Close to 70 million people na hata huna aibu kushabikia 14 MRI machines pekee.Unataka tununua MRI ambazo hatuzitumii? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wakenya ni wajinga kweli.
Close to 70 million people na hata huna aibu kushabikia 14 MRI machines pekee.Unataka tununua MRI ambazo hatuzitumii? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wakenya ni wajinga kweli.
Open lies!Moja ni taarifa ya 2016 ingine ni ya 2025. Hivi we mzee una shida ya akili ama?
Unajua kazi MRI? 🤣 🤣 🤣 🤣 Huenda tunaongea na mtu hapa hajui hata kazi yake. MRI ni inatumiaka kwaajili ya kupima mdogo wangu. Sasa unataka watu 70M waende kupimwa wakati hawana uhitaji? Sijawahi kuona mjinga kama wewe tangu dunia hii iumbweClose to 70 million people na hata huna aibu kushabikia 14 MRI machines pekee.
Weeeee kama hivi ndio hua munareason naelewa mbona nyinyi ni primary school dropouts. Kwa hivyo watu wa statistics wakisema 1 doctor per 10,000 people inamaanisha hao ni wajinga ju sio kila mtu anafaa kua mgonjwa. 🤣 🤣 🤣 Usiwe mjinga bana..Unajua kazi MRI? 🤣 🤣 🤣 🤣 Huenda tunaongea na mtu hapa hajui hata kazi yake. MRI ni inatumiaka kwaajili ya kupima mdogo wangu. Sasa unataka watu 70M waende kupimwa wakati hawana uhitaji? Sijawahi kuona mjinga kama wewe tangu dunia hii iumbwe
Dogo MRI siyo chakula kilma mmoja anaweza kula.
Kwa sababu over 70% ya workforce ni independent na self-employed. Unlike Wakenya na Wasouth ambao kila mtu ni muajiriwa ni kipindi cha holidays tu wanaenda ushago.Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
"were equipped!" r key words! Hatutaki maelezo meeeengi onyesha hizo 200+ MRI machines za nchi nzima by March 2025! Usibebwagwe ufala mob! Maneno yawe mafupi tafadhali!Moja ni taarifa ya 2016 ingine ni ya 2025. Hivi we mzee una shida ya akili ama?
Nani anasema 1 doctor per 10,000 people? 🤣 🤣 🤣 🤣 MRI ni kwaajili ya kupima. MRI, CT scan, x-ray machine, Ultrasound (Sonography), PET Scan. Zote hizo ni kwaajili ya kupima.Weeeee kama hivi ndio hua munareason naelewa mbona nyinyi ni primary school dropouts. Kwa hivyo watu wa statistics wakisema 1 doctor per 10,000 people inamaanisha hao ni wajinga ju sio kila mtu anafaa kua mgonjwa. 🤣 🤣 🤣 Usiwe mjinga bana..
Mombasa PAX is more than Mabati Rolling Mill PAX.lete pax ya mombasa tuone
Those places don't have stadiums, what they have are cowsheds.wewe kima,kuna Tana, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Lindi, Singida...the list is solong and endless.
Siku hizi wakenya ni wanyonge sana, kulikoni?Those places don't have stadiums, what they have are cowsheds.
Mambo ya Stadiums shindana na Somalia na South Sudan or Uganda. Tanzania ilishatoka huko.Kitui County Stadium Renders. Construction in progress.
View attachment 3410286
View attachment 3410287View attachment 3410292View attachment 3410294View attachment 3410295
Utajinyea wewe. 🤣🤣🤣 anyways location ni Tabata kitambaa cheupe, let’s celebrate life my guy. 👇🏾Mombasa PAX is more than Mabati Rolling Mill PAX.