Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Propaganda zako jiwekee, KQ has been donating aircrafts and aircrafts parts to education instituitions. Wewe unaweza peana mali sio yako? Air Tangagiza imewai peana hata mgrudumu?

Kenya Airways Donates Decommissioned Boeing 737-700 NG to Mang'u High  School for Aviation Training » Capital News'u High  School for Aviation Training » Capital News
Right off plane sio Ukunduni mnahitaji antidumping laws! Mangu High school inahitaji fligjht simulators n real aircrafts!
 
We can still cash in on our 'dead airline'. It's like finding a hidden treasure in the attic! Can you do the same?
Even after cashing in you will still go at a loss cause you bought second hand planes. Combine that with the tear and wear and you are done.
 
Hapa bila kuhamishia kwala na Dodoma hali itakuwa mbaya sana kwa miezi ijayo.
Bandari kavu zilipendeza ziende Dodoma (icds) maana pale kuna ringroad ambayo imekwisha kamilika . Hapa mjini wangeachiwa malori ya mafuta tu.
Iko bandari kavu Isaka ni karibu zaidi na Eastern DRC, Rwanda, Burundi na Uganda
 
Our major ports in Nairobi and Mombasa have special access roads for trucks to prevent traffic disruptions. Sisi sio bongolala kama nyinyi.
Acha ujinga wewe. Dar Port is right at the City Centre hiyo ndio shida. Ni kama uweke mombasa port hapo Nairobi Haile Selassie Avenue halafu ziingie lorry 1000 za transit na zaidi ya 1000 for town trip shughuli yake itakuwaje hapo?
 
Ibara ya 41 (1) inaongelea kuhusu bunge kuvunjwa kabla ya majina kuwasilishwa, sasa jina moja lilishatajwa ili baadae lije kupelekwa kwenye tume ya uchaguzi.

Makubaliano yepi wakati hakukuwa na mchakato au kinyanga'nyiro cha kumtafuta mgombea? Kikwete aliposema tumekubaliana, alikubaliana na nani wakati kibajaji alihoji?
Hapa sikuelewi. Unalalamikia mchakato wa CCM au unalalamika katiba imevunjwa?

Sioni point yako hapa kaka.
Soma Katiba ya CCM vizuri uielewe. Chombo chenye mamlaka ya kufanya maamuzi ndani ya CCM ni mkutano mkuu kwa kupiga kura. CCM imefanya hivyo miaka na miaka.

Pili: Chombo kilichokabidhiwa kutangaza wagombea wa urais ni INEC kwamujibu wa sheria.

Mpaka sasa INEC haijatangaza mgombea yeyote. Sijaelewa wewe unalalamikia nini hapa. Sijui kama upo na uelewa wa Siasa na Sheria.

Kisheria CCM haijvunja kifungu chochote, ilichofanya ni kutekeleza mambo yake ya kisiasa kwa mujibu wa katiba ya CCM.

USIPOELEWA NA HAPA BASI
 
Ni wapi nimesema special trucks? Learn to focus. Mombasa port is two times busier than your port. Mombasa port is efficient and has less traffic disruptions due to proper infrastructure and planning. Mombasa port is connected to A109 and A14 via the Dongo Kundu Bypass/Southern Bypass, which has an access road into the port. Unatuambia maneno mengi na barabara zenu zimejaa bottlenecks, karibu kila pahali ni zebra crossing. 🤣 🤣 🤣

New Mombasa highway to assist tourists | Southern & East African Tourism  Update
Dongo Kundu bypass gets Sh8.4b share of budget allocation - People Daily
Hapo Naipori tuu mmeshindwa kujenga BRT due to lack of funds and space restriction ndio mgeweza kujenga special lanes for lorries?
 
Kwani Gwajima anakanisa moja? Na Kama alikosea si ashtakiwe kwa mujibu wa sheria, hao waumini wake wamekosea nini, kuzuiwa kuabudu?

Wamekuwa wakipewa hifadhi kwenye makanisa mbali mbali kama KKKT nako wamezuiwa, sasa Kanisa katoliki limewapa hifadhi, nako watazuiwa kuabudu? Huoni inaleta presedence (uhalali) ya mtifuano wa kiimani baadae?
Kinachokusumbua brother ni emotions zako. Gwajima na kanisa lake tangu miaka ya 2000s anatuambia atamfufua Amina Chifupa umewahi kuliongelea hilo?

Pili Sheria ipo ya usajili wa Taasisi za kidini chini ya wizara ya mambo ya ndani. Na mwenye mamlaka katika taasisi hizo ni waziri wa wizara ya mambo ya ndani.

Kama taasisi inaona imeonewa kwanza lazima okate rufaa kwenda kwa waziri. Kama hawataridhika na uamuzi huo wanatakiwa kufungua kesi mahakamani.

Brother nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria siyo huruma.

Unatakiwa uwashauri viongozi wa kanisa la gwajima wafuate utaratibu siyo kuleta mashindano dhidi ya mamlaka. Always ukishindana na mamlaka utaumia.


HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA
 
Hapa sikuelewi. Unalalamikia mchakato wa CCM au unalalamika katiba imevunjwa?

Sioni point yako hapa kaka.
Soma Katiba ya CCM vizuri uielewe. Chombo chenye mamlaka ya kufanya maamuzi ndani ya CCM ni mkutano mkuu kwa kupiga kura. CCM imefanya hivyo miaka na miaka.

Pili: Chombo kilichokabidhiwa kutangaza wagombea wa urais ni INEC kwamujibu wa sheria.

Mpaka sasa INEC haijatangaza mgombea yeyote. Sijaelewa wewe unalalamikia nini hapa. Sijui kama upo na uelewa wa Siasa na Sheria.

Kisheria CCM haijvunja kifungu chochote, ilichofanya ni kutekeleza mambo yake ya kisiasa kwa mujibu wa katiba ya CCM.

USIPOELEWA NA HAPA BASI
Kweli Mkutano mkuu una mamlaka ya mwisho kuteua mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM. Ila kabla ya mkutano mkuu kukaa huwa kuna vikao halali vya chama hukaa kwanza kuchakata majina ya wagombea urais kupitia mchakato ulioainishwa kwenye katiba ya CCM. Wagombea kuchukua fomu za urais na kutimiza matakwa kabla ya kurudisha fomu then vikao halali vya chama hukaa kupitia majina na kuchakata kisha majina kupelekwa kwenye mkutano mkuu kwa kupigiwa kura.
kiufupi mkutano mkuu hupelekewa agenda ya mchakato wa uchaguzi wa wagombea uraisi ila kilichofanyika ni usurping of mandates ya vikao halali vya chini katika mchakato mzima.
 
Hili dongo linahusu chama chetu toka kwa previous US ambassador to Tanzania 😟
 
Ni wapi nimesema special trucks? Learn to focus. Mombasa port is two times busier than your port. Mombasa port is efficient and has less traffic disruptions due to proper infrastructure and planning. Mombasa port is connected to A109 and A14 via the Dongo Kundu Bypass/Southern Bypass, which has an access road into the port. Unatuambia maneno mengi na barabara zenu zimejaa bottlenecks, karibu kila pahali ni zebra crossing. 🤣 🤣 🤣

New Mombasa highway to assist tourists | Southern & East African Tourism  Update
Dongo Kundu bypass gets Sh8.4b share of budget allocation - People Daily
Two times busier? Can u prove that? How many people r in Mombasa n Nairobi cities? FYI Mombasa+Nairobi<Dar!
 
Hapa sikuelewi. Unalalamikia mchakato wa CCM au unalalamika katiba imevunjwa?

Sioni point yako hapa kaka.
Soma Katiba ya CCM vizuri uielewe. Chombo chenye mamlaka ya kufanya maamuzi ndani ya CCM ni mkutano mkuu kwa kupiga kura. CCM imefanya hivyo miaka na miaka.

Pili: Chombo kilichokabidhiwa kutangaza wagombea wa urais ni INEC kwamujibu wa sheria.

Mpaka sasa INEC haijatangaza mgombea yeyote. Sijaelewa wewe unalalamikia nini hapa. Sijui kama upo na uelewa wa Siasa na Sheria.

Kisheria CCM haijvunja kifungu chochote, ilichofanya ni kutekeleza mambo yake ya kisiasa kwa mujibu wa katiba ya CCM.

USIPOELEWA NA HAPA BASI
coodip1 hapo juu ameelezea vizuri kile nilichotaka kusema, kuwa utaratibu wa mwanzo haukufuatwa.
 
Back
Top Bottom