Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Watu huwa hawaelewi kuwa hili jambo linaweza kuwakuta ndugu zao hapo mbeleniHuwa na shangaa baadhi yetu hapa kufumbia macho uonevu huu wa wazi, na wengine hata kuutetea? Yaani wanafungia makanisa, hata waumini wakienda kwingine wanawafata, huo sasa ni ushetani.