aug&s=19
Vita ya Kabali ya kimyakimya huwa tamu sana , yaan mpaka sasa sijasikia kiongozi yoyote wa serikali aliyetoa ufafanuz , hivyo ndo inavyotakiwa na kwa yule atayetoa ufafanuzi kitumbulio kiwe kinamhusuTena wafanye kama wanajikuna tuu au waseme suuu.
😂😂😂 Labda watatumia mbao za mirungiHaha kwamba watazuia magari yakitanzania 🤣🤣🤣, watakosa mpaka mbao za kuezekea
Imagine eti unapata watalii wengi kutoka Burundi na Kenya ,kwa pesa ipi wanayoweza leta tz😂😂😂 Labda watatumia mbao za mirungi