Kazi yako huwa ni kukaza fuvu tu, hujawahi kuelewa.80% of Dar si inafanana hivyo. The most unplanned city in Africa.
Kazi yako huwa ni kukaza fuvu tu, hujawahi kuelewa.80% of Dar si inafanana hivyo. The most unplanned city in Africa.
Sijui wanachelewa wapi hawa jamaa kufanya hivyo kiukweli , Tanga port inayo potential kubwa mno ya kufanya mapinduzi na Kuwaliza hawa wehu wa Kunyarenda.Hapa wakiongeza another 2 berths say 800-1000m kuna mtu atalia!
Ujirani mwema jamani tunafinya kidogokidogo .Sijui wanachelewa wapi hawa jamaa kufanya hivyo kiukweli , Tanga port inayo potential kubwa mno ya kufanya mapinduzi na Kuwaliza hawa wehu wa Kunyarenda.
Mwakani Tutaanza kupata pesa za EACOP.Sijui wanachelewa wapi hawa jamaa kufanya hivyo kiukweli , Tanga port inayo potential kubwa mno ya kufanya mapinduzi na Kuwaliza hawa wehu wa Kunyarenda.
Ni wachina walikua targeted lakini milio inatokea Kunyaland 😂😂😂
View: https://x.com/GideonKipyator1/status/1950200520515154412?t=X3RsydA5TNeKSgnFUCo3lQ&s=19
Hupendi kusikia ukweli.Kazi yako huwa ni kukaza fuvu tu, hujawahi kuelewa.
Kubomoa nyumba za masikini sio tatizo tatizo kama hawajaboresha maisha yao kupitia hiyo development projectEthiopia wana matatizo sana ila wanayaficha mbele ya wageni.
Walianzisha ADDIS ABABA DEVELOPMENT CORRIDOR PROJECT, wakapamba sana Addis Ababa na wamevunja nyumba zote za masikini.
Ikitokea Slum tu wanafukuzwa. Kuna makabila yanalalamika yamefukuzwa hapo town na kupewa ambao siyo wenyeji.
Huko Tigray kuna vita ya kikabila.
Watu karibu 200M lakini Addis ababa watu wachache.
View attachment 3423011
Napenda vile huwa mnapenda kujiliwaza hapa,Ethiopia wana matatizo sana ila wanayaficha mbele ya wageni.
Walianzisha ADDIS ABABA DEVELOPMENT CORRIDOR PROJECT, wakapamba sana Addis Ababa na wamevunja nyumba zote za masikini.
Ikitokea Slum tu wanafukuzwa. Kuna makabila yanalalamika yamefukuzwa hapo town na kupewa ambao siyo wenyeji.
Huko Tigray kuna vita ya kikabila.
Watu karibu 200M lakini Addis ababa watu wachache.
View attachment 3423011
Evidence ikiletwa bado mtasema ni ya kwa makaratasi. Mmeumbwa tu hivo, wabishiBila evidence sisi tutaamini vipi? Anybody anaweza akaweka picha yoyote na kusema ni Kenya bahati nzuri tunawafahamu vizuri nyie. Out of 10 words we only take one na kusonga.
Wanalamika kuhusu omba omba, vinyozi na wauza chai kutoka Burundi na Rwanda lakini serikali yao haitungi sheria ya kuwathibiti. 😂😂😂
View: https://x.com/magwaz3/status/1949714545716417005?s=46
View: https://x.com/therealantoh/status/1948797428238356893?s=46
80% of Dar si inafanana hivyo. The most unplanned city in Africa.
Hivi vidata uchwara ndio vinawapoteza.Napenda vile huwa mnapenda kujiliwaza hapa, View attachment 3423543
Evidence ikiletwa bado mtasema ni ya kwa makaratasi. Mmeumbwa tu hivo, wabishi
Who is World data Lab?Napenda vile huwa mnapenda kujiliwaza hapa, View attachment 3423543
Hivi Mabasi ya Wachezaji CHAN Ukunduni yanakaaje?
View: https://x.com/TBoundBuses/status/1950237952761835851
Acha kujipa umuhimu, marubani wa. Tz especially ATCL wanaenda Germany,France or UK for training. I have few friends ambao ni pilots including one late Kenyan captain called Chibole.RIP died so young)Wacha hasira we mzee, hamna facilities, shida iko wapi mkitumia za Kenya airways kujifunza.🤣🤣
Kwa hivyo unajua marubani wote huko bongoslum. Hua wanaregister kwako kabla waende training.Acha kujipa umuhimu, marubani wa. Tz especially ATCL wanaenda Germany,France or UK for training. I have few friends ambao ni pilots including one late Kenyan captain called Chibole.RIP died so young)