Kiongozi achana nao hawashauriki hawa nyangau wanataka maendeleo ya kiinimacho harakaharaka wakati hawajengi misingi yoyote ya maana ya uchumi ndio maana unaona industrial production yao, exports na agriculture zote zime stagnate mwaka wa 10 huu pia KRA has been missing tax targets kila mwaka because of limited economic expansion. Unlike TZ we invest where it matters kwenye sectors za msingi ambazo zina multiplier effect kwenye economy kama agriculture (subsidies, irrigation, e-markets, extension officers etc, TMX), Infrastructure (roads, rail, ports, marine vessels and planes), digital economy, tourism etc. These are the foundation for a stable and resilient economy na ndio priority ya serikali once these things have been secured the next stage ndio utaona housing sector ina pop out automatically because strong established economic fundamentals are in place.