Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KDK ni 2014? You must be really empty upwards.
Pole mwaka huu mtapusuka.
Hyundai Universe: Manufactured by Hyundai Motor Company, the Universe is a heavy-duty luxury coach introduced in 2006.
Gari ilinunuliwa second hand hiyo🤣🤣🤣🤣.
Hamnaga akili
Hata hiyo 2014 nilikuwa nimewapendelea ili msionekane wachovu.

Yutong F14

Introduced: March 15, 2025, at a launch event in Tanzania (Dar es Salaam) where Yutong unveiled the front-engine D14 (ZK6139D) coach
 
Wakundustan kwa kujipa umuhimu hapo hapo wanajidhalilisha, Ushaambiwa tumeban vijibiashara uchwara ambavyo vinatakiwa vifanywe na wazawa . Mnaosha vinywa na tunajifunza ndio nyie wapiga debe humu nchini😂, Mkafie mbali huko ! Kama mna udole, invest kitu kionekane, you are welcome.
Watu wenye GDP kubwa na matajiri wanalilia vibiashara vya machinga
 
Cha dar wametaka wenyewe mfano kuanzia sa mbili mpaka tatu kuna treni mbili zinaondoka na moja kuingia kwa interval ya karibia nusu saa tu baada ya hapo Kuna ya kuingia saa Tano then mpaka jion wakati wangeweza panga ratiba hata kwa interval ya masaa mawili tu .
Broo sijui tunabishania nini wakati treni ya mizigo bado haijaaanza kazi,kinachoendelea sasa ni majaribio tuu, kumbuka bandari inatema mizigo 24/7 sasa ukisema zitakua zinatembea usiku pekee yake ni kama utakua umezilimit
 
Broo sijui tunabishania nini wakati treni ya mizigo bado haijaaanza kazi,kinachoendelea sasa ni majaribio tuu, kumbuka bandari inatema mizigo 24/7 sasa ukisema zitakua zinatembea usiku pekee yake ni kama utakua umezilimit
watu wajuaji humu ndani!
 
Sisi huwa hatulii mitandaoni bali tunachukua hatua haya na nyinyi igeni basi kama sio wenu hao

View: https://x.com/MwangoCapital/status/1950186786585756024?t=NtV3Nx10QfKx3hjvhdzxWg&s=19

Sisi tunafanya mambo yetu ya ndani kwaajili yetu sasa mbona milio inatokea nje ya nchi? Na nyie fanyeni ya kwenu kila mtu na nchi yake kuliliana ya nini sasa? Is our domestic policy affecting our neighbours? kweli domestic policy ya Mexico inaweza ikaathiri USA Eti wamarekani wanalilia kujihusisha na biashara ndogondogo Mexico😁
 
Tofauti ni maturity between hizi nchi mbili... nyinyi huwa mnaongozwa na emotions na utoto
Hata Japan a foreigner haruhusiwi kununu gari directly kwa raia lazima umtafute mjapan anunue on your behalf ndio akutumie kwenu na yeye anapata commission kidogo. Hiyo ndio sera ya kuinua wananchi kimaisha iko kotekote hata nchi za first world wana sheria kama hizo foreigner hawezi kufanya biashara kiholela hivyo.
 
Pole mwaka huu mtapusuka.
Hyundai Universe: Manufactured by Hyundai Motor Company, the Universe is a heavy-duty luxury coach introduced in 2006.
Gari ilinunuliwa second hand hiyo🤣🤣🤣🤣.
Hamnaga akili
Hata hiyo 2014 nilikuwa nimewapendelea ili msionekane wachovu.

Yutong F14

Introduced: March 15, 2025, at a launch event in Tanzania (Dar es Salaam) where Yutong unveiled the front-engine D14 (ZK6139D) coach
Kenya buses za second hand hayakubaliki, ama unadhani Sisi ni maskini kama nyinyi. Alafu hiyo box ya kichina is cheaper than even the buses that are manufactured locally by Master Fabricator and AVA.

1000030276.jpg
 

Vodacom Tanzania acquires Smile for $27.4 million to support 4G and 5G rollout plans​


Vodacom-logo.jpeg








Share this story
Published:
April 16, 2024
Subject(s): Telecoms

The news:​

  • Vodacom Tanzania PLC (VTPLC), Tanzania’s leading telecom operator, has completed the debt-free, cash-free acquisition of Smile Communication Tanzania Limited, a small rival telecom operator, for TZS 68.8 billion ($27.4 million), to support its plans to launch competitive 4G and 5G network services.
  • The agreement, signed by Vodacom Tanzania, Smile Telecoms Holdings Limited, and Smile Telecoms IP Limited (jointly Smile), will see Vodacom acquire 100% of Smile’s issued share capital at TZS 0.24144 per ordinary share.
  • This acquisition, completed on April 3, 2024, comes just two years after Al Nahla Group, a Saudi investment fund, spent more than $235 million on a rescue deal.
In its public announcement, Vodacom reiterated that the acquisition is a strategic move to strengthen its network infrastructure and provide satisfactory customer service. The deal is expected to improve Vodacom’s mobile coverage and capacity.

The agreement grants Vodacom access to Smile’s 800MHz and mid-band spectrum. Additionally, Vodacom will use Smile’s 4G LTE network.

Vodacom will now consolidate its presence in Pwani, Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, and Arusha, as its 4G network coverage expands.

Furthermore, Vodacom plans to add a sizable number of new customers to its growing market share. As of March 2023, Smile had only 15,171 subscribers, indicating a 0.025% market share. Consequently, the new acquisition will do little to increase Vodacom’s market share.

Nigerians can now get payment cards without having a bank account. Loma Bank's GoCard gives you an prepaid card with its own dedicated account number.

According to the most recent data from 2023, Vodacom led Tanzania’s telecom market with 30% of total subscriptions (19.1 million customers as of December 2023), followed by Tigo (28%), Airtel (27%), Halotel (12%), and TTCL (3%).

Chart: Telecom subscriptions in Tanzania more than doubled within a decade
Find more insights at Intelpoint.

In May 2013, Smile, which will now operate under the umbrella of VTPLC, introduced its 4G LTE mobile broadband service in Tanzania. 10 years later, the company had grown its customer base to 13,840 mobile subscribers.



The new spectrum from Smile will add to the frequencies that Vodacom acquired in Tanzania’s auction in October 2022, where the company splurged $63.2 million to secure access to frequencies in 700MHz, 2.3GHz, and 2.6 GHz.

In a 2018 auction, Vodacom spent $10 million for rights to 20MHz in the 700MHz band. Vodacom’s spectrum holdings also include 900MHz, 1800MHz, 2100MHz, and 3500MHz.

According to its Annual Integrated Report for the year ending March 31, 2023, the telecom company deploys most of its spectrum for mobile services, while prioritising 2300MHz and 3500MHz for fixed 4G and 5G services.

Kampuni ya muingereza
 
Sijui wanachelewa wapi hawa jamaa kufanya hivyo kiukweli , Tanga port inayo potential kubwa mno ya kufanya mapinduzi na Kuwaliza hawa wehu wa Kunyarenda.
Tanga Port can efficiently serve Uganda, Rwanda, Burundi and Eastern DRC. Dar Port ibaki na Zambia, Malawi, DRC Lumbumbashi na other SADC countries.
 
Back
Top Bottom