Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ethiopia wana matatizo sana ila wanayaficha mbele ya wageni.

Walianzisha ADDIS ABABA DEVELOPMENT CORRIDOR PROJECT, wakapamba sana Addis Ababa na wamevunja nyumba zote za masikini.

Ikitokea Slum tu wanafukuzwa. Kuna makabila yanalalamika yamefukuzwa hapo town na kupewa ambao siyo wenyeji.

Huko Tigray kuna vita ya kikabila.

Watu karibu 200M lakini Addis ababa watu wachache.

View attachment 3423011
Kubomoa nyumba za masikini sio tatizo tatizo kama hawajaboresha maisha yao kupitia hiyo development project
 
Ethiopia wana matatizo sana ila wanayaficha mbele ya wageni.

Walianzisha ADDIS ABABA DEVELOPMENT CORRIDOR PROJECT, wakapamba sana Addis Ababa na wamevunja nyumba zote za masikini.

Ikitokea Slum tu wanafukuzwa. Kuna makabila yanalalamika yamefukuzwa hapo town na kupewa ambao siyo wenyeji.

Huko Tigray kuna vita ya kikabila.

Watu karibu 200M lakini Addis ababa watu wachache.

View attachment 3423011
Napenda vile huwa mnapenda kujiliwaza hapa,
1000058469.png
 
Bila evidence sisi tutaamini vipi? Anybody anaweza akaweka picha yoyote na kusema ni Kenya bahati nzuri tunawafahamu vizuri nyie. Out of 10 words we only take one na kusonga.
Evidence ikiletwa bado mtasema ni ya kwa makaratasi. Mmeumbwa tu hivo, wabishi
 
Acha kujipa umuhimu, marubani wa. Tz especially ATCL wanaenda Germany,France or UK for training. I have few friends ambao ni pilots including one late Kenyan captain called Chibole.RIP died so young)
Kwa hivyo unajua marubani wote huko bongoslum. Hua wanaregister kwako kabla waende training.
 
Back
Top Bottom