Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hajui kama hivyo ni vile vipimo rare kufanyika.
Ndio maana hata TZ tulipozinunua tumelenga zaidi kikanda yani hospitali za kanda ili zihudumie kikanda.
Tumelenga idadi kulingana na mahitaji.
Yeye anadhani hivyo vipimo ni kama bioline ama unigold unavitumia mara kwa mara ama kama vipimo vya malaria rapid test kits.
Kwa hivyo 14 MRI na 40 CT scan pekee zimetosha nchi nzima, na ulisema wewe ni clinical officer. You should really feel ashamed of yourself.
 
This is my lifestyle since I was a kid at school. đŸ˜„đŸ˜„ wew ulilipiwa Ada na kanisa đŸ¤£đŸ¤£đŸ¤£ I know you better.
Obviously hiyo lazima Tu ikuwe lifestyle yako Mr Baboonman. Level yako ni 50 bob na ndio maana unakunywa pombe cheap.
 
Nani anarekebisha??

Wanarekebisha kuwaje?

Hivi unaijua nguvu ya Socialism vs Capitalism?

Kenya ni nchi ya watu, ambao hawawezi kuruhusu ibadilishe uelekeo hata kidogo. Itakuwa sawa na kudai Uhuru mara ya pili.

Inaona kilichowakuta Zimbabwe walipopora Wazungu ardhi??

Kenya kuna settlers wanamiliki ardhi kama karibu Laikipia yote.

Juzi, Rutto amekwenda China kutafuta mikopo, amejadiliwa mpaka kwenye bunge la Marekani kuwa anataka kubadilisha uelekeo

Haya mambo siyo kusema, yalishaota mizizi. Kuyabadilisha ni kujikana na sidhani kama kuna mtu anataka kufanya.
Kaka usikariri hata east Germany ilikua nchi ya kijamaa ila miaka ya 90 waliamua kuweka tofauti zao pembeni na kuungana ata hapa EA mashariki ilo jambo linawezekana kwanini lishindikane japo itachukua mda
 
Mkuu neno njaa hapo ni pana sana, na ndiyo shida yetu. Kule ulaya unakuta kijana mpk anakuwa mtu wa makamo hategemewi na yeyote na bado anapewa support kubwa toka kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, ni rahisi hawa watu kuungana kwasababu automatic kukiwa hakuna njaa kunakuwa na love, peace, harmony, fidelity, solidarity etc. In contrary, Africa unakuta ukoo mzima katoboa mmoja, ndugu wote wanamuangalia yeye, huyo hata awe tajiri bado anakuwa na mentality ile ile ya njaa ambayo baadaye inapelekea tamaa ambayo ndiyo inawatafuna mpaka viongozi wetu. Hatuwezi kuungana mpaka njaa iishe.
Au sio kama yanayoendelea sasa nchini wahuni wanataka kufunika kombe waendeleze matakwa yao
 
Fikra za viongozi wa Africa ni za kipuuzi. Nyerere set us on a good path as a nation. Nakumbuka wakati huo Israel ilikuwa ikitusaidia na bado tukawatambua Palestina na kuwapa office Dar waisrael wakakasirika, pia South Korea, West Germany na Morocco walikasirika tulipowatambua mahasimu wao North Korea, East Germany na Sahara (POLISARIO) pamoja na umasikini wetu na uchanga kama taifa tukawaambia hamuwezi kutuchagulia marafiki kamwe kama vipi songa na tukafunga uhusiano wa kibalozi na nchi hizo zote. Ndio maana wakati ule passport ya TZ inaandikwa you can visit all countries in the world except South Korea, West Germany and Israel lakini baada ya muda wamerudi wenyewe baada ya kuona hatuyumbishwi na yeyote na pia tulikuwa founders wa Non Aligned Movement iliyoanzishwa na kina Nyerere Tanzania, Gamal Nasser Egypt na Jawarhal Nehru India. Pia Makaburu tukawa tunawapiga pini pamoja na USA kutushinikiza tuwatambue Makaburu tulikataa katakata ila jirani wa kaskazini kila anachooambiwa anatekeleza hana maamuzi yake mwenyewe.
Hatuna viongozi sasa ni machawa tuu wasikua na misimamo wewe waweke teuzi mbele tuu watakusujudia
 
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Just imagine kama jpm asingeipiga chini fastjet japo halikosea ila alifanya maamuzi maagumu just imagine wawekezaji wa njee wangekuwa wanapiga hii fedha zote wanaenda kuendeleza nchi yao ila sasa air Tanzania inazidi kukua siku hadi siku 10 years ago ilikua haina ruti ata moja njee ya bongo,jambo kwa sasa inaendshwa kwa hasara ila hela yote inayopatikana inabakia hapahapa
 
Back
Top Bottom