Wao walisha kariri Nairobi.Na hizo cities hata sio government owned ni za wazungu na 1 ya uhuru for money laundering ya ufisadi, wanazika billions of money kwa kitu ambacho wanatumia mara 3 kwa mwaka 😂😂 hivi viwanja vitatumika zaidi kwa government functions zaidi ya commercial functions na vitawapa hasara kuvihudumia na bado ni masikini, viwanja vya FIFA WC kule SA tu vingi vimetelekezwa na SA wana uchumi mkubwa zaidi ya Kenya
Hii Talanta wangeijenga hata Mombasa washare hasara tena iwe 30k seaters hiyo pesa nyingine wafanye renovations kwenye hayo mapagale yao, nyayo na Kasarani vilitosha kabisa for naislum
Wangekuwa na akili, wangekomaa na LAPSSET, Lamu Pipeline na SGR.
Wanajengea nyumba foreignwrs wanaotaka ku-escape maisha ya Ulaya halafu, vijana wao wanawatafutia vibarua Qatar🤔