Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20250718_125002.jpg
 
Wee nawe una ubishi wa kijinga. Yani umesema kitu wazi hadi unapewa quote ya post yenyewe ila unabisha kisha unajaribu kubadili mjadala. Hata ni vizuri huyo NairobiWalker amekataa kuvutwa na huo upuzi wako wa 'nionyeshe nchi ya $250B bla bla' maanake anajua unajaribu kukwepa usionekane mjinga wakati kila mtu ashauona ujinga wako. Ni wazi hata akikupea hizo nchi utabadilisha mjadala na kuuvuta kwenye upuzi mwengine. Na bado unajiona mjanja sana kisa bongolala wenzako wanalike hizo post zako za ufedhule.
Huyo achana naye. Ng'ombe ni ng'ombe tu. 🤣 🤣
 

Hatufungamani na upande wowote lakini kaka.
Hata hao North huwa tunawatumia kwenye maboresho ya silaha ikiwemo kufanya upgrading japo serikali huwa inakataa kuwa hatushirikiani nao.
 

Uzuri wanajua misimamo yetu hatuchaguliwi marafiki ndio maana wamerudisha uhusiano wenyewe. Maana unataka tuwe kama Kenya sasa tumthamini yule mwenye hela leo wewe angalia Kenya alivyomdharau China huko nyuma leo hii masikini anashinda kwenye kibaraza cha tajiri akimlilia habanduki 😂😂😂
 
Hatufungamani na upande wowote lakini kaka.
Hata hao North huwa tunawatumia kwenye maboresho ya silaha ikiwemo kufanya upgrading japo serikali huwa inakataa kuwa hatushirikiani nao.
Ni kweli hatufungamani na yoyote, lakini siyo kwamba ndio tusitumie akili.

Binadamu wana HISIA.
 
Naongelea wale ambao wana genius level of intelligence, hawa ni once in a few generations type of people. Kwa ujuzi walionao, tungefaidika sana ila ndo hivyo, tulishawakosa. Tutaambulia vipanga wa kawaida, kama yule jamaa aliyekuwa Sweden, aliyetengeneza mfumo wa eGov.
Sidhani kama ni sahihi kuita tu watu na kuja kuwajaza hapa wakati, huna shida nao.

Nakumbuka UDSM wameshawahi kuanzisha shahada ya Petroleum Engineering wakati tumegundua gesi, ila graduates wakw hawana kazi.
 
Ujio wa DP World na Adani katika uwekezaji kwenye Bandari zetu umeleta mapinduzi makubwa na matokeo chanya yame anza kuonekana mapema tu.

Hao Zambia tayari ni wateja watiifu kwa DP world na madini yao yote yanapita Tanzania Sasa. Kwa kuangalia tu jaribu kufatilia yard za Copper pale Shekilango utaelewa. DP wame lobby sehemu nyingi na Congo is next. Ndio maana Sasa hivi wanakazana kujenga Warehouses za kutosha.... Upande wa vifaa Bandarini vya kupakia na kushusha mizigo tayari kuna improvement kubwa sana.

Hata baadhi ya shipping lines zinataka kuhamishia HQ zao hapa Bongo na kukimbia kunyaland maana hapo Dar kwa Sasa ndio panaongoza kwa mapato..sio kama mwanzo maboss walikuwa wanasubiri report kwa email tu... Sasa hivi wanashinda kwenye office za Dar huko ku run operations.
Hiv zile meli za coco beach ni uzembe au bandari haitoshi?
 
Back
Top Bottom