Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unauweza huu moto 💥👇👇👇
images (3).jpeg
images (1).jpeg
 
Naongelea wale ambao wana genius level of intelligence, hawa ni once in a few generations type of people. Kwa ujuzi walionao, tungefaidika sana ila ndo hivyo, tulishawakosa. Tutaambulia vipanga wa kawaida, kama yule jamaa aliyekuwa Sweden, aliyetengeneza mfumo wa eGov.
Sidhani kama ni sahihi kuita tu watu na kuja kuwajaza hapa wakati, huna shida nao.

Nakumbuka UDSM wameshawahi kuanzisha shahada ya Petroleum Engineering wakati tumegundua gesi, ila graduates wakw hawana kazi.
 
Ujio wa DP World na Adani katika uwekezaji kwenye Bandari zetu umeleta mapinduzi makubwa na matokeo chanya yame anza kuonekana mapema tu.

Hao Zambia tayari ni wateja watiifu kwa DP world na madini yao yote yanapita Tanzania Sasa. Kwa kuangalia tu jaribu kufatilia yard za Copper pale Shekilango utaelewa. DP wame lobby sehemu nyingi na Congo is next. Ndio maana Sasa hivi wanakazana kujenga Warehouses za kutosha.... Upande wa vifaa Bandarini vya kupakia na kushusha mizigo tayari kuna improvement kubwa sana.

Hata baadhi ya shipping lines zinataka kuhamishia HQ zao hapa Bongo na kukimbia kunyaland maana hapo Dar kwa Sasa ndio panaongoza kwa mapato..sio kama mwanzo maboss walikuwa wanasubiri report kwa email tu... Sasa hivi wanashinda kwenye office za Dar huko ku run operations.
Hiv zile meli za coco beach ni uzembe au bandari haitoshi?
 
At least three MRI machines (one at KNH and two at KUTRRH) are confirmed in public hospitals.

Apart from thwse 3, how many MRIs machines ate there in public hospitals?
In 2013 the government supplied 20 MRI machines to public hospitals across the country, ebu jiulize 2025 zitakua ngapi?

Image
 
Is that letter head private? Is the person addressed not a public officer? Ume elewa barua inaongelea nini? Bongolala ni bongolala tu.
Badala ya kuleta hospitali zenye MRI machines, unaleta barua yenye wishes na MOU???

How am I sure kuwa hayo makubaliano yalifikiwa and mlipokea mlichoomba??
 
Back
Top Bottom