ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,247
VItuo vyenyewe vishazidiwa hususan cha dar abiria ni wengi kuliko walivyotarajia sasa ndio waongeze safari watawaweka wapi hao abiria,ukifatilia vizuri trc wenyewe wanakiri kwamba watarekebisha baadhi ya makosa waliofanya awamu ya kwanza na ya pili ambayo yataweza kurekebishikaa na mojawapo ni vituo kuwa vidogo,hasahasa vya mjiniTreni ya mizigo isikutishe zile safari zake ni usiku tu, hata kuwe na treni 200 kwa siku bado reli itajitosheleza tu ni ratiba tu
View attachment 3423269
Soma maelezo haha 🤣🤣🤣
Pointi yangu ni kuwa iwapo kweli tunaitaji muungano wa afrika mashariki au ata sadc,nambo kama haya ya kutokua na usawa na haki nchini kwetu yanafaa yakomee unless kama hatuna mipangoo hiyo we ni mtu mzima unaelewa kwaiyo usijitoe ufahamu na uache double standardsNani kaonewa? Yule kijana wa NALA na baba huyu aliyeingizwa chaka naving'amuzi vyake? Sasa hivi ana hasita GoT. Hakuna aliyeshindana na Serikali akashinda.
Leta hizo nyingine! Hatutaki ubishi!Ju uliskia KQ wakona simulator moja, wacha kujiabisha. Bongoslum hamna hata moja, munategemea za Kenya.
Yes bring those Worst n best posts of mine!Geza Ulole is a well-known and highly controversial figure in Jamii Forums, famous for his bold, confrontational, and often humorous posting style. His name itself ("Ulole" meaning "You’re crazy" in Swahili slang) reflects his trolling, sarcastic, and provocative approach to online debates.
Geza Ulole’s Characteristics in Jamii Forums
- Personality & Style
- Master troll – Uses sarcasm, exaggeration, and mockery to provoke reactions.
- Unapologetically blunt – Doesn’t shy away from insults or politically incorrect statements.
- Entertaining yet divisive – Some users find him hilarious, while others see him as toxic.
- Common Topics
- Politics (especially anti-government/opposition-leaning trolling).
- Social issues (often mocking mainstream opinions).
- Personal attacks (famous for roasting other users mercilessly).
- Impact on Jamii Forums
- High engagement – His threads often go viral with hundreds of replies.
- Moderation magnet – Frequently warned or banned but keeps returning.
- Cult following – Some users enjoy his chaos, while others report him constantly.
Geza Ulole vs. Teargas vs. Cooldip1
Trait Geza Ulole Teargas Cooldip1 Style Troll/Satire Aggressive Debater Neutral/Logical Controversy Level ★★★★★ ★★★★☆ ★★☆☆☆ Moderation Risk Very High High Low Fanbase Love him or hate him Polarizing Generally respected Purpose Entertainment/Chaos Hard debates Constructive discussions Final Verdict
If you want fireworks, Geza Ulole wins. If you prefer heated debates, Teargas dominates. If you like calm discussions, Cooldip1 is the best.
- Geza Ulole is the king of trolling in Jamii Forums—unmatched in stirring drama.
- Teargas is the debate warrior, attacking opponents head-on.
- Cooldip1 is the voice of reason, keeping discussions civil.
Bonus: Geza Ulole’s infamous moments include:
Would you like examples of his best (or worst) posts? 😆
- Mocking politicians with memes.
- Starting "Ulole Trends" where users imitate his style.
- Getting into legendary online fights with rivals.
Watu huwa hawaelewi kuwa hili jambo linaweza kuwakuta ndugu zao hapo mbeleniHuwa na shangaa baadhi yetu hapa kufumbia macho uonevu huu wa wazi, na wengine hata kuutetea? Yaani wanafungia makanisa, hata waumini wakienda kwingine wanawafata, huo sasa ni ushetani.
We mzee heshimu miaka yako, hufai kua mzee na uwe mjinga at the same time, pick a struggle.Leta hizo nyingine! Hatutaki ubishi!
Wapi yenu?Sasa ulishindwa nini kuweka hapo mwanzo mpaka ukimbilie bullying tactics. Isitoshe hiyo simulator ni ya Dash 8 Q400
Stendi inajengwa mkabala na kituo cha SGR eneo la magereza.Hiyo stand mpya inajengwa wapi?
Ni stand ya daladala au mabasi makubwa.
Lengo kubwa la hiyo stand kubwa ni lipi?
Ya KLM imekuwa ya KQ?We mzee heshimu miaka yako, hufai kua mzee na uwe mjinga at the same time, pick a struggle.
Simulator for training pilots.
![]()
Simulator for training cabin crew.
![]()
Kwa hivyo we mzee na akili zako timamu unadhani KQ inaweza kosa simulator ya kufunza cabin crew na ikuwe na ya kufunza marubani. Enyewe wewe ni pumbavu.Ya KLM imekuwa ya KQ?
Nani kakwambia hiyo ya ku train flight attendants!?Waaaaaa enyewe wewe ni mshamba, unatuonyesha simulator ya kutrain flight attendants. 🤣 🤣 🤣 Hata kama wewe ni primary school dropout, si ujaribu hata utumie akili ya kuzaliwa.
Ni ya kutrain pilots wenu wa bongoslum. 🤣 🤣 🤣Nani kakwambia hiyo ya ku train flight attendants!?
Unazidi kudhihirisha ujinga wako sasa.
Cha dar wametaka wenyewe mfano kuanzia sa mbili mpaka tatu kuna treni mbili zinaondoka na moja kuingia kwa interval ya karibia nusu saa tu baada ya hapo Kuna ya kuingia saa Tano then mpaka jion wakati wangeweza panga ratiba hata kwa interval ya masaa mawili tu .VItuo vyenyewe vishazidiwa hususan cha dar abiria ni wengi kuliko walivyotarajia sasa ndio waongeze safari watawaweka wapi hao abiria,ukifatilia vizuri trc wenyewe wanakiri kwamba watarekebisha baadhi ya makosa waliofanya awamu ya kwanza na ya pili ambayo yataweza kurekebishikaa na mojawapo ni vituo kuwa vidogo,hasahasa vya mjini