Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hizo cities hata sio government owned ni za wazungu na 1 ya uhuru for money laundering ya ufisadi, wanazika billions of money kwa kitu ambacho wanatumia mara 3 kwa mwaka 😂😂 hivi viwanja vitatumika zaidi kwa government functions zaidi ya commercial functions na vitawapa hasara kuvihudumia na bado ni masikini, viwanja vya FIFA WC kule SA tu vingi vimetelekezwa na SA wana uchumi mkubwa zaidi ya Kenya

Hii Talanta wangeijenga hata Mombasa washare hasara tena iwe 30k seaters hiyo pesa nyingine wafanye renovations kwenye hayo mapagale yao, nyayo na Kasarani vilitosha kabisa for naislum
Wao walisha kariri Nairobi.

Wangekuwa na akili, wangekomaa na LAPSSET, Lamu Pipeline na SGR.

Wanajengea nyumba foreignwrs wanaotaka ku-escape maisha ya Ulaya halafu, vijana wao wanawatafutia vibarua Qatar🤔
 
Mkuu mfano wa Africa na ulaya sio sawa, tatizo kubwa la Africa ni njaa, kuanzia viongozi mpaka raia, hatutakuja kuwa pamoja mpk njaa itakapokoma.
Shida kubwa ya Africa wala hata siyo njaa.

Ni PUPPETISM, UBINAFSI, LOVE OF SHORTCUTS na KUKOSA SUBIRA.

Mtu anaona badala ya kutengeneza nyumbani kwake ni kazi nzito, anaiba anapeleka ULAYA.

Na kibaya zaidi bado tuna mentality kuwa ULAYA ni Mbinguni, wakati watu wa Ulaya wameshtuka wanatafuta kwa kila namna kukimbilia AFRIKA.
 
Na hizo cities hata sio government owned ni za wazungu na 1 ya uhuru for money laundering ya ufisadi, wanazika billions of money kwa kitu ambacho wanatumia mara 3 kwa mwaka 😂😂 hivi viwanja vitatumika zaidi kwa government functions zaidi ya commercial functions na vitawapa hasara kuvihudumia na bado ni masikini, viwanja vya FIFA WC kule SA tu vingi vimetelekezwa na SA wana uchumi mkubwa zaidi ya Kenya

Hii Talanta wangeijenga hata Mombasa washare hasara tena iwe 30k seaters hiyo pesa nyingine wafanye renovations kwenye hayo mapagale yao, nyayo na Kasarani vilitosha kabisa for naislum
Ni rahisi kutabiri kwamba talanta itakuwa pagale mana haikuhitajika Kenya, kwanza Kenya sio football country, ligi yao yenyewe ya mpata mpatae alafu wanajenga uwanja kama wa Mkapa ili iweje? Hawa ni wajinga sn, it's better wangejenga viwanja vya riadha.
 
Wacha upuuzi mama Samia hakubaliki kwa Wasukuma! Wasukima wote wanaamini baada ya JPM ilipaswa Msukuma mwingime awekwe kumalizia term yake!
Wewe ni Muongo na Bingwa wa kutunga uongo. Mabeyo Ndiye aliye simamia na ndiye aliyemlida Mama Samia. Wengine walitaka asiwe Rais. Mabeyo ni msukuma.

98% ya Wasukuma/Nyamwezi wote ni CCM
 
Shida kubwa ya Africa wala hata siyo njaa.

Ni PUPPETISM, UBINAFSI, LOVE OF SHORTCUTS na KUKOSA SUBIRA.

Mtu anaona badala ya kutengeneza nyumbani kwake ni kazi nzito, anaiba anapeleka ULAYA.

Na kibaya zaidi bado tuna mentality kuwa ULAYA ni Mbinguni, wakati watu wa Ulaya wameshtuka wanatafuta kwa kila namna kukimbilia AFRIKA.
Mkuu neno njaa hapo ni pana sana, na ndiyo shida yetu. Kule ulaya unakuta kijana mpk anakuwa mtu wa makamo hategemewi na yeyote na bado anapewa support kubwa toka kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, ni rahisi hawa watu kuungana kwasababu automatic kukiwa hakuna njaa kunakuwa na love, peace, harmony, fidelity, solidarity etc. In contrary, Africa unakuta ukoo mzima katoboa mmoja, ndugu wote wanamuangalia yeye, huyo hata awe tajiri bado anakuwa na mentality ile ile ya njaa ambayo baadaye inapelekea tamaa ambayo ndiyo inawatafuna mpaka viongozi wetu. Hatuwezi kuungana mpaka njaa iishe.
 
MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP), PROJECT INAENDELEA UJENZI WA MATANKI YA KUHIFADHIA MAFUTA - Wakenya wapo hoi sana. Uzi wameususia
1752821219590.png


1752821288685.png


1752821421316.png
 
Kenya hawana vision.

Wako too addictive to cosmetic development.

Hawawezi kukuelewa.

Kwasasa wako busy na smart cities (Northlands city, Konza Metropolis na Tatu City)

😅
Yalivyo majinga yanaomba foreigners wajenge vighorofa zen yanashindwa kawajengea mazingira mazuri ya kufanya biashara hao foreigners mwishowe wanakimbia wanakuja Tz. Foreigners wanafungua malls wakenya wanaanzisha maandamano ili waibe mikate kwenye hizo malls, nchi ya kifala sn Kenya.
 
Kenya uchumi wenu na hali ya maisha ni duni mno kujenga hizi cowsheds countrywide, kwanini hizi pesa msingejengea irrigation dams mtoe ajira kwa vijana wenu? Hizi substandard cowsheds haziwasaidii kitu sababu ninyi hata sio football nation, mtacheza hapo mara 1 kwa miezi mitatu mfungane mvunje viti na properties tofauti na Tanzania mechi kila siku na viingilio ni vingi hence ni viable commercial investment, ni kama naislum mmejaza maviwanja mengi lakini I bet you know hakuna siku hata 1 viwanja vyote kwa pamoja viliwahi kuwa occupied, sijui nani anawasaidiaga kufikiria.
Kiongozi achana nao hawashauriki hawa nyangau wanataka maendeleo ya kiinimacho harakaharaka wakati hawajengi misingi yoyote ya maana ya uchumi ndio maana unaona industrial production yao, exports na agriculture zote zime stagnate mwaka wa 10 huu pia KRA has been missing tax targets kila mwaka because of limited economic expansion. Unlike TZ we invest where it matters kwenye sectors za msingi ambazo zina multiplier effect kwenye economy kama agriculture (subsidies, irrigation, e-markets, extension officers etc, TMX), Infrastructure (roads, rail, ports, marine vessels and planes), digital economy, tourism etc. These are the foundation for a stable and resilient economy na ndio priority ya serikali once these things have been secured the next stage ndio utaona housing sector ina pop out automatically because strong established economic fundamentals are in place.
 
Kenya uchumi wenu na hali ya maisha ni duni mno kujenga hizi cowsheds countrywide, kwanini hizi pesa msingejengea irrigation dams mtoe ajira kwa vijana wenu? Hizi substandard cowsheds haziwasaidii kitu sababu ninyi hata sio football nation, mtacheza hapo mara 1 kwa miezi mitatu mfungane mvunje viti na properties tofauti na Tanzania mechi kila siku na viingilio ni vingi hence ni viable commercial investment, ni kama naislum mmejaza maviwanja mengi lakini I bet you know hakuna siku hata 1 viwanja vyote kwa pamoja viliwahi kuwa occupied, sijui nani anawasaidiaga kufikiria.
Do you stadiums in Tanzania outside Dar and Zanzibar? Kenya is building decent Stadiums in every county yet wewe uko hapa unapanga midomo kwa wivu.
 
Unadhani mimi ni njuka humu wewe mnuka mavi.? 🤣🤣🤣 uncircumcised bafoon.?
Oooh, so kumbe wewe ni ni Yule Primitive baboon. Nilikupiga vibare ukachange account?🤣🤣🤣🤣.

No wonder wewe ni maskini 😂🤣
 
Kwanza binafsi sidhani kama kuna SKILLED GAP nchini.

Kwamba kuna watu tunawahitaji nchini hawapo, ila ni WaTZ wapo nje.
Naongelea wale ambao wana genius level of intelligence, hawa ni once in a few generations type of people. Kwa ujuzi walionao, tungefaidika sana ila ndo hivyo, tulishawakosa. Tutaambulia vipanga wa kawaida, kama yule jamaa aliyekuwa Sweden, aliyetengeneza mfumo wa eGov.
 
Kenya uchumi wenu na hali ya maisha ni duni mno kujenga hizi cowsheds countrywide, kwanini hizi pesa msingejengea irrigation dams mtoe ajira kwa vijana wenu? Hizi substandard cowsheds haziwasaidii kitu sababu ninyi hata sio football nation, mtacheza hapo mara 1 kwa miezi mitatu mfungane mvunje viti na properties tofauti na Tanzania mechi kila siku na viingilio ni vingi hence ni viable commercial investment, ni kama naislum mmejaza maviwanja mengi lakini I bet you know hakuna siku hata 1 viwanja vyote kwa pamoja viliwahi kuwa occupied, sijui nani anawasaidiaga kufikiria.
Maviwanja yenyewe si yale yamejengwa na mafundi wa kikenya, upande yapo wazi alafu wanataka viingilio, hawa ni failure katika kila jambo.
 
Back
Top Bottom