Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida Viongozi wao ndio wanajua ukweli wa Kenya. Wanawadanganyia maghorofa ya wageni, GDP ya mchongo na thamani ya sarafu.

Wakenya wanajiona US kumbe ni BATA tu kama Burundi.

Ukanda huu sisi ndio tuna POWER ya Ku-deport, kuwafira, kupiga BAN uhuni wao na hakuna kitu WATAFANYA.

View attachment 3424419
Muungano wa kifala EAC, SADC ambao members wote wanaangalia kuchuma Tz tu na sisi hatuna cha kuchuma nchi yao hapana, tuishie kwa mambo mengine.
 

Somalia wame fufua shirika lao la ndege, soon utasikia hilo taifa la wenye njaa na wivu wamezuia ndege zao kutua kwao huku wao wakitaka zao ziende kwao. 😂😂😂
 
Hizi ni next levels. Bars is higher
1000132388.jpg
 
Shida Viongozi wao ndio wanajua ukweli wa Kenya. Wanawadanganyia maghorofa ya wageni, GDP ya mchongo na thamani ya sarafu.

Wakenya wanajiona US kumbe ni BATA tu kama Burundi.

Ukanda huu sisi ndio tuna POWER ya Ku-deport, kuwafira, kupiga BAN uhuni wao na hakuna kitu WATAFANYA.

View attachment 3424419
Hivi van za TZ uingia masai mara au amboseli,na kuna m TZ tour guide kule mombasa kweli?
 
Back
Top Bottom