Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiongozi achana nao hawashauriki hawa nyangau wanataka maendeleo ya kiinimacho harakaharaka wakati hawajengi misingi yoyote ya maana ya uchumi ndio maana unaona industrial production yao, exports na agriculture zote zime stagnate mwaka wa 10 huu pia KRA has been missing tax targets kila mwaka because of limited economic expansion. Unlike TZ we invest where it matters kwenye sectors za msingi ambazo zina multiplier effect kwenye economy kama agriculture (subsidies, irrigation, e-markets, extension officers etc, TMX), Infrastructure (roads, rail, ports, marine vessels and planes), digital economy, tourism etc. These are the foundation for a stable and resilient economy na ndio priority ya serikali once these things have been secured the next stage ndio utaona housing sector ina pop out automatically because strong established economic fundamentals are in place.
Very strategic point Tanzania nimependa tulivyowekeza pesa nyingi kwenye irrigation agriculture, new university campuses, well equipped schools, hospitals, maji, umeme, modern mining equipments, airports, roads yaani kuna vitu unaona ni vya kuleta hela, Kunyaland imejikita kufake data
 
Fikra za viongozi wa Africa ni za kipuuzi. Nyerere set us on a good path as a nation. Nakumbuka wakati huo Israel ilikuwa ikitusaidia na bado tukawatambua Palestina na kuwapa office Dar waisrael wakakasirika, pia South Korea, West Germany na Morocco walikasirika tulipowatambua mahasimu wao North Korea, East Germany na Sahara (POLISARIO) pamoja na umasikini wetu na uchanga kama taifa tukawaambia hamuwezi kutuchagulia marafiki kamwe kama vipi songa na tukafunga uhusiano wa kibalozi na nchi hizo zote. Ndio maana wakati ule passport ya TZ inaandikwa you can visit all countries in the world except South Korea, West Germany and Israel lakini baada ya muda wamerudi wenyewe baada ya kuona hatuyumbishwi na yeyote na pia tulikuwa founders wa Non Aligned Movement iliyoanzishwa na kina Nyerere Tanzania, Gamal Nasser Egypt na Jawarhal Nehru India. Pia Makaburu tukawa tunawapiga pini pamoja na USA kutushinikiza tuwatambue Makaburu tulikataa katakata ila jirani wa kaskazini kila anachooambiwa anatekeleza hana maamuzi yake mwenyewe.
CCM diplomacy intelligent ni wapumbavu kweli, hivi mkutano wa juzi waliwaalika Chama cha Kim na wanajua Korea kaskazini waliahidi kutupa mkopo nafuu wa matrilioni ambao ungeleta mapinduzi nchini, hivi hawajui uhasama uliopo kati ya mataifa haya mawili? Korea kusini wakiamua huu mkopo usitoke wana wa kumlaumu? Hivi hawa Korea kaskazini waliwahi kuipa Tanzania nini?


View: https://x.com/TheChanzo/status/1928423853749080553?t=WojKVqECZim2FIRvwa5fxA&s=19


View: https://x.com/TZMsemajiMkuu/status/934423586617602049?t=LDugXu8JpkAcWD27XuN-Dw&s=19


View: https://x.com/mfa_tanzania/status/1798567118478454856?t=ZpOetAMNtbuQpGWwll3_DQ&s=19


View: https://x.com/millardayo/status/1797235627366269207?t=dGKSjXbGHOc1hpuXIctXbw&s=19


View: https://x.com/millardayo/status/1585561036819775489?t=ygPAd9-w6HrYYJ2BOJ4EmQ&s=19


View: https://x.com/JamiiForums/status/1796108472695529790?t=e_AVq89Fyyk4I0BvbpUGAg&s=19


View: https://x.com/MwanzoTv/status/1489239495480426502?t=9EYDO4vtJCiUpI8me0sBFg&s=19


View: https://x.com/earadiofm/status/1601210047891226627?t=c4CIeMEbE3s5br7fKVgvKg&s=19
 
Hiyo Talanta ni deni, wame raise pesa kama Bond kupitia NSE.

Kwasabbu siyo commercial viable, inatakiwa kodi itaongezwa popote ili walipe wadeni
Imagine deni lazima watalipa zaidi ya billion 700 mpaka 900 kwa infrastructure isio na return yoyote, talaka mpaka ije kubreakeven ni miaka 100 ijayo kama haitakua abandoned sababu maintenance cost yake ni kubwa kuwasha taa, maji, air-conditioning, surveillance equipments and staff unaweza kuta ni mapato yote ya match kama wameingia mashabiki nusu uwanja, hiyo pesa ya ujenzi wangewasambazia maji wakazi wa naislum wangerudisha ndani ya miaka miwili kwa customer bills
 

Brother acha kutukana watu ovyo pasipokujua chochote. CCM ipo na urafiki na chama hicho cha North Korea. Tulishawaambia mataifa yote kuwa hawawezi kutuamlia yupi ni rafiki au audi wetu.

Soma foreign policy yetu kaka:

1752832058016.png
 
Wee nawe una ubishi wa kijinga. Yani umesema kitu wazi hadi unapewa quote ya post yenyewe ila unabisha kisha unajaribu kubadili mjadala. Hata ni vizuri huyo NairobiWalker amekataa kuvutwa na huo upuzi wako wa 'nionyeshe nchi ya $250B bla bla' maanake anajua unajaribu kukwepa usionekane mjinga wakati kila mtu ashauona ujinga wako. Ni wazi hata akikupea hizo nchi utabadilisha mjadala na kuuvuta kwenye upuzi mwengine. Na bado unajiona mjanja sana kisa bongolala wenzako wanalike hizo post zako za ufedhule.
Huyo achana naye. Ng'ombe ni ng'ombe tu. 🤣 🤣
 

Hatufungamani na upande wowote lakini kaka.
Hata hao North huwa tunawatumia kwenye maboresho ya silaha ikiwemo kufanya upgrading japo serikali huwa inakataa kuwa hatushirikiani nao.
 

Uzuri wanajua misimamo yetu hatuchaguliwi marafiki ndio maana wamerudisha uhusiano wenyewe. Maana unataka tuwe kama Kenya sasa tumthamini yule mwenye hela leo wewe angalia Kenya alivyomdharau China huko nyuma leo hii masikini anashinda kwenye kibaraza cha tajiri akimlilia habanduki 😂😂😂
 
Hatufungamani na upande wowote lakini kaka.
Hata hao North huwa tunawatumia kwenye maboresho ya silaha ikiwemo kufanya upgrading japo serikali huwa inakataa kuwa hatushirikiani nao.
Ni kweli hatufungamani na yoyote, lakini siyo kwamba ndio tusitumie akili.

Binadamu wana HISIA.
 
Back
Top Bottom