Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na umegundua pia Tanzania tu ndo nchi imejaza omba omba kila mahali na wanaongoza kwa umaskini ukanda huu?
Hao ni Warundi, watimueni.

Mnabonga sana.

Sisi tunatimua kila siku.

Tukikukamata tunatimua.

Na tumetunga sheria rasmi ya kuwashughulikia nyie wahuni mnaojifanya mnakuja kulima TZ,

Na tukiwakamata, tunawafira sasa hivi😂😂

20250729_171930.jpg
 
Hiyo kwa Dar es Salaam ndio Kibera sasa.

Eneo la Vingunguti, Airport, Kipawa, na Banana ni maeneo mostly wanakaa COMMON Mwananchi, industrial areas na godowns na TPDF Airwing.

Na hapo watu ni nyumba zao hizo.
80% of Dar si inafanana hivyo. The most unplanned city in Africa.
 
Wanalamika kuhusu omba omba, vinyozi na wauza chai kutoka Burundi na Rwanda lakini serikali yao haitungi sheria ya kuwathibiti. 😂😂😂

View: https://x.com/magwaz3/status/1949714545716417005?s=46

View: https://x.com/therealantoh/status/1948797428238356893?s=46

Wakasema watafukkuza ombaomba wakihisi sisi ni kama wao , wawafukuze tuone nan ataaibika..majority ya hao ombaomba ni watu wao wanaojificha kwa mgongo wa watz.
Yaan hii vita nimeipenda sana .
Tukimaliza tuje na wahudumu kwenye hoteli za kitalii🤣🤣🤣🤣
 
Ethiopia wana matatizo sana ila wanayaficha mbele ya wageni.

Walianzisha ADDIS ABABA DEVELOPMENT CORRIDOR PROJECT, wakapamba sana Addis Ababa na wamevunja nyumba zote za masikini.

Ikitokea Slum tu wanafukuzwa. Kuna makabila yanalalamika yamefukuzwa hapo town na kupewa ambao siyo wenyeji.

Huko Tigray kuna vita ya kikabila.

Watu karibu 200M lakini Addis ababa watu wachache.

View attachment 3423011
Kubomoa nyumba za masikini sio tatizo tatizo kama hawajaboresha maisha yao kupitia hiyo development project
 
Back
Top Bottom