Hivi madam Nduta ulisharudi kutoka Oman?Wee nawe una ubishi wa kijinga. Yani umesema kitu wazi hadi unapewa quote ya post yenyewe ila unabisha kisha unajaribu kubadili mjadala. Hata ni vizuri huyo NairobiWalker amekataa kuvutwa na huo upuzi wako wa 'nionyeshe nchi ya $250B bla bla' maanake anajua unajaribu kukwepa usionekane mjinga wakati kila mtu ashauona ujinga wako. Ni wazi hata akikupea hizo nchi utabadilisha mjadala na kuuvuta kwenye upuzi mwengine. Na bado unajiona mjanja sana kisa bongolala wenzako wanalike hizo post zako za ufedhule.
Fikra za viongozi wa Africa ni za kipuuzi. Nyerere set us on a good path as a nation. Nakumbuka wakati huo Israel ilikuwa ikitusaidia na bado tukawatambua Palestina na kuwapa office Dar waisrael wakakasirika, pia South Korea, West Germany na Morocco walikasirika tulipowatambua mahasimu wao North Korea, East Germany na Sahara (POLISARIO) pamoja na umasikini wetu na uchanga kama taifa tukawaambia hamuwezi kutuchagulia marafiki kamwe kama vipi songa na tukafunga uhusiano wa kibalozi na nchi hizo zote. Ndio maana wakati ule passport ya TZ inaandikwa you can visit all countries in the world except South Korea, West Germany and Israel lakini baada ya muda wamerudi wenyewe baada ya kuona hatuyumbishwi na yeyote na pia tulikuwa founders wa Non Aligned Movement iliyoanzishwa na kina Nyerere Tanzania, Gamal Nasser Egypt na Jawarhal Nehru India. Pia Makaburu tukawa tunawapiga pini pamoja na USA kutushinikiza tuwatambue Makaburu tulikataa katakata ila jirani wa kaskazini kila anachooambiwa anatekeleza hana maamuzi yake mwenyewe.Shida kubwa ya Africa wala hata siyo njaa.
Ni PUPPETISM, UBINAFSI, LOVE OF SHORTCUTS na KUKOSA SUBIRA.
Mtu anaona badala ya kutengeneza nyumbani kwake ni kazi nzito, anaiba anapeleka ULAYA.
Na kibaya zaidi bado tuna mentality kuwa ULAYA ni Mbinguni, wakati watu wa Ulaya wameshtuka wanatafuta kwa kila namna kukimbilia AFRIKA.
Nairobi ilivyojengwa ni VIMJI MJI (Smart cities & Estates) ndani ya Nairobi.Yalivyo majinga yanaomba foreigners wajenge vighorofa zen yanashindwa kawajengea mazingira mazuri ya kufanya biashara hao foreigners mwishowe wanakimbia wanakuja Tz. Foreigners wanafungua malls wakenya wanaanzisha maandamano ili waibe mikate kwenye hizo malls, nchi ya kifala sn Kenya.
Hivi hizi tanks zimeanzia underground sio?MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP), PROJECT INAENDELEA UJENZI WA MATANKI YA KUHIFADHIA MAFUTA - Wakenya wapo hoi sana. Uzi wameususia
View attachment 3409624
View attachment 3409626
View attachment 3409627
Nairobi hii bila shaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jiji kunuka ........... Oyeeeeee
Ndio maana ukiona mtu anasema Nyerere hakufanya jambo nchi hii ujie ni JUHA tu.Fikra za viongozi wa Africa ni za kipuuzi. Nyerere set us on a good path as a nation. Nakumbuka wakati huo Israel ilikuwa ikitusaidia na bado tukawatambua Palestina na kuwapa office Dar waisrael wakakasirika, pia South Korea, West Germany na Morocco walikasirika tulipowatambua mahasimu wao North Korea, East Germany na Sahara (POLISARIO) pamoja na umasikini wetu na uchanga kama taifa tukawaambia hamuwezi kutuchagulia marafiki kamwe kama vipi songa na tukafunga uhusiano wa kibalozi na nchi hizo zote. Ndio maana wakati ule passport ya TZ inaandikwa you can visit all countries in the world except South Korea, West Germany and Israel lakini baada ya muda wamerudi wenyewe baada ya kuona hatuyumbishwi na yeyote na pia tulikuwa founders wa Non Aligned Movement iliyoanzishwa na kina Nyerere Tanzania, Gamal Nasser Egypt na Jawarhal Nehru India. Pia Makaburu tukawa tunawapiga pini pamoja na USA kutushinikiza tuwatambue Makaburu tulikataa katakata ila jirani wa kaskazini kila anachooambiwa anatekeleza hana maamuzi yake mwenyewe.
Unaanza kunipa ID za wenyewe.? 🤣🤣🤣Oooh, so kumbe wewe ni ni Yule Primitive baboon. Nilikupiga vibare ukachange account?🤣🤣🤣🤣.
No wonder wewe ni maskini 😂🤣
Akaja na ile nyingine anakuambia "investors have now changed the path" kwamba linapelekwa kunako shit hole country, mnuka mavi bhn 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Akianza kurusha mawe screenshot nione. 😂😂😂Akaja na ile nyingine anakuambia "investors have now changed the path" kwamba linapelekwa kunako shit hole country, mnuka mavi bhn 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
You are Sama boy 255. Your writings betrayed you Mr. Baboonman. Hata hii ID bado utapata tu nayo vichapo na vibare, by the way why didn’t you put Baboon as your Avatar?Unaanza kunipa ID za wenyewe.? 🤣🤣🤣
Kameshaanza kukutupia mawe 🤣🤣🤣🤣🤣Akianza kurusha mawe screenshot nione. 😂😂😂
Ana uwezo mdogo wa kufikiri. 😂😂😂Kameshaanza kukutupia mawe 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3409661
Ana bichwa kubwa, ubongo wa mende. 🤣🤣🤣Ana uwezo mdogo wa kufikiri. 😂😂😂
Brother unauhakika na hiki ulichokiandika? Kila mkoa Tanzania upo na Viwanja vya mpira.Do you stadiums in Tanzania outside Dar and Zanzibar? Kenya is building decent Stadiums in every county yet wewe uko hapa unapanga midomo kwa wivu.
Huyo estim construction mbona wanamtupa, wakati ukiona Kimara Kibaha Highway imetulia sana.Wakati Tanzania inaendelea na ujenzi Kenya imelala
Ndugu zangu wa Tanzania mnataka jengo la kihistoria la kiusanifu?
Jengo la Wizara ya Fedha lililopo Dodoma — linajengwa chini ya usimamizi wa kitaalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kama mkandarasi mshauri, limebuniwa na IPA Architects | Tanzania na kujengwa na Estim Construction Co. Ltd. — ni moja ya majengo ya kipekee yanayopamba uso wa makao makuu ya serikali ya Tanzania.
View attachment 3409069View attachment 3409070View attachment 3409071View attachment 3409072View attachment 3409073View attachment 3409074View attachment 3409075View attachment 3409076View attachment 3409077View attachment 3409078View attachment 3409079
TeargasEACOP will never be built in your life time.
😂😂 Wanataka kushindana na Tanzania ndio tatizo, hiyo talaka soon itakua kama hizi za SANi rahisi kutabiri kwamba talanta itakuwa pagale mana haikuhitajika Kenya, kwanza Kenya sio football country, ligi yao yenyewe ya mpata mpatae alafu wanajenga uwanja kama wa Mkapa ili iweje? Hawa ni wajinga sn, it's better wangejenga viwanja vya riadha.
kwani Nyanza Civil ni ya Rostam?Huyo estim construction mbona wanamtupa, wakati ukiona Kimara Kibaha Highway imetulia sana.
Alapaswa kuwezeshwa sana kwenye ujenzi wa barabara etc tuwe na One biggest Civil and Construction company in EA.
Yaani Wakandarasi wa Ndani walioserious unawasaidia hata vifaa na kuwapa elimu kuwawezeshwa baadae watakua msaada mkubwa sana, Dola zinazingukia nchini.
Ajabu kuna mchina anajenga ujinga sehemu kabisa ungeona hata Estim angefanya vizuri.
Huyo ROSTAM miyeyusho kelele chote kuhusu wachina alafu kampuni zake zina kazi mbovu, Uwanja wa Mwanza jengo kimya, kule home Nyamongo anajenga lami chini ya kiwango na NYANZA CIVIL unaona bora Wachina.
Miradi ya barabara like 10km achia Mkandarasi wa Ndani mwenye standard za kueleweka.